ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Kazi ya serikali ni kulipa madeni ya wakandarasi pekee? Harafu no wapi imeshindwa?Kwa makusanyo haya Serikali ingeshindwa kulipa madeni ya makandarasi? Endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe
Umemaliza muzee.Huo ni usanii tu, hakuna kipya cha maana. Ngoja nikupe shule kidogo hapa.
1. Thamani ya shilingi yetu imeshuka sana, hivyo tarakimu kubwa za mapato kwa kutumia shilingi yetu haziakisi uhalisia.
2. Mfumuko wa bei ni mkubwa sana na hilo litaakisi pia kwenye makusanyo ya kodi kuwa na tarakimu kubwa, lakini ukija kwenye uhalisia hayo mapato sio chochote kwenye kutumika kulipia huduma au manunuzi ya bidhaa.
3. Mfumo wa ukusanyaji mapato kwa TRA umejikita kumnyonya mlaji wa mwisho, na kitakwimu idadi ya watanzania inaongezeka kwa zaidi ya watu milioni moja kwa mwaka, hivyo automatically mapato ya TRA yataongezeka kufuata hilo.
Sasa umeongea nini? Hueleweki.Kazi zinaongea 👇👇Kulipa mishahara tu na kuiba uliona wapi watu wanapewa mradi harafu Waziri Mkuu anawapitia kuwakagua na kuwasihi watu wawe makini na fedha za Umma kama watu wamepewa Mradi wameboronga wapelekwe mahakamani huko kuliko kupita kila siku na kutoa masharti ya kisiasa tu..
Kwa nini?Moja ya maiti alizoziongelea jomo kenyatta na wewe pia upo
Wakati unatokwa povu la makamasi na upumbavu,tunakuonesha kazi zinavyoongea 👇👇Chura kiziwi anatetewa na watu wapumbavu sana!
Unajiuliza mikopo yote toka kwa mashoga zake huko uarabuni anafanya nini kama makusanyo ndio hayo?
Hakuna mradi hata mmoja wa maana kwamba ndio unamaliza hela!
Chura kiziwi anafanyia nini hizi hela?
Sababu Wewe ni maitiKwa nini?
Tu sHuo ni usanii tu, hakuna kipya cha maana. Ngoja nikupe shule kidogo hapa.
1. Thamani ya shilingi yetu imeshuka sana, hivyo tarakimu kubwa za mapato kwa kutumia shilingi yetu haziakisi uhalisia.
2. Mfumuko wa bei ni mkubwa sana na hilo litaakisi pia kwenye makusanyo ya kodi kuwa na tarakimu kubwa, lakini ukija kwenye uhalisia hayo mapato sio chochote kwenye kutumika kulipia huduma au manunuzi ya bidhaa.
3. Mfumo wa ukusanyaji mapato kwa TRA umejikita kumnyonya mlaji wa mwisho, na kitakwimu idadi ya watanzania inaongezeka kwa zaidi ya watu milioni moja kwa mwaka, hivyo automatically mapato ya TRA yataongezeka kufuata hilo.
Kwa hiyo transactions za June 30th, hazitatumika coz mwaka wa fedha ulishaisha, punguani wahed wewe.
Endeleeni kununua vx v8 huku huduma muhimu kwa watanzania zikiwa mbovu, ufisadi na wizi wa fedha za umma ukiwa kiwango cha kutisha na huku mkuendelea kuteka na kuua.
Kivipi Sasa?Sababu Wewe ni maiti
MaitiKivipi Sasa?
Unaijua Trilioni 100 wewe? Kuwa na namba Moja ndio Serikali inafanyia kazi Ili kuwapunguzia wafanyabiashara usumbufu wa kulipia kila taasisi.Tu s
Kosa kubwa linalofanywa naserikali ni kuruhusu mianya kupotea kwa fedha za umma.
Palitakiwa pawe na control namba moja inayotolewa na hazina tuu.Kila pesa iingie hazina.
KuleTanapa tunapoteza fedha zinazotosha kuendesha nchi .
Kule Bandarini tunapoteza pesa zinazoweza kuendesha nchi .
Kwenye mashirika ya umma ukianza na Tanesco n.k, tunapoteza pesa zinazotosha kiendesha wizara mbili mpaka tatu.
Latra na Trafiki makusanyonyo yake yanatosha kuendesha wizara.
Makusanyo mengi Halmashauri na majiji na mijiji yanaishia mifukoni mwa watu na matumizi ya anasa tu.
Fedha zote hizo zingekua zinaingia hazina moja kwa moja bila shaka tungekua tunakusanya zaidi ya Tril. 100 kwa mwaka .
Tusingekwenda kukopa pesa kwenye taaisisi na mashirika ya mashoga duniani.
How?Maiti
Porojo za usongo hizo.Huo ni usanii tu, hakuna kipya cha maana. Ngoja nikupe shule kidogo hapa.
1. Thamani ya shilingi yetu imeshuka sana, hivyo tarakimu kubwa za mapato kwa kutumia shilingi yetu haziakisi uhalisia.
2. Mfumuko wa bei ni mkubwa sana na hilo litaakisi pia kwenye makusanyo ya kodi kuwa na tarakimu kubwa, lakini ukija kwenye uhalisia hayo mapato sio chochote kwenye kutumika kulipia huduma au manunuzi ya bidhaa.
3. Mfumo wa ukusanyaji mapato kwa TRA umejikita kumnyonya mlaji wa mwisho, na kitakwimu idadi ya watanzania inaongezeka kwa zaidi ya watu milioni moja kwa mwaka, hivyo automatically mapato ya TRA yataongezeka kufuata hilo.
Sawa, ila bado haitoshi
Kwa mfano:
Bajeti 24/25 mapato yetu ni kama 70%, unaingiza laki 7 ila matumizi ni Mil 1,
Kwahiyo, serikali iongeze mapato, ipunguze matumizi au vyote kwa pamoja
Pia ijitahidi kuongeza idadi ya walipa kodi badala ya kuwakamua kupitiliza waliopo
Sawa ila wamejitahidi 👇👇Tu s
Kosa kubwa linalofanywa naserikali ni kuruhusu mianya kupotea kwa fedha za umma.
Palitakiwa pawe na control namba moja inayotolewa na hazina tuu.Kila pesa iingie hazina.
KuleTanapa tunapoteza fedha zinazotosha kuendesha nchi .
Kule Bandarini tunapoteza pesa zinazoweza kuendesha nchi .
Kwenye mashirika ya umma ukianza na Tanesco n.k, tunapoteza pesa zinazotosha kiendesha wizara mbili mpaka tatu.
Latra na Trafiki makusanyonyo yake yanatosha kuendesha wizara.
Makusanyo mengi Halmashauri na majiji na mijiji yanaishia mifukoni mwa watu na matumizi ya anasa tu.
Fedha zote hizo zingekua zinaingia hazina moja kwa moja bila shaka tungekua tunakusanya zaidi ya Tril. 100 kwa mwaka .
Tusingekwenda kukopa pesa kwenye taaisisi na mashirika ya mashoga duniani.
Hakuna pesa za kuiba siku hizi ndio maana Wana haha