Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mkuu hata credibility ya tunzo imeshuka Sana, hasa Kwangu nimewavua nyota trace music award coordinators. Labda ni ushamba wangu lakini Kuna event yoyote ulimwenguni ambayo ina utaratibu wa kutangaza washindi baada ya watu kwenda kulala?Mnanichekesha sana. Hafla iliisha bila ya washindi kutangazwa!
Hizi tuzo hapana!
Ni tukio la aibu sana. Kamati yote ya maandalizi wanatakiwa kuwajibika.Hapa mkuu hata credibility ya tunzo imeshuka Sana, hasa Kwangu nimewavua nyota trace music award coordinators. Labda ni ushamba wangu lakini Kuna event yoyote ulimwenguni ambayo ina utaratibu wa kutangaza washindi baada ya watu kwenda kulala?
Nilisikia sns wanasema waandaji wenyewe walikua wanavutana vutana wakati fulani siku ya Jana kwenye eneo la tukio.Ni tukio la aibu sana. Kamati yote ya maandalizi wanatakiwa kuwajibika.
Lazima iwe hivyo. Na mpaka sasa hawajajitokeza kuomba radhi.Nilisikia sns wanasema waandaji wenyewe walikua wanavutana vutana wakati fulani siku ya Jana kwenye eneo la tukio.
Nahisi hivyo, nilimsikia diamond analalamika pia, anaomba serikali iwajengee arena.Lazima iwe hivyo. Na mpaka sasa hawajajitokeza kuomba radhi.
Na ambavyo hawatangazi washindi sijui wanataka kuandaa hafla nyingine? Ngoja tuone.
Kwamba tuzo zilizotakiwa washindi kutangazwa jana kwenye event mpaka sasa hawajatangazwa zaidi ya kuwa na live performances kwenye show na Red carpet photo shooting..kwakweli hii kali sijawah kuona,waandaaji ni watu wa wapi?Lazima iwe hivyo. Na mpaka sasa hawajajitokeza kuomba radhi.
Na ambavyo hawatangazi washindi sijui wanataka kuandaa hafla nyingine? Ngoja tuone.
Huu ukimya hadi sasa nina imani wanataka kuirudia.Kwamba tuzo zilizotakiwa washindi kutangazwa jana kwenye event mpaka sasa hawajatangazwa zaidi ya kuwa na live performances kwenye show na Red carpet photo shooting..kwakweli hii kali sijawah kuona,waandaaji ni watu wa wapi?
Haikupangwa kufanyika Tz... Tz ni emergencyNilisikia sns wanasema waandaji wenyewe walikua wanavutana vutana wakati fulani siku ya Jana kwenye eneo la tukio.
Emergency wamepromote kwa muda wote huo.Haikupangwa kufanyika Tz... Tz ni emergency
Huu ukimya hadi sasa nina imani wanataka kuirudia.
Waandaaji ni haohao Trace, nilimuona Seven Mosha huko pia sasa sijui naye alishiriki kwenye uandaaji?