Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Naambiwa hata hii kupeleka mbele muda wa kuanza sababu ya upepo ilikuwa zuga tu ukweli ni kuwa walikuwa hawajakuwa tayari (maandalizi).Utadhani wamekurupuka, hata Wasafi Festival ina afadhali.
Hii show ya Fally Ipupa imeweka mambo sawa.