Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatia aibu, hii event imepewa kichawa au kindugu.
- mic zinasumbua
- mpangilio wa matukio haueleweki
Event kubwa lakini kwa jinsi ilivyopangiliwa hata graduation ya chekechea ina afadhali!Tunatia aibu, hii event imepewa kichawa au kindugu.
- mic zinasumbua
- mpangilio wa matukio haueleweki
Tunatiaje sisi aibu? Planner ni wao wenyewe Trace, wabongo tunaingiaje hapo? Au ndio nyie kila kitu ni kulaumu tu?
Sikujua kwamba walioandaa ni Trace, nilidhani ni wabongo wenzetu.Event kubwa lakini kwa jinsi ilivyopangiliwa hata graduation ya chekechea ina afadhali!
Waandaaji wamezingua sana, ingekuwa ni Watanzania kesho Diamond angeamka nao.
Sijui tungeweka wapi sura zetu 😅, sema nadhani setup ya outdoor ndio imekuwa changamoto.Event kubwa lakini kwa jinsi ilivyopangiliwa hata graduation ya chekechea ina afadhali!
Waandaaji wamezingua sana, ingekuwa ni Watanzania kesho Diamond angeamka nao.
Namuangalia hapa .........anasema m23 wameletwa na kagameHaya yupo live anasakata rhumba, unasemaje Mkuu?
Acha kuniokota Mkuu, hata kama sijui Kikongo ila M23 sijaisikia wala Kagame.