Trace imetia aibu kabisa, nimesikia WASAFI nikashangaa sana. Pia, management ya Alikiba mna shida

Trace imetia aibu kabisa, nimesikia WASAFI nikashangaa sana. Pia, management ya Alikiba mna shida

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Sema ee bwana Yesu mikononi mwako naiweka roho yangu. Lazima tupeane toba kwanza. Hii trace awards nimeisikia wasafi leo imenihuzunisha sana sana.

Alikiba kuwekwa hotel ya kawaida, Alikiba hakujulishwa muda wa kuperfor. Alikiba hakuoneshwa mandhari ambayo wanaenda kufanya show kama wengine.

Kama haya yametendeka basi kuna matatizo sana.

Muwe makini siku nyingine msiweke awards kumeiabisha mtu ama kumfurahisha hasimu wake haipendezi.

Na nyie management ya Alikiba mna shida binafsi nimesikia mko zaidi ya watano, kwanini msiwahi kuja kuangalia mteja wenu analala wapi?

Kama mnaona hotel haiko sawa mnamwambia hakuna haja ya kuja ama kuwajuza management ya trace.

Suala la kujua muda na sehemu ya kuperform hili ni lenu. Mlitakiwa muwaulize hao trace mteja wetu anafanyia wapi show na muda gani.

Nyie mnakwenda kumganda Alikiba hotelini amekuwa hirizii manyota? Kila pandos la kuzimu liwaachie kwa jina la Yesu.

Chochote kile akitokani na wewe bwana Yesu kipotelee mbali kiyeyuke.

Ee bwana Yesu mikononi mwako naiweka roho yangu.

Sema amen!
 
Umekurupuka rudi tena katafute source ya habari yako,
King Kiba alifika ZNZ tangu trh 24 alikua pamoja na kina Bien, Yemi Allade, Harmonize, Abby Chams, Seven Mosha, na wengine kibaooo, hadi waziri wa utalii Znz akampa zawadi, utasemaje management yake ilikua haijui kitu,
Tusubiri tutajua kilichotokea why hakwenda kwenye event
 
Mzee jaribu hata kidogo kufanya research kabla ya kupost chochote kwenye mitandao hasa kinachogusa maslahi ya watu, Kwa sababu uongo,unafiki na majungu sio mtaji mzuri hasa Kwa wanaume.
Alikiba alianza kufika Zanzibar mapema sana kati ya trh23/24 hivi akiwa na management yake, walifika hadi kwenye ofisi za wizara ya sanaa Zanzibar na kufanya mazungumzo na walipost kwenye page zao...
Na siku ya event mbona alionekana na wasanii wenzeke akiwa mwenye furaha tu na kama haitoshi alifanya rehasal jukwaani kabla ya performance yenyewe kuanza na clips zipo kwenye page zao...
Kwahiyo ulichoandika hapa ni uwongo na unafiki.PERIOD
 
Sema ee bwana Yesu mikononi mwako naiweka roho yangu. Lazima tupeane toba kwanza. Hii trace awards nimeisikia wasafi leo imenihuzunisha sana sana.

Alikiba kuwekwa hotel ya kawaida, Alikiba hakujulishwa muda wa kuperfor. Alikiba hakuoneshwa mandhari ambayo wanaenda kufanya show kama wengine.

Kama haya yametendeka basi kuna matatizo sana.

Muwe makini siku nyingine msiweke awards kumeiabisha mtu ama kumfurahisha hasimu wake haipendezi.

Na nyie management ya Alikiba mna shida binafsi nimesikia mko zaidi ya watano, kwanini msiwahi kuja kuangalia mteja wenu analala wapi?

Kama mnaona hotel haiko sawa mnamwambia hakuna haja ya kuja ama kuwajuza management ya trace.

Suala la kujua muda na sehemu ya kuperform hili ni lenu. Mlitakiwa muwaulize hao trace mteja wetu anafanyia wapi show na muda gani.

Nyie mnakwenda kumganda Alikiba hotelini amekuwa hirizii manyota? Kila pandos la kuzimu liwaachie kwa jina la Yesu.

Chochote kile akitokani na wewe bwana Yesu kipotelee mbali kiyeyuke.

Ee bwana Yesu mikononi mwako naiweka roho yangu.

Sema amen!
Nifah Unalolote la kuchangia hapa?
 
Mambo yameshakuwa Alikiba hawezi ku follow up tena trends za sasa, Alikiba atulie kulinda heshima yake akiendelea kuleta ujuaji sana na majivuno atazidi kupoteza ulejendari mwisho ataonekana kama bestnasso tu
Mlishasema hayo sana lakini ndio kwanza anapepea, ungeanza kumwambia Koffi na Awilo watulie walinde heshima zao, huujui mziki mzuri ushazoea kuchuma tembele
 
Nifah Unalolote la kuchangia hapa?
Mkuu, chanzo chenyewe ni Wasafi ambao Juma Lokole ndio alikuwa anaongea unategemea aseme nini?

Hizi ni propaganda kuonesha Kiba hathaminiwi, sio kweli.
Pekee ambacho Kiba hakukubaliana na waandaaji wa tuzo ni kutakiwa atumbuize bila band, akakataa akaondoka.

Wasanii wengine wote waliombwa kutumbuiza bila band wakakubali akiwemo Fally Ipupa na Rema, Kiba yeye alikataa licha ya kusisitizwa sana na uongozi wa Trace.
 
Mkuu, chanzo chenyewe ni Wasafi ambao Juma Lokole ndio alikuwa anaongea unategemea aseme nini?

Hizi ni propaganda kuonesha Kiba hathaminiwi, sio kweli.
Pekee ambacho Kiba hakukubaliana na waandaaji wa tuzo ni kutakiwa atumbuize bila band, akakataa akaondoka.

Wasanii wengine wote waliombwa kutumbuiza bila band wakakubali akiwemo Fally Ipupa na Rema, Kiba yeye alikataa licha ya kusisitizwa sana na uongozi wa Trace.
Kama ndio hivyo kajiharibia, maana kwa kufanya vile ni ngumu sana kupata mialiko kwenye events kubwa,sababu pale kwenye tuzo kuna wadau wakubwa wengi sana kwenye mziki wa Africa.

Ila mwache akili ni nywele kila mtu ana zake.
 
Mlishasema hayo sana lakini ndio kwanza anapepea, ungeanza kumwambia Koffi na Awilo watulie walinde heshima zao, huujui mziki mzuri ushazoea kuchuma tembele
Anapepea wapi! hit song ya mwisho kutoa ni lini?

u superstar wa bongo kwenye industry ya music (bongo fleva) unataka umashuhuli, matukio na makiki mengi kwenye mitandao nadhani hayo mambo kwa Alikiba hawezi sanaa anabaki kususa susa ujinga 😁
 
Anapepea wapi! hit song ya mwisho kutoa ni lini?

u superstar wa bongo kwenye industry ya music (bongo fleva) unataka umashuhuli, matukio na makiki mengi kwenye mitandao nadhani hayo mambo kwa Alikiba hawezi sanaa anabaki kususa susa ujinga 😁
wewe ni mjinga
 
Hivi Pdidy una miaka mingapi? 😂😂😂
Member since 2007 ni miaka 18 upo humu lakini namna unavyoandika nyuzi na comments zako 🤦‍♀️
Mi nilidhania ni peke yangu ndio huwa natatizika na uandishi wa huyu muhenga 😂😂
 
Back
Top Bottom