Trace imetia aibu kabisa, nimesikia WASAFI nikashangaa sana. Pia, management ya Alikiba mna shida

Trace imetia aibu kabisa, nimesikia WASAFI nikashangaa sana. Pia, management ya Alikiba mna shida

Si unaona hata wewe mkuu 😂
Tena hiyo miaka 38 ni makadirio ya chini
Kuna baadhi ya watu hukuwa tarakimu za miaka tu na si maarifa.

Mizee ya ovyo huanza kuwa vijana wa ovyo.
 
Diamond ana roho mbaya sana.
Sijui watu wanampendea nini yule shoga mbwa mavi kabisa ..Kuna siku nilimuona jamaa flan shabiki amempigia magoti dah siku hio nilitukana matusi yote na nikaamin kweli umaskin ni zaidi ya LAANA...
 
Kama ndio hivyo kajiharibia, maana kwa kufanya vile ni ngumu sana kupata mialiko kwenye events kubwa,sababu pale kwenye tuzo kuna wadau wakubwa wengi sana kwenye mziki wa Africa.

Ila mwache akili ni nywele kila mtu ana zake.
Kiba hawezi kujiharibia mkuu yeye sio Mario au kina Rayvan.

Hiyo hiyo misimamo itafanya wakati mwingine wasimdharau au kudharau wasanii.

Inaonekana mkuu ushazoea kudharauriwa na kulamba watu miguu 😁
 
Kiba hawezi kujiharibia mkuu yeye sio Mario au kina Rayvan.

Hiyo hiyo misimamo itafanya wakati mwingine wasimdharau au kudharau wasanii.

Inaonekana mkuu ushazoea kudharauriwa na kulamba watu miguu 😁
Yaani kufanya show bila band ndio kuonesha wamemdharau? Fally Ipupa ana bend yake ,ila still kakubali kupiga kwa playback, Rema yule ana hits songs iliyo kaa kwa mda mrefu Billboard na juzi kapiga show kwa Bilionea Ambani still bado kapiga bila band. Ina maana hawa wamedharauliwa na Trace? Halafu kesho mambo yake ya kikwama ktk level za kimataifa atasema anabaniwa.

Trace ni chombo kikubwa cha burudani Afrika,juzi kulikuwa na wadau kibao ambao wana connection kwenye mziki huu wa Afrika, wanaweza kutumia hiyo events kupima attitude ya Kiba.Sizani kama walimdharau, wasanii wakubwa wenye profile kubwa kuliko yy walipiga kwa kutumia playback na tena waliombwa,hivi unajua maana ya kuombwa?

Halafu wakati wa kipindi cha uchaguzi kwenye kampeni, atapiga show mikoa yote kwa kutumia playback,kawakatalia Trace ila kwenye kampeni atawakubalia chama tawala na atapiga show kwa kutumia playback.

Ndio maana nimekuambia akili ni nywele kila mtu anazake
 
Yaani kufanya show bila band ndio kuonesha wamemdharau?
Makubaliano yalikuwa vipi, anaimba kwa band au hakuna band? Kama yalikuwa anaimba na band unakuja kumpa taarifa hakuna kuimba na band siku na eneo la tukio ni kosa la nani kutokuwa professional?

Fally Ipupa ana bend yake ,ila still kakubali kupiga kwa playback, Rema yule ana hits songs iliyo kaa kwa mda mrefu Billboard na juzi kapiga show kwa Bilionea Ambani still bado kapiga bila band.
Mkuu tunamzungumzia Ali Kiba, na kibiashara na kimuziki kila mtu ana maamuzi yake. Rema kuwa na hit song billboard sio excuse ya kubadili makubaliano kati ya watu that's a fact.

Ina maana hawa wamedharauliwa na Trace? Halafu kesho mambo yake ya kikwama ktk level za kimataifa atasema anabaniwa.
Kama makubaliano yao before yalikuwa waimbe live then wakabadilishiwa kama hakuna reasonable reasons basi wamewachukulia poa poa tu.

Angekuwepo Chris Brown hapo wangefanya hivo? Au imagine Usher Raymond anafatwa backstage anaambiwa hakuna kupanda na band yako utapiga playback unafikri ingekuwaje?

Trace ni chombo kikubwa cha burudani Afrika,juzi kulikuwa na wadau kibao ambao wana connection kwenye mziki huu wa Afrika, wanaweza kutumia hiyo events kupima attitude ya Kiba.
Kwa nini wao Trace wasijipime kwa tamasha bovu namna ile kwanza kabla hawajaanza kumpima huyo Kiba? Wameshindwa kupandisha band, mambo kibao yalikuwa bora liende tamasha bovu wanapima kitu gani sasa?

Sizani kama walimdharau, wasanii wakubwa wenye profile kubwa kuliko yy walipiga kwa kutumia playback na tena waliombwa,hivi unajua maana ya kuombwa?
Ukiombwa mkuu si ina majibu mawili, ukubali au ukatae? Sasa unamlaumu nini Kiba kukataa kitu ambacho ameombwa na sio lazima?

Halafu wakati wa kipindi cha uchaguzi kwenye kampeni, atapiga show mikoa yote kwa kutumia playback,kawakatalia Trace ila kwenye kampeni atawakubalia chama tawala na atapiga show kwa kutumia playback.
Makubaliano kabla hajapanda kwenye kampeni ni ataimba playback au live? Kama wakikubaliana na akalipwa aimbe playback tatizo litakuwa wapi?

Ndio maana nimekuambia akili ni nywele kila mtu anazake
Ni kweli.
 
Sijui watu wanampendea nini yule shoga mbwa mavi kabisa ..Kuna siku nilimuona jamaa flan shabiki amempigia magoti dah siku hio nilitukana matusi yote na nikaamin kweli umaskin ni zaidi ya LAANA...
Wewe kwanini una mchukia mtu ambaye hakujui?
 
Makubaliano yalikuwa vipi, anaimba kwa band au hakuna band? Kama yalikuwa anaimba na band unakuja kumpa taarifa hakuna kuimba na band siku na eneo la tukio ni kosa la nani kutokuwa professional?


Mkuu tunamzungumzia Ali Kiba, na kibiashara na kimuziki kila mtu ana maamuzi yake. Rema kuwa na hit song billboard sio excuse ya kubadili makubaliano kati ya watu that's a fact.


Kama makubaliano yao before yalikuwa waimbe live then wakabadilishiwa kama hakuna reasonable reasons basi wamewachukulia poa poa tu.

Angekuwepo Chris Brown hapo wangefanya hivo? Au imagine Usher Raymond anafatwa backstage anaambiwa hakuna kupanda na band yako utapiga playback unafikri ingekuwaje?


Kwa nini wao Trace wasijipime kwa tamasha bovu namna ile kwanza kabla hawajaanza kumpima huyo Kiba? Wameshindwa kupandisha band, mambo kibao yalikuwa bora liende tamasha bovu wanapima kitu gani sasa?


Ukiombwa mkuu si ina majibu mawili, ukubali au ukatae? Sasa unamlaumu nini Kiba kukataa kitu ambacho ameombwa na sio lazima?


Makubaliano kabla hajapanda kwenye kampeni ni ataimba playback au live? Kama wakikubaliana na akalipwa aimbe playback tatizo litakuwa wapi?


Ni kweli.
Sawa siku njema.
 
Sijui watu wanampendea nini yule shoga mbwa mavi kabisa ..Kuna siku nilimuona jamaa flan shabiki amempigia magoti dah siku hio nilitukana matusi yote na nikaamin kweli umaskin ni zaidi ya LAANA...

Kunywa maji kidogo inaweza kusaidia
 
Kunywa maji kidogo inaweza kusaidia
Shoga mbwa mavi kunuka tu yule anafirwa na puff daddy halaf anajiona kidume kuzarau wengine kujiona ana pesa sana[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Huyo Kiba wenu kila siku yeye malalako tu, akalete usoft kwa mamaake huko. Nchi yenyewe hii lazima uwe tough, watu wanahombea daladala every day kuwahi job. Yeye analialia eti hawakumpiga busu alivyofika Zanzibar, nyambaf
 
Hivi Pdidy una miaka mingapi? 😂😂😂
Member since 2007 ni miaka 18 upo humu lakini namna unavyoandika nyuzi na comments zako 🤦‍♀️
Ka improve sana,anastahili pongezi.
Alikuwa hawezi kuandika kabisa
 
Shoga mbwa mavi kunuka tu yule anafirwa na puff daddy halaf anajiona kidume kuzarau wengine kujiona ana pesa sana[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]

Mwambie akufanyie mpango na wewe upate bwana, au hutaki pesa?
 
KAma upo Jf kitambo huwezi mshangaa huyu jamaa..
Zamani tulipatage nae tabu uandishi wake ,ila tukamzoea..
Na hasemagi kwann anaandikaga hivyo..

Nipo JF tangu 2016
Mimi bado ananishangaza,labda kwasababu sioni akiandika mara nyingi bado sijamzoea sana
 
Nipo JF tangu 2016
Mimi bado ananishangaza,labda kwasababu sioni akiandika mara nyingi bado sijamzoea sana
Huyo jamaa ni kama kufurahisha genge ila akiamua kuandika makala vizuri hufanya hivyo mara moja moja
 
Diamond ana roho mbaya sana.
Sana sana na ya ajabu SIJAWAHI ona

Hizo awards za KISHENZI Ali kiba ajifunze sio kila awards za kuperform
 
Back
Top Bottom