Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni range kaka from lita 4 mpka 7Lita 7 sio kidogo ni nyingi Sana kwa tractor
Wewe kwa experience yako ni lita ngapi? Maana naona kila kitu unapingaLita 7 sio kidogo ni nyingi Sana kwa tractor
Wewe ndio unazijua karibu tufanye biashara kitu Ford bwana bei 35m na maongezi kidogo yapoDuh hizi mali hizi...mamaeee
wakati wenzako wanazungumzia FORD MASSEY FERGUSSON wewe unazungumzia Swaraj huoni kwamba unaleta kichefuchefuAgricom wanauza Swaraj ya HP 55 (mpya) kwa 36,000,000. Je, hizo zako ni mpya au zimepakwa rangi!
Karibu mkuuYaani nimeziona mpaka nimesimamisha mkuu...
Hahahaaaa
Ngoja nijipange nitakuja mkuu,nina heka 1000 zangu nazilima kishamba sana mamaeee
Asante mkuuwakati wenzako wanazungumzia FORD MASSEY FERGUSSON wewe unazungumzia Swaraj huoni kwamba unaleta kichefuchefu
Za Kwako Ni Mpya Ama Zimepakwa Rangi?
Karibu black sniper tufanye biashara
Hakika tractor hizo ni nzuri sana kwa kazi maana hizo brand za mf na Ford zinajulikana kwa kazi ni sawa na mtu anayeongelea landcruiser au landlover hapa tzMatractor yanauzwa yapo Dar
1. Tractor aina ya Massey Fergason 165 nyekundu, 2 wheel inaunzwa 13, 000,000,
2. Ford 7610( 35,000, 000) 4 wheels
3. Ford 6610(35,000,000), 4 wheels
Tractor zote zimeishalipiwa kila kitu TRA ukifanyika biashara unaenda kuchukuliwa namba TRA
Kama utaitaji njoo PM tufanye biashara
View attachment 1920898View attachment 1920899View attachment 1920900View attachment 1920901View attachment 1920902View attachment 1920904
View attachment 1920903
Tofauti yake siyo saana. Wengi wanadhani kwa sababu Ford ni ya Ulaya ni bora kuliko Swaraj (ya India). Wanaozitumia hizi wanasema Swaraj ni bora kuliko Ford na inatumia mafuta vizuri, lakini kwa vile ford ni ya Ulaya tunadhani ni bora! Hivyo hivyo tulikuwa tukidharau bidhaa za china, lakini Ulaya/USA 80% ya bidhaa madukani zinatoka China na asili mia kubwa ya magari tunayoyaita ya Japani, Ulaya, n.k. components zake zimetengezwa China.Swaraj na Ford ubora unatofautiana mkuu kama wewe unajua trekta
Bei gani!!?Matractor yanauzwa yapo Dar
1. Tractor aina ya Massey Fergason 165 nyekundu, 2 wheel inaunzwa 13, 000,000,
2. Ford 7610( 35,000, 000) 4 wheels
3. Ford 6610(35,000,000), 4 wheels
Tractor zote zimeishalipiwa kila kitu TRA ukifanyika biashara unaenda kuchukuliwa namba TRA
Kama utaitaji njoo PM tufanye biashara
View attachment 1920898View attachment 1920899View attachment 1920900View attachment 1920901View attachment 1920902View attachment 1920904
View attachment 1920903
Hii masey fagason ndiyo ile alikuja nayo Vasco Dagama?Matractor yanauzwa yapo Dar
1. Tractor aina ya Massey Fergason 165 nyekundu, 2 wheel inaunzwa 13, 000,000,
2. Ford 7610( 35,000, 000) 4 wheels
3. Ford 6610(35,000,000), 4 wheels
Tractor zote zimeishalipiwa kila kitu TRA ukifanyika biashara unaenda kuchukuliwa namba TRA
Kama utaitaji njoo PM tufanye biashara
View attachment 1920898View attachment 1920899View attachment 1920900View attachment 1920901View attachment 1920902View attachment 1920904
View attachment 1920903
Bei zipo hapo juu mkuuBei gani!!?
nichukue limoja nikalimie kibaha
Hii imekuja na Meli Mv kambondiaHii masey fagason ndiyo ile alikuja nayo Vasco Dagama?