Traffic Lights za Kimara Bucha hazifanyi kazi kwa muda sasa. Wahusika kulikoni?

Traffic Lights za Kimara Bucha hazifanyi kazi kwa muda sasa. Wahusika kulikoni?

adakiss23

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
4,732
Reaction score
4,901
Takribani wiki na zaidi traffic lights zilizopo Kimara Bucha hazifanyi kazi na wahusika wako kimya. Ni eneo hatari mno kwa watumiaji wa barabara, kutofanya kazi kwa taa hizi ni sawa na kuliandaa taifa kuelekea msiba mzito maana hakuna anayejali si Tanroads ambao ndo wahusika wa kuu wala askari wa barabarani. Sijui wahusika hawaoni hatari iliyopo ukizingatia ni barabara yeye magari mengi mno hususani magari ya mizigo. Wahusika chukueni hatua za haraka kabla ya janga lolote tafadhali.
 
toa location vzr mkuu ndo naingia kazini sasa hv vp kuna raia eneo hilo au kumepooza nianze kupiga doria h apo
 
Back
Top Bottom