Traffic police morogoro road tunaomba maroli yaruhusiwe usiku

Traffic police morogoro road tunaomba maroli yaruhusiwe usiku

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
SIku za karibuni maroli yamekua kero sana njia ya Morogoro na traffic police wao wame focus zaidi kukamata magari yenye faini badala kuongoza magari ili tuwahi kwenye shughuli za kiuchumi.

Foleni imekua kubwa sana kupitiliza kawaida na hakuna juhudi zozote zinafanywa na police ili kurekebisha hali hii, si jioni si asubuhi ni kero kweli kweli.
 
SIku za karibuni maroli yamekua kero sana njia ya Morogoro na traffic police wao wame focus zaidi kukamata magari yenye faini badala kuongoza magari ili tuwahi kwenye shughuli za kiuchumi.

Foleni imekua kubwa sana kupitiliza kawaida na hakuna juhudi zozote zinafanywa na police ili kurekebisha hali hii, si jioni si asubuhi ni kero kweli kweli.

Tukumbuke kuwa Tanzania inabeba majukumu mazito ya matumaini ya nchi 7 za Ushoroba wa Kati Central Corridor na nchi hizo ni Malawi, Zambia, DR Congo, Burundi, Rwanda, Uganda na Tanzania yenyewe huku wadau wakiwa na matumaini uchumi na usafiri wa masaa 24 kila siku bila kuwekewa vizuizi

Wadau wa Ushoroba wa Kati toka nchi 7 walitembelea kuangali majukumu haya mazito ya Tanzania, hatuwezi kupiga marufuku kazi isiendelee saa 24 huko ni kufubaza juhudi za kuendeleza uchumi wetu na kufukuza nchi majirani wasitumie barabara ,bandari, reli na airport zetu.

ZIARA YA KUKAGUA USHOROBA KWENDA NCHI ZA MALAWI NA ZAMBIA,KUANZIA BANDARI YA DAR


View: https://m.youtube.com/watch?v=QNGUTLpTNoQ
 
SIku za karibuni maroli yamekua kero sana njia ya Morogoro na traffic police wao wame focus zaidi kukamata magari yenye faini badala kuongoza magari ili tuwahi kwenye shughuli za kiuchumi.

Foleni imekua kubwa sana kupitiliza kawaida na hakuna juhudi zozote zinafanywa na police ili kurekebisha hali hii, si jioni si asubuhi ni kero kweli kweli.
Police ni sehemu ya tatizo
 
Back
Top Bottom