tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Mimi nakula pesa zangu,mimi sio nzi wa kijani kama wewe.Brazaj una ila,uchaguzi ushakwisha
Wewe siyo tila lila,kurejea yaloisha
Lissu huko anakula,anayaponda maisha
Nchi tujenge pamoja,ya namba tusiyakuze
Nawe Mrangi sikia,usizidi kuchongea
Siku wakikupatia,usije kutugongea
Akili zitakwishia,uanze kunyong'onyoe
Nchi tujenge pamoja ya namba tusiyakuze
Sefu yeye kabaini,lazima tushikamane
Ametilia maanani,Nchi kwanza si mengine
Makandokando ya nini,Hatuna kwenda kwingine
Nchi tujenge pamoja ,ya namba tusiyakuze.
Mimi nakula pesa zangu,mimi sio nzi wa kijani kama wewe.
Subiria teuzi utapewa hata viti maalum uwt
Brazaj una ila,uchaguzi ushakwisha
Wewe siyo tila lila,kurejea yaloisha
Lissu huko anakula,anayaponda maisha
Nchi tujenge pamoja,ya namba tusiyakuze
Nawe Mrangi sikia,usizidi kuchongea
Siku wakikupatia,usije kutugongea
Akili zitakwishia,uanze kunyong'onyoe
Nchi tujenge pamoja ya namba tusiyakuze
Sefu yeye kabaini,lazima tushikamane
Ametilia maanani,Nchi kwanza si mengine
Makandokando ya nini,Hatuna kwenda kwingine
Nchi tujenge pamoja ,ya namba tusiyakuze.
Usitutishe lolote,hiyo court kangaruuYa namba mbona madogo, kwani hata yanakuzwa?
Ngoma meno na mandongo, watapolima mazwazwa!
Kwani wala ni uongo, tuko kama tumeuzwa,
Ndiyo ukweli mchungu, wapora haki si watu.
Vipi tuafikiane, na wezi na wauaji,
Hata tubaki wanne, si mwenzetu mporaji,
Hata ipite karne, ipo siku tutahoji,
Senzighe utuelewe, tuna machungu moyoni.
Sefu ameweka wazi, ICC yawahusu,
Kule kunachapwa kazi, yasubirini ya Lissu,
Mlidhani sisi mbuzi, tutatishika kwa visu?
Hii ngoma bado mbichi, kwa sisi Sefu na Lissu!
Usitutishe lolote,hiyo court kangaruu
Hakuna kwenda popote,Lissu ni mwoga kunguru
Mtaimba nyimbo zote,mwishowe mtakufuru
Brazajei subiri,mitano ipite kwanza
Leo nimekamatwa na traffic eti gar yangu Ina den imepigwa fain tar 31 wakat mwezi wa 11 wakat gar yangu ipo ndan sijaitumia now wiki Tatu natumia gar ya mke wanguKumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani.
Ukiingia kwenye mtandao wao wa tms.tpf.go.tz unasachi gari yako unaona kweli umeandikiwa kosa kwa muda huo lakini unakuta kosa hilo limefanyikia mkoani. Ukienda kuripoti tatizo hilo unaelekezwa uende traffic Central ili tatizo lako liweze kushughulikiwa na kitengo kinachohusika na malalamiko kama hayo.
Hapo sasa unaanza kuzungushwa kwani unaambiwa uache namba ya simu watalishughulikia na wanakueleza uwapigie kuwakumbushia. Sasa ukishaondoka hapo baada ya siku chache ukimpigia yule mhusika hapokei tena simu yako na ukitazama kwenye mtandao deni liko palepale.
Tunaomba wakuu wanaohusika ndani ya Jeshi letu la Polisi walitazame jambo hili la kubambikiwa faini kwani linawanyima raha wananchi wanaotumia vyombo hivi na kuwafanya wakose imani na jeshi lao la polisi ambalo tunaamini kuna maeneo wanafanya kazi vizuri sana.
Mimi nimefanyiwa hivyo makosa matatu na penati laki na themanini uzuri trafiki alipiga faini kimakosa namuandama kila siku ayalipe yeye ameshalipa mawili bado mojaKumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani.
Ukiingia kwenye mtandao wao wa tms.tpf.go.tz unasachi gari yako unaona kweli umeandikiwa kosa kwa muda huo lakini unakuta kosa hilo limefanyikia mkoani. Ukienda kuripoti tatizo hilo unaelekezwa uende traffic Central ili tatizo lako liweze kushughulikiwa na kitengo kinachohusika na malalamiko kama hayo.
Hapo sasa unaanza kuzungushwa kwani unaambiwa uache namba ya simu watalishughulikia na wanakueleza uwapigie kuwakumbushia. Sasa ukishaondoka hapo baada ya siku chache ukimpigia yule mhusika hapokei tena simu yako na ukitazama kwenye mtandao deni liko palepale.
Tunaomba wakuu wanaohusika ndani ya Jeshi letu la Polisi walitazame jambo hili la kubambikiwa faini kwani linawanyima raha wananchi wanaotumia vyombo hivi na kuwafanya wakose imani na jeshi lao la polisi ambalo tunaamini kuna maeneo wanafanya kazi vizuri sana.
Then akiitwa ?Hapa ni rahisi.
Kwakuwa huwa wanaandika namba ya gari na leseni, waambie wakupe jina la mwenye leseni nae aitwe.
Mnatishwa na vibwengo,vinakaa uholanziKutisha si hulka yangu, wala ya wapambanaji,
Watishaji wa marungu, si nyie wakamataji?
Tumeyaonja machungu, kote hadi kwenye paji,
Pelekeni taarifa, tuko imara kinoma!
Kangaruu ya dunia, siyo hizi Tanzania?
ICC waijua, au unaisikia?
Achana na vya dunia, hali yako pambania,
Wazitaka kangaruu, hizo zimejaa kwetu!
Umesema sahihi kabisa.Hawa polisi JPM Keshabariki maovu yao. Hata useme vipi hawachukuliwi hatua yoyote. My take jihadhari na polisi vitengo vyote kadiri unavyoweza, epuka sana kutumia private means of transport. Zile POS walizopewa ni majanga unabambikwa kosa ukilalamika unaambiwa wamepewa malengo ya makusanyo. Ukiuliza mbona hiyo kazi ya kukisanya mapato siyo ya polisi ni ya Tra unaambiwa twende kituoni ukaseme hayo matusi mbele ya OCD. ukifika huko unawekwa ndani. Chezea polisi ya magu wewe!
Swali zuri sanaLeseni yako anakuwa kaipata wapi? Ina maana wanakisia namba ya gari na namba ya leseni pia?
Sasa we presha ya nini?Gari ni ya kwako na namba zake hizohizo, Ila leseni ni ya mtu mwingine.
Sasa we presha ya nini?
Namba ya leseni sio yako, basi tulia!
Mnatishwa na vibwengo,vinakaa uholanzi
Zimepanda zao shingo,kazi yao makamuzi
Wamepanuka maungo,kusikiza upuuzi
Waende na Marekani,kukamata wauaji.
Hao ni watu laghai,wasumbufu AfrikaWakoloni tumeona, weupe hata weusi,
Ubaya wanafanana, baba lao ni jeusi!
Bila Hague kuyabana, tungepumua je sisi?
Udumu sana beberu, mbona yangetumaliza!
Me waligoma ikabidi nilipe nikawa mbia nileteyeni huyo dereva wakasema sio kazi yao tunapitia magumu sana 😭Jamaa angu juzi kati kaandikiwa faini mara 4 sehemu tofauti mkoani na gari ipo ndani hapa Dar miezi mitatu haijatoka.
Alivyowafata wakamfutia wakasema walikosea
Atulie!!!?Sasa we presha ya nini?
Namba ya leseni sio yako, basi tulia!
sasa unalipaje faini kama hiyoGari ni ya kwako na namba zake hizohizo, Ila leseni ni ya mtu mwingine.
Hao ni watu laghai,wasumbufu Afrika
Wakisha kuvaa tai,hujiona malaika
Husingizia jinai,kuwalinda vibaraka
Na wakome wakomeke,kuifuata Tanzania.