Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Ndo maana mimi huwa napenda kupanda hizo gari haswa za wanajeshi kama wana safari zao kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine
Kuna siku nakumbuka nilipanda gari ya mwanajeshi ilikuwa kutoka Tanga kwenda Moro tukatumia Masaa matatu tu badala ya masaa sita
Wanajeshi usiwashobokee kama wanasafari zao acha wenyewe wampe kazi mpiga debe awatafutie abiria utaenjoy safari yako
Mkifika sehemu ya kula au kuchimba dawa mtaulizwa kabisa mnunue misosi kisha muendelee na safari kama hakuna mnaendelea na safari
Traffic akiipiga mkono akiona gwanda tu anaipigia saruti kisha utasikia, "Muheshimiwa unakimbia sana naomba upunguze sipidi kidogo"
Kuna siku nakumbuka nilipanda gari ya mwanajeshi ilikuwa kutoka Tanga kwenda Moro tukatumia Masaa matatu tu badala ya masaa sita
Wanajeshi usiwashobokee kama wanasafari zao acha wenyewe wampe kazi mpiga debe awatafutie abiria utaenjoy safari yako
Mkifika sehemu ya kula au kuchimba dawa mtaulizwa kabisa mnunue misosi kisha muendelee na safari kama hakuna mnaendelea na safari
Traffic akiipiga mkono akiona gwanda tu anaipigia saruti kisha utasikia, "Muheshimiwa unakimbia sana naomba upunguze sipidi kidogo"
Hii nilikutana nayo wiki iliyopita kwenye yale mataa ya mbuyuni kama unatokea mjini kuitafuta Morocco. Ilikuja coaster SU/STL sikumbuki vizuri. Tukiwa tumesimamishwa na Traffic,jamaa alijipenyeza akapita akaenda zake.