passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Ulikuwepo eneo la tukio?Wavaa magwanda ya mabaka mabaka wengi wao ni washamba malimbukeni hapa kajilaza tu hili tarafki amguse wapigane hiyo ndio akili yao washamba sana hawa jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwepo eneo la tukio?Wavaa magwanda ya mabaka mabaka wengi wao ni washamba malimbukeni hapa kajilaza tu hili tarafki amguse wapigane hiyo ndio akili yao washamba sana hawa jamaa
Jambo afande?!Ulikuwepo eneo la tukio?
Tatizo hasa sio elimu. Wengi wanaelewa sana wanachofanya - kwamba si sahihi. Lakini wamejengewa saikolojia kuwa wao ni “watu special” hawatakiwi kubanwa na sheria na taratibu za nchi. Ndivyo watawala wa nchi hii wanavyotaka. Kwamba kuna watu maalum walio juu ya sheria na kuna umma wa “wanyonge”.Elimu itolewe kwa wananchi na askari wote wasiojielewa.
Ya watanzania. Jeshi linawatumikia watanzania. Kuzuia huduma bila sababu ya msingi sio kazi ya jeshi. Hili Jeshi lina heshima kubwa sana na limefanya mambo mengi makubwa.Kwa uelewa wako ni Mali ya nan