Trafic huyu jamani

Jamani mtu yyte ani PM maana sijawahi kupata msg yyte PM au mm kumtumia mtu so yyte naomba anitumie nione how I can reply
 
[QUOTE="mapipando, post: 25873315, umefika mbali
 
Trafik wa kike wa Morogoro ngoja niwaite humu!
 
Zile crush zako naona MBITIYAZA ameanza kutembelea nyota yako.

Hahaa looh

Tafadhali usianze nifananisha na mtu humu. Kasinde sina kificho chochote nawekaga wazi mwenyewe. Ukimuona Kasie basi ujue ndo Kasinde na ukimuona Kasinde basi umempata Kasie.

Wengine wote sio mie, take it from me.
 
Aisee kwahiyo kumbe hiyo gar nilikununulia ili uanze kucheka cheka na matrafic njian na kutoleana ulimi?

Nikikunyanganya tusilaumiane
 

Pengine nae anataka aiongoze ' Mbunye ' yako kama ambavyo anayaongoza Magari Mkuu. Kikubwa mpe tu ' ushirikiano ' ili atiririke na aserereke nayo ' Kibaiolojia ' kwani hatoondoka nayo na atakuachia kwa matumizi ya aliyepewa ' Leseni ' Kanisani Madhabahuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…