Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Hapa ni mtaa wa Mshangano Manispaa ya Songea pembeni kuna michepuko wa kwenda Tunduru, Mtwara hadi Dar gari zote zinapita hapa barabara haiwezi kuhimili.
Halafu hapa stendi watu wengi na hakuna trafiki raia anajitolea huyu.
Halafu hapa stendi watu wengi na hakuna trafiki raia anajitolea huyu.