Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo limepumzika baada ya kazi ngumu?Ni mpumbavu toka Kunyaland tu anaweza ku-claim limepinduka yet the ground that it has overturn is smooth!
Huyu jamaa aliyepiga hii picha muda si mrefu wasiojulikana watalala naye mbele. Huyu katumwa na mabeberu kuhujumu uchumi wa serikali ya awamu ya dalaMambo ni mzunguko
View attachment 1092409
Kiongozi we ni mtaalam kuliko waturuki. Sijui kwanini serikali haikukuona ikupe hii tenda. Ndo hivyo tena hatunaga tabia ya kujali vya nyumbaniHawa Waturuki bhana! Hii treni ilikuwa inasafrishwa kwenye matoroli /'wheel barrow' kwenda Pugu, what did you expect!
Si mnajua hizi reli za SGR na ile ya zamani haziiingiliani? So wakaipakiza kwenye vitoroli naona ndio imemwagika!
Ndo ivo mkuu. Ilitakiwa waipandishe kwenye behewa la mizigo la treni ya reli ya kati wakaishushie kule Pugu. Sio kwenye hivyo vitoroli walivyoipakia.Kiongozi we ni mtaalam kuliko waturuki. Sijui kwanini serikali haikukuona ikupe hii tenda. Ndo hivyo tena hatunaga tabia ya kujali vya nyumbani
Ze modan burreti traini in Afrika.Mambo ni mzunguko
View attachment 1092409
Kwa hivo wewe unaona limesimama? Kweli Mbongo ni bongolala. Nenda kali Geuze lilale.Ni mpumbavu toka Kunyaland tu anaweza ku-claim limepinduka yet the ground that it has overturn is smooth!
Hicho kichwa hakikutupendeza, tumeamua tukitupe hapo tuagize kingine kipya..Naona tabia za kibera ya kuchokora chokora takataka ya wengine bado ipo...Mnaweza kuja kuokota takataka yetu ikiwapendezaMambo ni mzunguko
View attachment 1092409
Ndivyo tunafanya, kichwa tumetupa hapo..Mumekosa kazi hadi lazima mjushugulishe na vitu ambazo Tz imetupa? Mtz akikunya lazima ulete picha hapa eti hiki hapa kinyesi cha mtz..Tabia za kibera mpunguzeShughulikieni shida zenu