Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau Dr. Suleiman, Dr Abdul na Dr, Gregory mkenda, Dr. Zahor twalib.Nawakumbuka akina Prof Arora, Mutaitina, Luchemba, Dr Suzanne, Dr Kasoga, Dr Kihara, Dr Mkumbo nk.....nk. 😂😂😂
🤔😳🤫Hawa ndio wale moles ambao wapo wkenye taasisi lakini hawana manners
Snitches
Vyuo vya Tanzania vinazalisha matapeli, walalamishi, wala rushwa na makahaba tu.
Vyuo vikuu havina faida yoyote. Tangu 1961 mpk leo havijagundua wala kuuza teknolojia yoyote duniani.
Wahadhili wanaweza papuchi za wanachuo muda wote badala ya kufanya tafsiri.
Kitendo cha kusema Chuo kijiendeshe kutokana na mapato ya ada za wanafunzi ndiyo kinadidimiza vyuo kiuendeshaji !!!Kinachotafutwa ni salary scale ya PUSS na kuongeza programu za udahili ili kuongeza mapato ya chuo.
Duh!! Kisa ulijifunza methali ya "samaki mmoja akioza wote walioko kwenye mfukoni wameoza", ndiyo unatamba nayo Hata kwenye sehemu isiyohusika!?Vyuo vikuu havina faida yoyote.
Haaa haaaa nini kina kuuma wao wakiwa chuo kikuu. Tanzania bado tunahitaji vyuoTaratibu mbona degree walikuwa wakitoa kabla zilikuwa zinatambuliwa na waajiri IFM ikiwa Institute
Kwani wewe una mana yoyote hapa dunia zaodi ya kuwa msukule wa mzee Mbowe?Hakuna la maana
Hii sio hoja elimu ni muhimu sio lazima upate ajira, fikiria kujiajira bado TanzaniaPure duplication and proliferation of universities teaching same stuff and all belonging to same government !! Si kuna Mzumbe, Arusha, CBE, IFM, UDM, UDOM etc ?
Matokeo yake wahitimu wanaishia kuuza karanga
Mkuu sentensi ya mwisho iko sawa kweli?Bila kusahau Dr. Suleiman, Dr Abdul na Dr, Gregory mkenda, Dr. Zahor twalib.
Nilipita hapo mwaka 2007-2011.
One of my life experiences I have had.
Tulia dada anguKwani wewe una mana yoyote hapa dunia zaodi ya kuwa msukule wa mzee Mbowe?
Ahaaa haaa ndio Kiingereza cha wanafunzi wa Institute. Kazi kweli kweliMkuu sentensi ya mwisho iko sawa kweli?
Pole sana Mangi ,endeleeni kunsujudu Mzee MboweTulia dada angu
Acha wenye kuelewa maana ya Elimu tuotafute Elimu husikaTiendelee kutoa degree za kizurula mtaani.
This sounds loud and clear. Shida ni uroho wa madaraka tu. Kila mtu anataka awe boss anamilik mafungu yake.Why not incorporate it with CBE and make one big university of Finance and Commerce?
Or create one business School in the country with affiliation with UDSM.
So, graduates get their degrees from UDSM via Business School.