Transport infrastructure in Kenya

Transport infrastructure in Kenya

This is Nairobi Southern Bypass with cyclists enjoying their ride.#OnlyInKenya




13129898_1044730205592816_1709622605_n.jpg



13183291_232045957164631_527263334_n.jpg



13188044_838002789639435_1307215568_n.jpg



13183259_1020546704692566_164242136_n.jpg



12501546_703772629765463_1265999969_n.jpg



source
 
Na waTz msianze kusema hao wazungu mnaowaona kwenye hizi picha ndo waliojenga hii Highway.😛
 
If you look closely at the last pic,Upperhill skyline can be seen with views of KCB,BRITAM towers..on your left.
 
Tzn kupata miundombinu ya kisasa kama hiyo huko kwenu kenya labda kizazi cha ccm kife.Dar nzima barabara pekee za kisasa ni Sam Nujoma road na interchange ya kuingia daraja la kigamboni.Kwa jinsi wabongo tunavyoongea tungekuwa na vitu vikali kama vyenu wakenya mungekoma unfortunately penye miti hakuna wajenzi.
 
Dar ni mji mkubwa sana na una watu wengi karibu 2 times ya Nairobi but worse enough totally no city planning,kila mtu amejenga anavyojiskia unlike Nai now kwa hali hii kuja kupata miundombinu ya maana kama hiyo ni ngumu na expensive sana sijui viongozi wa ccm walikuwa wanawaza nini,kama walianzisha mamlaka ya kupanga mji Dodoma walishindwa nini Dar na miji mingine mikubwa Tzn? Deeply sad!
 
Dar yafaa iwe na zoning proper ka vile Nai.Mfano Nai kuna residentials :Karen,Ridgeways,Hurlingham,Runda etc
Kuna zone za magorofa marefu Upperhill,Westlands na CBD hivyo basi miundo mbinu yaweza kujengwa bila ya uhamisho na ubomozi mkubwa ingawaje kuna waliojenga kwenye miundo mbinu na hayo majengo hubomolewa.
 
7175572725_2bb9bd8ca6_b.jpg
__________________

7175585061_428e5579cf_b.jpg

__________________
7175637313_33037b2028_b.jpg
__________________
7175622963_8e16352669_b.jpg


image hosted on flickr
7360857254_71bef0b51d_b.jpg

__________________
 
7368397950_5b83f4cf70_b.jpg


The View by NYS


7368417730_659d90b8ca_b.jpg


Near EABL


7368419340_79c106028b_b.jpg


Allsops Overpass towards town


7183246767_78d8897a29_b.jpg
__________________
 
Back
Top Bottom