Trapped to a married man

Hata nyie mbona mnapitia mengi na mapungufu yanakuwepo hata kwenye mechi, inshort nikimjua mwanaume mechi kadhaa namkinai tu, so ukisema Ni nyie si kweli
Yaani humkinai hvhv tu,Labda kama hakunyegeshi vizur na kukupandsha panapo kilele ndo utamkinai....

Mwanamke kubadili wanaume hilo tatizo Sasa..
 
Nia ya usiri ni kuto muathiri bi mkubwa
Ila ndugu wa mume mpaka mama mkwe mawifi marafiki wananijua
Nisingependa huyu mke mkubwa aumie kwasababu ya mume wake ndio maana nalitafakari hili
Hao ndugu na mama ni balaa. Wanapromote mchepuko wa ndugu yao kuliko mke halali?
Kweli jamaa no tajiri haswa. Ka-corrupt hadi akili za wanaotakiwa kukemea ujinga wake.
 
It seems huyo mama mkwe na familia wanataka kumkomoa huyo mke mkubwa vile ukute hawalambi makalio na wewe unajipendekeza huko uonekane vizuri, so be careful ka ana mtenda mkewe unafikiri wewe papuchi yako inatoka dunia nyingine?
It seems unabusara sana dada..
 
Hahaaa duuh, wee mkuu ni noma
 
Hivi kumbe kupenda Mume wa mtu ni umalaya..!! Sikulijua hili

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka tu
Mama mijengo wana comment kwa hasira nahisi ningekuwa karibu wana jf wangenirarua [emoji1436]‍♀️[emoji1436]‍♀️[emoji1436]‍♀️
 
True mwanaume si kiumbe wa kumwamini labda baba yangu na kaka yangu tu basi
Una roho mbaya tu na watoto wa wanawake wenzako. Utadhani wewe ukija kupata mtoto wa kiume atakuoa mwenyewe nyau wewe.....
 
Huyu bi dada hayupogi fair na wanaume naanza kuhisi ametokea kwenye familia yenye msingi mbaya sio bure....
 
Mmmmmmhmn babu sasa hapa utatuingiza chaka muda si mrefu.

Wakristo wanandoa ya mke m'moja tu.....
 
Cariha is a toxicated feminist. In her court of judgment, men are guilty before and after being proven innocent.

Nakaombea kapate watoto wa kiume tupu katika uzao wake and hii chuki anayoiendekeza ikapande mbegu kwa watoto wake wa kiume wakutane na mabinti bitter kama yeye...... Kupitia uchungu wa mwana ataelewa upuuzi anaouendekeza wakati huu.
 
Kwahiyo hiyo ndoa itavunjika kwasababu ya mwanaume na si mwanamke. Hivi hadi hapo tu hauoni unaonyesha kuwa onesl sided?!

Huyu dada amesema wazi kuwa kuna mwanaume ambaye hana mtoto wala familia, na yupo vizuri, ana kazi nzuri na anauwezo, sasa kama issue ni pesa si aombane na huyo aliye single ambaye anamtaka kwaajiri ya kuanza nae maisha na ameshatangaza nia ya kwenda kwao kabisa........?!

So wewe umetazamia hili swala kiupendeleo...... Na una ubaguzi wa kijinsia sana......toxic feminist wahed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…