Trapped to a married man

Unajitumbukiza kwenye shimo mwenyewe. Olewa na yule ambaye hajaoa. Utakuja elewa baadae.
 
Pale watakatifu wanapokomenti kwa kumponda Dada wa watu!

Hivi vitu vipo na hutakiwa wa kwanza. Angalau maisha yako ,sikiliza moyo wako ,sikiliza sauti ya ndani kwako.

All the best
 
Kuna vitu ni vigumu kuvielewa. Itakuchukua muda pia kumuelewa mtoa mada. Mchango mzuri acha niufanyie kazi kwasababu niko kwa situation km hii hii.
 
Hapo kwenye point number 4 nadhani labda uelewi familia zetu waswahili vizuri, hivi unajua kwamba kwenye familia zetu mtu akiwa na pesa hata akiwa na vimada nje au tabia chafu yoyote nduguze uuchuna na hakuna wa kumkanya kwa tabia hiyo kisa tu anapesa na ndio kila kwenye shida umlilia yeye ili atatuliwe shida zake,hivyo hapo familia yake kumsapoti sio ajabu japokuwa wanajua jamaa anachofanya sio fair .
 
Naomba namba ya huyo kijana mwenzangu ambaye hajaoa nimpigie simu aachane na ww,utaanza kumsumbua mapema sana kwenye ndoa akithubutu kukuoa,maana tabia ya malaya huonekana mapema sana.
 
Ahahaaa...

Mbna unaongea kwa hisia sanaa mkuu.

Wanawake ni starehe kama starehe zengne,kwani kulishawai kutokea bingwa wa kunywa pombee au kuvuta bangi...?

Na sizungumzii wanawake wa kungonoka/kuzini nao tuelewane apo hyo ni haramu......ata uwe busy kiasi gani ktk dunia hii kama kweli kiafya uko vzur swala la hisia kwa wanawake litakujia tuu.

Bado nasimamia msimamo wangu hakuna mwanaume anaesema mimi mke Wang mmoja ananitosha huo ni uongo sema tu tatzo labda kipato au afya...

Hili swala adi mapadri na makasisi limewashindwa achana na wachungaji hao ndo usiseme wanayoyafanya Mungu awasamehe.
Wanaume wa sampuli yako nyuma ya pazia wanafanya mambo ya ajabu sana...
 
Tena kwa kingine huyo mke wa mtu akuroge mpaka uokote makopo barabarani mkome kabisa wanaume wa watu
 
Duh, you sound childish, samahani kwa mawazo yangu mkuu. Unadhani kuvua ovyo boksa ni ushababi, well huenda umri ukizidi kuongezeka utajifunza zaidi.
Ahahaaa...
You have got me wrong...

Tatzo hujajibu swali apo...na huenda hukunielewa nini nazungumzia.

Nazungumzia ndoa ya mke zaidi ya mmoja na sio ngono ya mwanake zaidi ya mmoja.
 
Ahahaaa...
You have got me wrong...

Tatzo hujajibu swali apo...na huenda hukunielewa nini nazungumzia.

Nazungumzia ndoa ya mke zaidi ya mmoja na sio ngono ya mwanake zaidi ya mmoja.
Hapo sawa mkuu.
 
Sijui mimi labda nikuulize wewe unaowajua hao Malaya wenzio
Wewe kwa umri wako huo mpk leo hujui kama kutembea na mume wa mtu ni umalaya tu? mpaka ujifanye kushangaa eti hukujua ndiyo maana nimekwambia malaya mpo wengi humu.
Yaani mtu upo single unaacha kutafuta single mwenzio unang'ang'ania wame wa watu.
 
Wewe kwa umri wako huo mpk leo hujui kama kutembea na mume wa mtu ni umalaya tu? mpaka ujifanye kushangaa eti hukujua ndiyo maana nimekwambia malaya mpo wengi humu.
Yaani mtu upo single unaacha kutafuta single mwenzio unang'ang'ania wame wa watu.
Sasa wewe kutokujua kwangu inakuuma Nini? Alafu kwani Hilo swali uliulizwa wewe? Na ndiyo sikujua ndiyo maana nikauliza ni vyema nimejua Malaya mpo wengi kumbe..una lingine?dada
 
Naomba namba ya huyo kijana mwenzangu ambaye hajaoa nimpigie simu aachane na ww,utaanza kumsumbua mapema sana kwenye ndoa akithubutu kukuoa,maana tabia ya malaya huonekana mapema sana.
[emoji3]
 

Kuna sehemu nimemuuliza, what is love hajanijibu

Yaani anawapenda watu wawili kimapenzi kwa usawa ule ule
 

Indeed low self awareness and self esteem ndiyo inawatesa sana mabinti wengi, wameshindwa kujithamini wenyewe na hawana standards zao wenyewe

Yaani unaona namna anavyosimulia na alivyokuwa proudly mpaka unajiuliza inawezekanaje unagundua tuna safari ndefu
 
Wakati wengine wanatafuta waume wanaandika na matangazo wengine mko njia panda na ndoa 2
Ama kweli mwenye nacho ataongezewa[emoji23][emoji23][emoji23]

Life isn’t fair we have to get used to it [emoji3]
 
Wanawake wengine hawawazi hilo...mapenzi upofu
Sijawahi ona wakwe Wana support uvunjifu wa ndoa ya mwanao wenye watoto, Hawa watu Ni wachawi na Wana roho ya ushetani seems huyo mke hawalambi makalio na kujipendeza au kuwanyenyekea and it's seems huyo mwanamke ndio mwenye kipato so wanamtumia huyu mchepuko kumuumiza mke mkubwa, dah inabidi kuwa makini na familia tunazoenda kuolewa nazo, Yani familia Ina support huo ujinga ptuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…