Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Ukimtafuta huyo mama anaweza kukwambia Ukweli ambao hutakaa utamani kumuona huyo mwanaume.. Huyo mwanaume ana zaidi ya wanawake watatu ambao wamepeaa ahadi nono kama zakoo tena ukute wachache[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dada wanaume ni mbwaaa anaacha jike mtaa wake usiku anatembea mitaa kama minne kutafuta jike zingine lakini Kukikucha hakika atarudi Kwa jike lakee tuUmeongea point and I understand
Kumtafuta huyu mama ni kutafuta shida tu mi sitaki stress za kupambana nae
[emoji23][emoji23]Mkuu hizi ahadi ni ili aendelee kumpaa tu huyu mdada maana anamwambia kitu anachopenda kusikiaa..!! Ukitaka kumpata mwanamke wa 20+ ages muahidi ndoaa..[emoji1787][emoji1787]Kama alioa mke inamaanisha alimpenda na kumuahidi kutokumuacha na ndio maana wakaoana, je vipi na ww akikutana na mwingine!??.......atakuacha Kama yule mwanamke mwenzio alivyoachwa.
Tafakari mtu anashindwa kuhurumia damu yake(watoto), anaamua kutelekeza familia kwasababu yako!!........hawezi kushindwa kukuacha na wewe kwenye mataa joka likiona pori jipya!!
Ukimtafuta huyo mama anaweza kukwambia Ukweli ambao hutakaa utamani kumuona huyo mwanaume.. Huyo mwanaume ana zaidi ya wanawake watatu ambao wamepeaa ahadi nono kama zakoo tena ukute wachache[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dada wanaume ni mbwaaa anaacha jike mtaa wake usiku anatembea mitaa kama minne kutafuta jike zingine lakini Kukikucha hakika atarudi Kwa jike lakee tu
Na ni kweli mkuu aisee mwanamke ukimuambia swala la kumuoa aisee ata Kama yuko mgumu Vipi atalainika tu, maana anaona ndoa ndio kipimo Cha upendo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hizi ahadi ni ili aendelee kumpaa tu huyu mdada maana anamwambia kitu anachopenda kusikiaa..!! Ukitaka kumpata mwanamke wa 20+ ages muahidi ndoaa..[emoji1787][emoji1787]
Amini tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbwa kifasihiiii mkuu si unaona hii mbwa inavyonpotezea muda mtoto wa watu anaishia kuotaa ndotoo za mchanaaDaah Mkuu umeweka All men are Dogs [emoji240] [emoji3]
Siyo Sawa Mkuu
Yani na wanawake hawajajua tu mwanaume anaekuja na Gia ya ndoaa siku ya kwanza tu jua hamnaa kitu hapoo atakukulaa mpaka uchokee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na ni kweli mkuu aisee mwanamke ukimuambia swala la kumuoa aisee ata Kama yuko mgumu Vipi atalainika tu, maana anaona ndoa ndio kipimo Cha upendo[emoji23][emoji23]
Wakati watu wanapigwa chini Kila uchwao!
Mimi na wewe ni wadhambi njoo tujifariji na kuomba Rehema kwa Mungu tunayemkosea[emoji23][emoji23][emoji23]huu uzi watu wameandika kwa hisia sana jamani
Watu jf ni watakatifu sana kwa hizi comment naona kabisa hakuna wachepukaji humu
[emoji33]Ukimtafuta huyo mama anaweza kukwambia Ukweli ambao hutakaa utamani kumuona huyo mwanaume.. Huyo mwanaume ana zaidi ya wanawake watatu ambao wamepeaa ahadi nono kama zakoo tena ukute wachache[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dada wanaume ni mbwaaa anaacha jike mtaa wake usiku anatembea mitaa kama minne kutafuta jike zingine lakini Kukikucha hakika atarudi Kwa jike lakee tu
Kumbe hutaki stress za kupambana nae, lakini unataka kuingia huko. Unadhani utakwepa stress za kupambana ukiwa na watoto? Think mama, think.Umeongea point and I understand
Kumtafuta huyu mama ni kutafuta shida tu mi sitaki stress za kupambana nae
Hao ndio bad boys ambao wanakuondoa sehemu sahihi kwa maneno tu, baadae akikuchoka unapigwa chini chap kwa haraka.Yani na wanawake hawajajua tu mwanaume anaekuja na Gia ya ndoaa siku ya kwanza tu jua hamnaa kitu hapoo atakukulaa mpaka uchokee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
@amu wee huwezi?! TehIla kuwa na wanaume wawili kwa wakati mmoja ni kipaji.
Cha msingi wewe endeleza kipaji chako tu.
Mume wa mtu awe mchepuko.
Olewa na huyo kijana ambae hajaoa.
Me naomba niwe mshenga wako wa kujitoleaNikitaka kuoa, naomba nikuweke katika list kama utakua bado single, mama mchungaji. Heaven Sent
Uko sahihi mkuu maana kwa maelezo yake tu na yeye anazingua aisee,[emoji23][emoji23]Ila kuwa na wanaume wawili kwa wakati mmoja ni kipaji.
Cha msingi wewe endeleza kipaji chako tu.
Mume wa mtu awe mchepuko.
Olewa na huyo kijana ambae hajaoa.
Hawa Viumbe hata uwape mifano gani hawaelewi. Hawajui wanaume kwenye Mapenzi tunaweza kuwakana hata Wazazi wetu.WANAWAKE WOTE MWALIMU WAO KIPOFU...!!
Hivi kweli unaacha kupanga maisha na mwanaume asiekuwa na Mke unataka ukomaee na Mume wa mtu???? Acha uzwazaa dada angu wanaume genyee tu ndo zinatupeleka yani mfunge ndoa ya Siri alafu MTAISHI SIRINI AU??? kuna dada yangu yalimkutaa kama yako saa hizi analea mtoto mwenyeweee yani alipendana na Mume wa mtu mpaka jamaa akawa anampa simu sister amtukane mkewe lakini leo hii yule jamaa Bado wanaishi na mkewe na Cha ajabu jamaa kazalisha wadada kama wawili wengine kwa Ahadi za Kipuuzi kama hizooo.
ACHENI TAMAA ZA MAISHA MAZURI YASIYOKUWA NA FUTURE NZURI UTAISHIA KULIAA.
Hapo kwenye point number 4 nadhani labda uelewi familia zetu waswahili vizuri, hivi unajua kwamba kwenye familia zetu mtu akiwa na pesa hata akiwa na vimada nje au tabia chafu yoyote nduguze uuchuna na hakuna wa kumkanya kwa tabia hiyo kisa tu anapesa na ndio kila kwenye shida umlilia yeye ili atatuliwe shida zake,hivyo hapo familia yake kumsapoti sio ajabu japokuwa wanajua jamaa anachofanya sio fair .
Kabisa mkuu nae alimkataa kijana wa watu tena yule hakuwa vizuri sanaa...!!Hawa Viumbe hata uwape mifano gani hawaelewi. Hawajui wanaume kwenye Mapenzi tunaweza kuwakana hata Wazazi wetu.
Huo mfano wa dada yako ndio mwisho wake utakavyokuwa. Wahenga walishasema tayari.
n' that's reality familia nyingi ni dhaifu kwa kijana wao au binti yao ambaye ana vipesa vya kutatua shida zao hata awe na tabia chafu kiasi gani hawamkanyi na believe me or not huyo jamaa familia yake possibly kabaki mama kama mzazi pekee itakuwa mshua keshatangulia mbele za haki, so hapo huyo binti anachezea umeme ataipata habari yake ni swala la muda, yajayo yatafurahisha...Dah i remember i once had a boyfriend [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yule kaka hata angeua mamaake asingekaa anyanyue mdomo kumsema... yan kuna mambo alikua anafanya nabaki mdomo wazi nikimsihi aache anakua mbogo kuna day nikasema ngoja nijaribu kumshirikisha mamake hata kwa siri tu tushauriane mama akaniambia muombee tu Mungu ambadilishe nilikaa nikawaza niache kuwaombea wazazi wangu na ndugu nimuombee boyfriend sio hata mume boyfriend chaaaaaa!!!!! Ila mwishoni i figured it out jamaa alikua anamhudumia mama since mama was a stay at home mum so nahisi mama hakutaka kumuudhi mwanae hata chembe. Tukigombana na jamaa mama mkwe ananichunia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maisha haya jamani