Trapped to a married man

Najua Sana hayo Mambo nayasoma though I don't participate it, mengine uliyoandika yote nakubaliana na wewe
 

Swadaktaa.
 
Hatelekezi familia anaendelea kuhudumia familia kama kawaida
Na nimejiwekea boundaries siwezi kumuingilia bi mkubwa
As much as I want to feel guilty about this lakini pia moyo wangu una haki pia
Sasa bibie mbona kama una majibu tayari,tena siyo majibu tu bali majibu mazuri. Kubali kuolewa tu mke wa pili, hata kwa siri siyo mbaya. Hiyo siri huwa kwa muda mfupi tu kuweka mazingira sawa, kisha maisha yanaendelea vizuri kabisa.
 
Mbuzi anapigiwa gitaa,"wasichoke kukushauri",inamaana mpaka page 34 hujaona ushauri?

Unaomba ushauri wakati tayari ushafanya maamuzi,ila kaa ukijua malipo hapa hapa duniani SINGLE MOTHER MTARAJIWA.
 
kula raha dada. maisha ndo haya haya.wacha vyuma vijipange vyenyewe wewe vipake grisi tu visiumane.
sisi wasukuma tuna hela saivi na baba yetu anatupambania tuingie awamu nyingine.
NGOSHA
 
naomba nikuulize maswali machache kuhusu huyo mume wa mtu,

huyo mwanaume an ishu zozote zinazomsumbua katika ndoa yake? kwa nini aliamua kumcheat mkewe? ndoa yake haina furaha labda kwa ajili ya tabia tata za mkewe? unajua nini kuhusu mke wake na ndoa yake kiujumla? huwa anaongea nini kuhusu familia yake?

Back to ushauri kabla sijapata majibu ya maswali yako,

Mpendwa kwa ushauri wangu mdogo tu mchague asiye na mke na wewe uwe na wa kwako,

kuna msemo usemao once a cheater always a cheater,kama hakuona hatari kukuchumbia wewe na kuiacha familia yake basi si ajabu kuja kufanya maamuzi ya namna ile ile huko mbeleni ukiwa naye wewe,jiulize swali dogo tu mke wake anakosa nini ambacho wewe unacho cha ziada ashindwe kuwa na mtu mwingine Zaidi yako na kufikia hatua ya kuja kumwoa na kukutelekeza wewe?

ukiwa kama mwanamke umewahi kujiweka kwenye viatu vya mwanamke mwenzio? umewahi kufikiria ikiwa ni wewe ndo unachukuliwa mume ungejisikiaje? je unatamani ije itokee huyo mume apate mwanamke mwignine ampende sana kisha aahidi kumwoa kisiri siri? what if ukigundua will you be okay with it?

utajisikiaje ikiwa kwa sababu ya kukuoa wewe familia ya jamaa itavunjika na kufa kabisa? wewe ungependa mtu mwingine awe sababu ya kuvunjika na kufa kwa familia yako?
 
kula raha dada. maisha ndo haya haya.wacha vyuma vijipange vyenyewe wewe vipake grisi tu visiumane.
sisi wasukuma tuna hela saivi na baba yetu anatupambania tuingie awamu nyingine.
NGOSHA

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mna fujo sana nyie
 
Hakunaga mwanaume mwenye mwanamke mmoja ,labda awe ana matatizo ya kiafya au maskini kupindukia
 
Ndoa ni jambo ni mahusiano imara yanayotakiwa kisimama katika msingi wa upendo, amani, na kujaliana. Hujatueleza kuhusu kama dini ya huyo mume wa mtu inaruhusu ukewenza, kama dini inaruhusu kunakua hakuna tatizo zaidi tu sioni haja ya yeye kwanini aifiche na kuikimbia familia yake.
Lakini kama dini yake hairuhusu uke wenza na amemuoa mke wake wa kwanza kwa dini ya kikristo, ndoa ya pili huwa ni batili kama hatabadili dini. Pamoja na upendo anaouonesha kwako, bado una nafasi ya kufanya maamuzi sahihi.
Kuhusu huyo kaka mwingine mie naona ndo mtu sahihi zaidi kwako. Kama ulivyosema ana sifa zote, huyu ndo ungeanza nae maisha
 
Hatelekezi familia anaendelea kuhudumia familia kama kawaida
Na nimejiwekea boundaries siwezi kumuingilia bi mkubwa
As much as I want to feel guilty about this lakini pia moyo wangu una haki pia

Uko na spirit ya polygamous na illegitimate family ikemee hii itaathiri uzazi wako wote.
Usiangalie sasa bali angalia future ukiona mtu ana acha mkewe aliyekula kiapo kwa Mungu na kwa wazazi basi jua na wewe utaachwa pia. Atakuja ku fall in love na mwingine ukishazaa nae. Usingle mother na watoto wako haram wako njiani. Kiapo cha kwanza ndio kiko kwa Mungu hiviw vingine ni vya shetani kimbia hat usirudi nyuma.
 

Katika ukristo hakuna ndoa mbili, yani hakuna uke-wenza.... Angekuwa mume wa mtu ni muislamu ningekushauri uolewe naye kwani dini yake itakuwa inaruhusu na inaonekana unampenda yeye zaidi, bali kwa huyu mkristo ikiwa utaolewa naye elewa kuwa utakuwa unaishi bado katika zinaa.

Hitimisho: olewa na ambaye hajaoa kwani hiyo ndo nafasi yako ya kuishi maisha ya amani ndani ya ndoa halali.
 

Hakuna mwanamme mwenye mwanamke mmoja. kwahiyo huyo ambaye unaemuona hana mke huko mbeleni jiandae ku share pia.

Ushauri wangu jiogeze hapo penye huyo Mume wa mtu, na kama unavyosema yupo vizuri finiancial ni advantage zaidi kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…