Trapped to a married man

Trapped to a married man

Usijali cariha nitakufurahisha zaidi tu na wewe wajua [emoji1635][emoji304] na pia naungana na wewe kulaani wanaume wenzangu wote wanaotelekeza watoto wao , kuna haja kwa wazazi wa sasa kuandaa watoto watakao weza kuja kuwa na
elimu bora , maisha bora , ndoa bora na malezi bora kwa watoto wao na katika kutekelekeza hili lazima pamoja na yote kumtanguliza Mungu maana kizazi cha sasa kinapitia changamoto za mmomonyoko mkubwa sana wa maadili.
Najua Sana hayo Mambo nayasoma though I don't participate it, mengine uliyoandika yote nakubaliana na wewe
 
Mkuu, umeongea ukweli kabisa. Pamoja na tamaa zetu wanaume lakini wadada wamekuwa ni warahisi sana, sana kupita maelezo. Kuishinda tamaa ya uzinzi kunahitaji kujitoa, sio kitu rahisi lakini ukijiwekea nadhiri, ukiangalia familia yako unaona ya nini nitese wanangu kwa tamaa za kupita.

Siku hizi tunatongozwa, hatujisifu ilà wanakuja wenyewe, wanajilengesha wenyewe, hadi unaulizwa hivi wewe ni mwanaume kweli, huoni kama nakupenda, naelewa una familia lakini nitaiheshimu familia yako, nakuhitaji wewe tu! Unabaki 'hihihiiiii', unampotezea hadi aelewe. Sitaki kusema sana maana watu hawachelewi kusema tunajisifu ilà tunatongozwa sana kipindi hiki, it's sad!!!

Swadaktaa.
 
Hatelekezi familia anaendelea kuhudumia familia kama kawaida
Na nimejiwekea boundaries siwezi kumuingilia bi mkubwa
As much as I want to feel guilty about this lakini pia moyo wangu una haki pia
Sasa bibie mbona kama una majibu tayari,tena siyo majibu tu bali majibu mazuri. Kubali kuolewa tu mke wa pili, hata kwa siri siyo mbaya. Hiyo siri huwa kwa muda mfupi tu kuweka mazingira sawa, kisha maisha yanaendelea vizuri kabisa.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]sijui kwanini nimetokea kukupenda bure
Huwezi amini nipo tofauti na unachokisema na kukifikiria
Although I sound naive and lost,ila nina akili zangu timamu tu na nikivuka hiki kistage nitakuja na update
Msichoke kunishauri
Mbuzi anapigiwa gitaa,"wasichoke kukushauri",inamaana mpaka page 34 hujaona ushauri?

Unaomba ushauri wakati tayari ushafanya maamuzi,ila kaa ukijua malipo hapa hapa duniani SINGLE MOTHER MTARAJIWA.
 
kula raha dada. maisha ndo haya haya.wacha vyuma vijipange vyenyewe wewe vipake grisi tu visiumane.
sisi wasukuma tuna hela saivi na baba yetu anatupambania tuingie awamu nyingine.
NGOSHA
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio
naomba nikuulize maswali machache kuhusu huyo mume wa mtu,

huyo mwanaume an ishu zozote zinazomsumbua katika ndoa yake? kwa nini aliamua kumcheat mkewe? ndoa yake haina furaha labda kwa ajili ya tabia tata za mkewe? unajua nini kuhusu mke wake na ndoa yake kiujumla? huwa anaongea nini kuhusu familia yake?

Back to ushauri kabla sijapata majibu ya maswali yako,

Mpendwa kwa ushauri wangu mdogo tu mchague asiye na mke na wewe uwe na wa kwako,

kuna msemo usemao once a cheater always a cheater,kama hakuona hatari kukuchumbia wewe na kuiacha familia yake basi si ajabu kuja kufanya maamuzi ya namna ile ile huko mbeleni ukiwa naye wewe,jiulize swali dogo tu mke wake anakosa nini ambacho wewe unacho cha ziada ashindwe kuwa na mtu mwingine Zaidi yako na kufikia hatua ya kuja kumwoa na kukutelekeza wewe?

ukiwa kama mwanamke umewahi kujiweka kwenye viatu vya mwanamke mwenzio? umewahi kufikiria ikiwa ni wewe ndo unachukuliwa mume ungejisikiaje? je unatamani ije itokee huyo mume apate mwanamke mwignine ampende sana kisha aahidi kumwoa kisiri siri? what if ukigundua will you be okay with it?

utajisikiaje ikiwa kwa sababu ya kukuoa wewe familia ya jamaa itavunjika na kufa kabisa? wewe ungependa mtu mwingine awe sababu ya kuvunjika na kufa kwa familia yako?
 
kula raha dada. maisha ndo haya haya.wacha vyuma vijipange vyenyewe wewe vipake grisi tu visiumane.
sisi wasukuma tuna hela saivi na baba yetu anatupambania tuingie awamu nyingine.
NGOSHA

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mna fujo sana nyie
 
Mke wangu nampenda mno na sipo tayari kumpoteza ila nimeshaamua liwalo na liwe. Yule mdada siwezi kumuacha aliwe na wahuni wengine maana jinsi ninavyomfeel siwezi hata kuelezea. Tukiwa chumbani huwa napata raha isiyokifani hivyo nimeshaamua bora nimuoe tu kuliko kumwacha akaolewa na mwanaume mwingine nikaishi a miserable life for the rest of life. Wife will have to just understand. I love her (my wife) but I'm also deeply in love with another woman.
Hakunaga mwanaume mwenye mwanamke mmoja ,labda awe ana matatizo ya kiafya au maskini kupindukia
IMG-20200909-WA0021.jpg
 
Ndoa ni jambo ni mahusiano imara yanayotakiwa kisimama katika msingi wa upendo, amani, na kujaliana. Hujatueleza kuhusu kama dini ya huyo mume wa mtu inaruhusu ukewenza, kama dini inaruhusu kunakua hakuna tatizo zaidi tu sioni haja ya yeye kwanini aifiche na kuikimbia familia yake.
Lakini kama dini yake hairuhusu uke wenza na amemuoa mke wake wa kwanza kwa dini ya kikristo, ndoa ya pili huwa ni batili kama hatabadili dini. Pamoja na upendo anaouonesha kwako, bado una nafasi ya kufanya maamuzi sahihi.
Kuhusu huyo kaka mwingine mie naona ndo mtu sahihi zaidi kwako. Kama ulivyosema ana sifa zote, huyu ndo ungeanza nae maisha
 
Hatelekezi familia anaendelea kuhudumia familia kama kawaida
Na nimejiwekea boundaries siwezi kumuingilia bi mkubwa
As much as I want to feel guilty about this lakini pia moyo wangu una haki pia

Uko na spirit ya polygamous na illegitimate family ikemee hii itaathiri uzazi wako wote.
Usiangalie sasa bali angalia future ukiona mtu ana acha mkewe aliyekula kiapo kwa Mungu na kwa wazazi basi jua na wewe utaachwa pia. Atakuja ku fall in love na mwingine ukishazaa nae. Usingle mother na watoto wako haram wako njiani. Kiapo cha kwanza ndio kiko kwa Mungu hiviw vingine ni vya shetani kimbia hat usirudi nyuma.
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio

Katika ukristo hakuna ndoa mbili, yani hakuna uke-wenza.... Angekuwa mume wa mtu ni muislamu ningekushauri uolewe naye kwani dini yake itakuwa inaruhusu na inaonekana unampenda yeye zaidi, bali kwa huyu mkristo ikiwa utaolewa naye elewa kuwa utakuwa unaishi bado katika zinaa.

Hitimisho: olewa na ambaye hajaoa kwani hiyo ndo nafasi yako ya kuishi maisha ya amani ndani ya ndoa halali.
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio

Hakuna mwanamme mwenye mwanamke mmoja. kwahiyo huyo ambaye unaemuona hana mke huko mbeleni jiandae ku share pia.

Ushauri wangu jiogeze hapo penye huyo Mume wa mtu, na kama unavyosema yupo vizuri finiancial ni advantage zaidi kwako
 
Back
Top Bottom