Amchune vizuri ajitegemee kila kitu maana jamaa akija kufa hatatambulika popote na hivi ndoa ni ya kisiri Siri eti kuoga kumuumiza mke mkubwa ajiandae tu.huyu ni single mother mtarajiwa
Hapa sasa umeanza kushusha vile vyenye inatakiwa, tena umfokee akiki imkae sawa. Asilete ubinafsi wake hapa khaaah.Kila binadamu hutamani vitu tofauti tofauti na binadamu haridhiki na kitu kimoja hata wewe mkeo humridhishi Ila kspiga kimya tu, kutulia huwa Ni matter ya maamuzi na self control hyo ya kusema hamuridhiki Ni Mila potofu tu za zamani za wanaume kujipendelea, hata nyie wanaume huwa hamturidhishi Ila tunaacha kuhangaika. So inshort hata wanawake tunapenda vitu tofauti, pia binadamu kuridhika ngumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea unani vunja mbavu, kumuu miza mke mkubwa huku ikiwa siri, mbona hauwezekan hata, anajidanganya San huyu bibie.Amchune vizuri ajitegemee kila kitu maana jamaa akija kufa hatatambulika popote na hivi ndoa ni ya kisiri Siri eti kuoga kumuumiza mke mkubwa ajiandae tu.
Ndio kwani mumekatwaza kula mema ya nchi kila mtu na Uhuru wa mwili wake nashangaa mtu Hali maisha akijifanya mtakatifu woi Mimi siwezi
Wewe bana sikiliza..!
Kwanza, wengi wanaojidai kukushangaa hapa hasa wanawake, wao wenyewe wanatembea na waume za watu!!
Pili kama ulivyosema wewe, maisha ni mafupi haya, wanaosema ooh vumilia sijui usiipe nafasi furaha ya muda mfupi... wee usiwasikilize hao wana stress zao. Bora furaha ya muda mfupi kuliko kukosa kabisa furaha. Hakuna zawadi utakayopewa kwa kuishi maisha ya tabu. Maisha ni hayahaya usipoenjoy sasahivi ndio basi tena.
Ushauri: We chakufanya, olewa na hako kakijana kanakokupenda ila usiachane na yule mume wa mtu. Badala ya kufunga ndoa kisirisiri ambapo itakulazimu kuachana na yule kijana, wewe olewa na kijana huku ukiendelea kumfaidi mume wa mtu. Nina uhakika mume wa mtu hatakua na pingamizi katika hilo. Hii itakua ni win win situesheni.
Kitu nilicho gundua, mpaka sasa hamjajishtukia kua nyinyi ndio wahusika wakuu alafu mnahadithiana situation zenu [emoji23][emoji23]
Hauruhusu, hivyo hiyo ndoa itakuwa ya siri milele na ataishi kama michepuko wengine tu. Na si hivyo tu, endapo lolote likimtokea huyu mumewe iwe kustaafu au kufariki basi hana haki yoyote kwa kuwa hatambuliki kama mke.
Na mume anaonekana anampenda sana mkewe ndio maana anataka ndoa ya siri.
Kingine nachokiona , mtoa uzi anadhani mahaba wanayopeana saizi yatadumu milele hivyo hivyo.
But kubwa ambalo kalirudia rudia ni hali nzuri ya kiuchumi ya mume wa mtu, kiasi anaonesha kinachomvutia si mapenzi bali uchumi wa huyo mume wa mtu.
Anasahau kuwa uchumi huwa unapanda au unaporomoka
Ila hajui kuwa wanawake tukishazaa tunaanza kutamani familia ikamilike, awepo baba, mama na mtoto/watoto waamke pamoja wafurahi pamoja. Ikifika hapa ndipo ataona kitu gani anakikosa pale mume wa mtu yupo kwa mkewe na hawezi kutoka, wakati huo yeye na mtoto/watoto wanamuhitaji pia.
Lakini watoto wataozaa watakosa haki ya kuwajua ndugu zao hadi mume atapofariki[emoji23][emoji23]watavyovamia msiba
So sad!!!
Yani hujisikii vibaya hata kidogo kuwa mnafiki kwa mwanamke mwenzio..!!!?
Apart from how unhealthy your relationship is, it will also result into heart aches and pain in the end. That married man might end up abandoning his family in the name of this new relationship, if you are a Christian, the Bible says, "....na alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe"
Usiwe chanzo cha machozi ya huyo mwanamke mwenzio kisa wewe.
Ushauri wangu kwako, distant yourself from him ukiweza hama huo mji na vunja huo uhusiano, its not too late to do that.
Usilopenda kutendewa usimtendee mtu mwingine
Halafu Maya ameacha tumshauri yeye kakumbatiana na msukuma, Maya mbinguni utapasikia
Uisilamu ni dini ambayo ipo very updated na asilimia 100% ya watu ktk maisha yao wanagusa ibada za kiislamu...
SINA MAANA KUISIFIA DINI YANGU LAA HASHA.
Ila hilo swala dada yngu ingekuwa inafuata dini ya kiislamu lingepata jawabu jepesi sana...coz ata hyo ndoa isingekuwa ya siri tena...
Wanaume wote tumeumbwa hvyo kupenda wanawake,watoto na mali...
Hakuna duniani mwanaume anae ridhika na mwanamke mmoja never,ndo mana tukapewa options ya wanne.
Ushauri wangu:-
Tatizo sio kukuoa mke wa pili Ila tatizo linakuja Kwenye uadilifu wa kuwahudumia wake wawili hasa baada ya kufunga ndoa...kaa ukijua maisha ya uchumba yanatofautiana Sana na maisha ya ndoa pia yanatofautia zaidi Sana na maisha baada ya kupata watoto.
Mwanamke unapokubali kuongezwa au kuongezewa mke mwenza embu angalia huyo mwanaume akili zake na misimamo yake ikiwemo na Imani yake.
Ndoa ya uke wenza inahitaji mwanaume mwenye akili,Imani na misimamo thabiti sio wa kuyumbisshwa au kupelekeshwa.
Nahitimisha kwa kusema huyu mwanaume si wakumuamini mchunguze vzur kabla hamjafunga hyo ndoa ya SIRI.
Speaking the honestly
Wew Dada unajidanganya unavo sema unawapenda wote wawili
Huyu Jamaa ambae yupo single humpendi, nakuomba muache na maisha yke akatafute wa kufanana nae
Life is too short Kama umeridhia kua na Mume wa mtu na moyo umekusuma nenda ( chochote kitakacho tokea ni your choice)
Ila single boy wa watu muache
Unaitaji ku enjoy maisha na kutafuta a truly love
Mimi situmii mihemko kabisa.Nimesoma ushauri wako
Kuna mengi umeyaandika ni kweli I have to consider them
Najua hii mada inapelekwa in a very emotional way na wanawake wengi I understand na mnisamehe Kama nawakwaza
Kuna vingi sijavielezea hapa
Kwanza mimi sijamroga huyu mwanaume wala kutumia dawa yoyote atleast hapo am not guilty
Nimetambulishwa kwa ndugu zake,mama mkwe na mawifi,marafiki
Usiri ninao usemea hapa ni mke asijue maana hana kosa she doesn’t deserve kuumia kwasababu ya maamuzi yetu ila in future lazima atakuja kujua
All in all kuna vitu umeongea ni point sana
Bado sijafanya maamuzi I can still change my situation before it becomes complicated
[emoji28][emoji28][emoji28]hili lilikuwa wazo mara ya kwanza
Ila naogopa huko mbele mambo yanaweza kuishia sio pazuri
Wote wana uwivu sana
😅😅😅kwaiyo vinashawishi kuoa kisirisiri.Vtoto vyenye 20's huwa na ngoz fulan laini hata ukiwa umelala nako unajihis tofaut,afu pia vna mashavu laini
Hahaha......yaani hapo kipochi kakamilika siyo kama mchumba wake.Hebu fafanua hapo kwenye rangi.
Tamaa yako tu kama cheti ni makaratasi ulioa ili iweje? Ishi na huyo mchepuko wako pia kama ndoa ni makaratasi,unataka kuoa ndoa ya siri ya nini??Mimi mwenyewe mkiristo ila ndio hivyo nafsi yangu ndio imefikia maamuzi ya kuoa mke wa pili. Nimemwambia tutafunga ndoa hata kwa kujificha, kama ndoa haitawezekana basi tuishi bila ndoa. Cheti cha ndoa ni makaratasi tu wala hayachangii chochote kwenye kupendana.
Hakuna kupenda watu wawili kwa wakati mmoja hicho kiyu hakipo....Inawezekana ndio au hapana nimeshindwa kuifafanua situation hii vizuri
Lakini naomba tu nikwambie nipo wakati mgumu
Umeshawahi kupenda watu wawili kwa wakati mmoja?