Trapped to a married man

Trapped to a married man

Kwahiyo unataka kusemaje? Tena mie sijataka tyuuuh kumshauri huyo, wallah uzi mzima ungehamia kwangu.
Acha mtu afurahi na hitaji la maisha yake.
Unasubiria nini sasa, ongea hayo mashudu tukuwashir moto hadi ujute..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Duuh...kumbe malaya wapo wengi tu humu. Yaani unaacha kutafuta single mwenzio unahangaika na mume wa mtu kama si umalaya ni nini??
Sijui mimi labda nikuulize wewe unaowajua hao Malaya wenzio
 
Kama anataka kuitelekeza familia yake, hata wewe hatoona ugumu wowote kukutelekeza siku zijazo. Komaa tu na huyo kijana muoaji, huyo mume wa mtu achana nae.
 
Kwa Wakristu ndoa ni moja tu na huwa ya wazi. Upendo haufichiki, upendo hauhitaji kufanywa siri... Ukiona hivyo ujue hakuna upendo hapo, anakudanganya tu.

And mind you, ndoa siyo yale makaratasi bali ni muunganiko halali mbele ya Mungu na watu wa mwanaume mmoja na mwanamke mmoja kuishi kama mume na mke.

Mwisho wa siku akishapata anachokitafuta kwako (yeye pekee ndiyo anakijua) atarudi kwa mke wake. Usikubali kutumika. Endelea na huyo kaka ambaye siyo mume wa mtu, mfanye mume wako halali.

Achana na hizo tamaa nyingine.
 
Kwa Wakristu ndoa ni moja tu na huwa ya wazi, upendo haufichiki, upendo hauhitaji kufanywa siri... Ukiona hivyo ujue hakuna upendo hapo, anakudanganya tu.

And mind you, ndoa siyo yale makaratasi bali ni muunganiko halali mbele ya Mungu na watu wa mwanaume mmoja na mwanamke mmoja kuishi kama mume na mke.

Mwisho wa siku akishapata anachokitafuta kwako (yeye pekee ndiyo anakijua) atarudi kwa mke wake. Usikubali kutumika. Endelea na huyo kaka ambaye siyo mume wa mtu, mfanye mume wako halali.

Achana na hizo tamaa nyingine.
Kwa Wakristu ndoa ni moja tu na huwa ya wazi, upendo haufichiki, upendo hauhitaji kufanywa siri... Ukiona hivyo ujue hakuna upendo hapo, anakudanganya tu.

And mind you, ndoa siyo yale makaratasi bali ni muunganiko halali mbele ya Mungu na watu wa mwanaume mmoja na mwanamke mmoja kuishi kama mume na mke.

Mwisho wa siku akishapata anachokitafuta kwako (yeye pekee ndiyo anakijua) atarudi kwa mke wake. Usikubali kutumika. Endelea na huyo kaka ambaye siyo mume wa mtu, mfanye mume wako halali.

Achana na hizo tamaa nyingine.
Ushauri konkii
 
Nimeshafika..... Huo unaosema sio ukweli.....

Mimi hapa ni a living example. Kama haujui njoo nikufunze...... Mwanaume kuwa na tamaa ya wanawake wengi ni swala la kusikiliza na kufuata mihemko na tamaa za kibinadamu......

Unaweza kuridhika na mwanamke wako, na kipindi akianza kukukifu kuna vitu ukafanya nae mvuto ukarudi sawa.

Na nikwambie tu jambo, vinavyo kuvutia ukiwa katika teenage years, ni tofauti na 20's age na 30's kuendelea....

As una age na kumature and so will the perception yako juu ya mahusiano, wanawake na mapenzi kwa ujumla.

So usifikirie akili hizi za kubalehe utazitumia kukiwa unaingia utu uzima na majukumu ya familia.....
Ahahaaa...

Kwahyo unamaanisha hujawai kutamani mwanamke mwengne zaidi ya mkeo...??

Ila mwanaume kulizika na mmke mmoja ni ile tu Hali ya kuhofia (uoga) au huenda mwenamke ana power ktk familia (kamshika mumewe sehemu) au umaskini au mapungufu ya kiafya...
 
Ahahaaa...

Kwahyo unamaanisha hujawai kutamani mwanamke mwengne zaidi ya mkeo...??

Ila mwanaume kulizika na mmke mmoja ni ile tu Hali ya kuhofia (uoga) au huenda mwenamke ana power ktk familia (kamshika mumewe sehemu) au umaskini au mapungufu ya kiafya...

You sound like school boy , real man settle with his only wife hasa kwa mume anayetumia muda wake mwingi kuzalisha , sasa wewe mfalme wa kungonoka endelea na uswati wako uje kutupa mrejesho hapa zaidi ya wingi wa mabao , kukatiwa viuno , mitoto na wanawake kibao , chochoro za lodge na hotels , magonjwa na kufulia na kupukutishwa juu nn zaidi . Hajawahi kutokea bingwa wa kuwala wanawake hata mfalme mwenzio Suleiman kiboko ya warembo duniani alioa wanawake 1000 bado hakuridhika na kuridhika na mke mmoja ni kiset akili tu wacha udhaifu kijana ni elastic hizo hata ukipe vp zinatanuka na kusinyaa.
 
Nipo kwenye ndoa mwaka wa 12. Usijidanganye kufanya siri eti utamuumiza mke wa jamaa.
Trust me, anafahamu uwepo wako labda tuu awe hakufaham kwa sura na jina. Inawezekana huyo mama ameshazoea tabia za mumewe kabla hata ya kukupata wewe ndio maana haoni jipya..
Niseme tuu ukweli...sisi wanawake tulioko kwenye ndoa hua tunapata mshtuko mkubwa mara ya kwanza tunapogundua mume sio mwaminifu...halaf baadae moyo unaingia ganzi tunazoea tuu...hata mume afanye nini huwezi kuguswa hata kidogo...utamtimizia mahitaji yake yooote lakini moyoni anakua hayupo...siku mume akigutuka kutoka usingizini kutaka kurepair ndoa mke anaona usanii tuu, mume anabaki analaumu mke kwa watu bila kutafakari kilichowafikisha kwenyye state hiyo...
Siwezi kukupa neno zuri la ushauri zaidi ya neno la Mungu kwa mujibu wa imani yako..hebu rejea maandiko ya imani yako yanasemaje? Naamini utafunuliwa jibu sahihi huko.
Kila la kheri
You said it all.
Natamani couple moja humu ilifunga ndoa kisirisiri ije itoe neno.
Sijui jinsi ya kutag...
 
Kumsingi, wewe ndie una matatizo. Wanaosema mume au mke wa tu ni sumu huwa mnawaza swala la kukamatwa tu na kubananishwa ila mnasahau kuwa kitendo cha kuingia kimahusiano na mume au mke wa mtu sio tu ni hatari kwa afya na usalama wako lakini pia unakaribisha unnecessary complications kama kupata mtoto nae, au kupeka ujauzito na kuzaliwa watoto wa nje ya ndoa katika ndoa ya mtu, kujenga hisia na mume au mke wa mtu kiasi kwamba unaanza kumuona mwenye mke au mume kuwa anakunyima haki yako ya kuwa na mtu unae mtaka.


Wewe una matatizo sababu ulikubali from the beginning ukijua huyo ni mume wa mtu, ulitakiwa mapema sana ulipojua kuwa ni mume wa mtu, muda ule ule ungesitisha mazoea na kuachana nae.

Sasa kwanza unadanganya kuwa unapenda wanaume wawili kwa wakati m'moja, how is that even love kwanza?! How is it possible kupenda watu wawili kwa usawa ule ule....?!

So we kubali tu kuwa wewe ndie tatizo. Na kuhusu kukushauri, kwa sasa ni ngumu maana nitakushauri maamuzi magumu ya kumuacha mume wa mtu na kuwa na huyo ambae hana mtu maishani mwake. Swala ambalo najua litakuwa ni gumu sana kwako kufanya kwa wakati huu.

Mmmmmmhmn ila aisee watoto wa kike muda mwingine, mna akili za kipuuzi..... Yote hiyo ni tamaa. Sasa unaanzaje kujenga na mume wa mtu?! Na unajua mtu ana familia yake?!
Hatari...
 
Pole sana, wew ni mdogo sana kuchukua uamuzi kama huo, mim niko kinyume na akili yako kwa sababu ni mwanaume na nimeoa toka mwaka 2012, ambacho hujafaham kwa umri wako kama mkuu mmoja alivyoshauri hapo juu ni kwamba hutakuwa jinsi ulivyo hata kwa miaka 5 ijayo, utakapopata mtoto kuna vitu vingi sana ambavyo vinabadilika katika maisha na hata mwili pia waliojifungua watakusaidia kwenye hili.Sasa basi mume wa mtu anakupenda kwa kuwa hujapita kote huko siwezi "kuguarantee" upendo wake kwako baada ya wew kupita kote hukoo. Mwanaume kuhonga sio dalili kabisa ya upendo ila ni nguvu itumikayo kupata kile akitakacho hivyo anaehonga vocha ni kwa sabab ya uwezo wake na anaehonga gari au nyumba ni kwa sabab ya uwezo wake na sio upendo.

Nina mifano ya kesi mbili halisi za watu walioingia kwenye ndoa za watu mmoja muislam na mwingine mkristo; wote matokeo yao ni hasi kwani mmoja ni marehemu kwa sasa na muislam hana ndoa na hana kazi anahangaika, wew humjui kwa undani bi mkubwa ila uko free sana kusema umetambulishwa kwa ndugu, sijawahi kuona familia kama hii toka nazaliwa kama ni kweli hii ni ya kwanza kwangu what if bi mkubwa akiwa na akili mbaya akasema tukose wote( sjui kama umelifikiria hili ) .
Ushauri: Kama kijana yuko serious na wew achna na mume wa mtu olewa na kijana pangeni maisha yenu na Mungu atawabariki;- Mim nikiambiwa nioe tena nitamuoa mke wangu.
Zipo familia za hivyo nimezishuhudia, zinaagalia maslahi zaidi.
Otherwise umemshauri vema.
Tena yeye ana unafuu ameomba ushauri na anaweza pata picha ya alilodhani yu sahihi nalo.
Wadada wapo wanakomalia waume za watu na ndoa wanazigharamia kisiri wao wenyewe kisha wanajiona wako sawa na walokole wanajiita.
Dunia ina mengi hii.
Mungu atusaidie tu kupata ufahamu.
 
Hao ndugu na mama ni balaa. Wanapromote mchepuko wa ndugu yao kuliko mke halali?
Kweli jamaa no tajiri haswa. Ka-corrupt hadi akili za wanaotakiwa kukemea ujinga wake.
Wapo wengi hao ndugu wa hivyo....
 
It seems huyo mama mkwe na familia wanataka kumkomoa huyo mke mkubwa vile ukute hawalambi makalio na wewe unajipendekeza huko uonekane vizuri, so be careful ka ana mtenda mkewe unafikiri wewe papuchi yako inatoka dunia nyingine?
Wanawake wengine hawawazi hilo...mapenzi upofu
 
Mke wangu nampenda mno na sipo tayari kumpoteza ila nimeshaamua liwalo na liwe. Yule mdada siwezi kumuacha aliwe na wahuni wengine maana jinsi ninavyomfeel siwezi hata kuelezea. Tukiwa chumbani huwa napata raha isiyokifani hivyo nimeshaamua bora nimuoe tu kuliko kumwacha akaolewa na mwanaume mwingine nikaishi a miserable life for the rest of life. Wife will have to just understand. I love her (my wife) but I'm also deeply in love with another woman.
....Kama Unampenda kweli basis ungemuachia nafasi naye spate mwenza wake!
Wewe una make halafu unataka binti was watu kijana aje mbanane hapo hapo?
Humtendei Haki.
Ni jukumu lako kwa vile wewe ni mkubwa kumpa Ushauri was Kiutu Uzima kuwa naye atafute Mwenza wake.
Halafu Mkuu ni Kama una tamaa Fulani hivi. Una Mke lakini unataka pia Wanaume wenzako wasipate nafasi ya Kumla hiyo Mchepuko wako?!?
Hiyo ni Tamaa. Wachie wanaume wenzako. Wewe umeishapata wako waachie wenzako na muachie hiyo Binti was watu, wapate Wenzako wao na wewe endelea na Mkeo
 
[emoji23][emoji23][emoji23]huu uzi watu wameandika kwa hisia sana jamani
Watu jf ni watakatifu sana kwa hizi comment naona kabisa hakuna wachepukaji humu
Mkuu, uzi kama huu lazima uteke hisia za watu coz unagusa the inner part of our hearts so usishangae sana.

Watu wanawaza future yako na huyo jamaa, wanarudi kuwaza kuhusu huyo mke mkubwa, wapo watoto katikati hapo so it must be a complicated case. Sio kwamba watu ni watakatifu, no ilà hii mada ina uzito coz inagusa maisha ya watu.

Hapa wewe unaweza kulichukulia lightly, lakini kuna watoto wanaweza kutelekezwa in the name of love, kuna mama anaweza kuishi kwa frustration hadi kufa kwa sonona kisa maamuzi utakayofanya.

Mimi namuona huyo jamaa mkosefu sana, anamkosea mkewe lakini anaiharibu nyumba yake, you've come in the middle of everything but he deserves the blame, angetulizana ungebaki na kijana huyo maisha yakaenda, but he didn't.

He's a successful man kutokana na maelezo yako, mind you his wife has a hand in it. Hakufanikiwa tu hivi hivi, leo kapata anaona ni heri aoe kwa siri, WTF is he thinking? Sasa wewe ndio muonyeshe kuwa anachofanya sio sahihi, he should go back to his beautiful wife alee vijana wake, wewe rudi kwa huyo kijana muanze maisha yenu. In the end hata wewe utakuwa proud na mafanikio yako na mumeo, sio hiyo "readymade" uliyoikuta hapo. Watu wanaanza mbali jamani, oneni tu majumba, magari et al, watu wameanzia chini mno. Why usiwe sehemu ya historia ya familia yako?

BTW, ungejaribu kumtafuta huyo bi'mama akupe ABC za jamaa, huenda you don't know him that much. That's my two cents!!
 
Ahahaaa...

Kwahyo unamaanisha hujawai kutamani mwanamke mwengne zaidi ya mkeo...??

Ila mwanaume kulizika na mmke mmoja ni ile tu Hali ya kuhofia (uoga) au huenda mwenamke ana power ktk familia (kamshika mumewe sehemu) au umaskini au mapungufu ya kiafya...

Duh, you sound childish, samahani kwa mawazo yangu mkuu. Unadhani kuvua ovyo boksa ni ushababi, well huenda umri ukizidi kuongezeka utajifunza zaidi.
 
Back
Top Bottom