Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Umalaya haunaga jinsia....Kumbee me na ke wote malaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umalaya haunaga jinsia....Kumbee me na ke wote malaya
Tunakujali ndio maana tunaongea kwa hisia na machungu[emoji23][emoji23][emoji23]huu uzi watu wameandika kwa hisia sana jamani
Watu jf ni watakatifu sana kwa hizi comment naona kabisa hakuna wachepukaji humu
Unasubiria nini sasa, ongea hayo mashudu tukuwashir moto hadi ujute..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]Kwahiyo unataka kusemaje? Tena mie sijataka tyuuuh kumshauri huyo, wallah uzi mzima ungehamia kwangu.
Acha mtu afurahi na hitaji la maisha yake.
AsanteUnajibu vizuri mpaka kuna vitu najifunza nitakuja kushauri hata watu wengine....
Sijui mimi labda nikuulize wewe unaowajua hao Malaya wenzioDuuh...kumbe malaya wapo wengi tu humu. Yaani unaacha kutafuta single mwenzio unahangaika na mume wa mtu kama si umalaya ni nini??
Kumbee!!Umalaya haunaga jinsia....
Tunakujali ndio maana tunaongea kwa hisia na machungu
Kwa Wakristu ndoa ni moja tu na huwa ya wazi, upendo haufichiki, upendo hauhitaji kufanywa siri... Ukiona hivyo ujue hakuna upendo hapo, anakudanganya tu.
And mind you, ndoa siyo yale makaratasi bali ni muunganiko halali mbele ya Mungu na watu wa mwanaume mmoja na mwanamke mmoja kuishi kama mume na mke.
Mwisho wa siku akishapata anachokitafuta kwako (yeye pekee ndiyo anakijua) atarudi kwa mke wake. Usikubali kutumika. Endelea na huyo kaka ambaye siyo mume wa mtu, mfanye mume wako halali.
Achana na hizo tamaa nyingine.
Ushauri konkiiKwa Wakristu ndoa ni moja tu na huwa ya wazi, upendo haufichiki, upendo hauhitaji kufanywa siri... Ukiona hivyo ujue hakuna upendo hapo, anakudanganya tu.
And mind you, ndoa siyo yale makaratasi bali ni muunganiko halali mbele ya Mungu na watu wa mwanaume mmoja na mwanamke mmoja kuishi kama mume na mke.
Mwisho wa siku akishapata anachokitafuta kwako (yeye pekee ndiyo anakijua) atarudi kwa mke wake. Usikubali kutumika. Endelea na huyo kaka ambaye siyo mume wa mtu, mfanye mume wako halali.
Achana na hizo tamaa nyingine.
Ahahaaa...Nimeshafika..... Huo unaosema sio ukweli.....
Mimi hapa ni a living example. Kama haujui njoo nikufunze...... Mwanaume kuwa na tamaa ya wanawake wengi ni swala la kusikiliza na kufuata mihemko na tamaa za kibinadamu......
Unaweza kuridhika na mwanamke wako, na kipindi akianza kukukifu kuna vitu ukafanya nae mvuto ukarudi sawa.
Na nikwambie tu jambo, vinavyo kuvutia ukiwa katika teenage years, ni tofauti na 20's age na 30's kuendelea....
As una age na kumature and so will the perception yako juu ya mahusiano, wanawake na mapenzi kwa ujumla.
So usifikirie akili hizi za kubalehe utazitumia kukiwa unaingia utu uzima na majukumu ya familia.....
Ahahaaa...
Kwahyo unamaanisha hujawai kutamani mwanamke mwengne zaidi ya mkeo...??
Ila mwanaume kulizika na mmke mmoja ni ile tu Hali ya kuhofia (uoga) au huenda mwenamke ana power ktk familia (kamshika mumewe sehemu) au umaskini au mapungufu ya kiafya...
You said it all.Nipo kwenye ndoa mwaka wa 12. Usijidanganye kufanya siri eti utamuumiza mke wa jamaa.
Trust me, anafahamu uwepo wako labda tuu awe hakufaham kwa sura na jina. Inawezekana huyo mama ameshazoea tabia za mumewe kabla hata ya kukupata wewe ndio maana haoni jipya..
Niseme tuu ukweli...sisi wanawake tulioko kwenye ndoa hua tunapata mshtuko mkubwa mara ya kwanza tunapogundua mume sio mwaminifu...halaf baadae moyo unaingia ganzi tunazoea tuu...hata mume afanye nini huwezi kuguswa hata kidogo...utamtimizia mahitaji yake yooote lakini moyoni anakua hayupo...siku mume akigutuka kutoka usingizini kutaka kurepair ndoa mke anaona usanii tuu, mume anabaki analaumu mke kwa watu bila kutafakari kilichowafikisha kwenyye state hiyo...
Siwezi kukupa neno zuri la ushauri zaidi ya neno la Mungu kwa mujibu wa imani yako..hebu rejea maandiko ya imani yako yanasemaje? Naamini utafunuliwa jibu sahihi huko.
Kila la kheri
Hatari...Kumsingi, wewe ndie una matatizo. Wanaosema mume au mke wa tu ni sumu huwa mnawaza swala la kukamatwa tu na kubananishwa ila mnasahau kuwa kitendo cha kuingia kimahusiano na mume au mke wa mtu sio tu ni hatari kwa afya na usalama wako lakini pia unakaribisha unnecessary complications kama kupata mtoto nae, au kupeka ujauzito na kuzaliwa watoto wa nje ya ndoa katika ndoa ya mtu, kujenga hisia na mume au mke wa mtu kiasi kwamba unaanza kumuona mwenye mke au mume kuwa anakunyima haki yako ya kuwa na mtu unae mtaka.
Wewe una matatizo sababu ulikubali from the beginning ukijua huyo ni mume wa mtu, ulitakiwa mapema sana ulipojua kuwa ni mume wa mtu, muda ule ule ungesitisha mazoea na kuachana nae.
Sasa kwanza unadanganya kuwa unapenda wanaume wawili kwa wakati m'moja, how is that even love kwanza?! How is it possible kupenda watu wawili kwa usawa ule ule....?!
So we kubali tu kuwa wewe ndie tatizo. Na kuhusu kukushauri, kwa sasa ni ngumu maana nitakushauri maamuzi magumu ya kumuacha mume wa mtu na kuwa na huyo ambae hana mtu maishani mwake. Swala ambalo najua litakuwa ni gumu sana kwako kufanya kwa wakati huu.
Mmmmmmhmn ila aisee watoto wa kike muda mwingine, mna akili za kipuuzi..... Yote hiyo ni tamaa. Sasa unaanzaje kujenga na mume wa mtu?! Na unajua mtu ana familia yake?!
Zipo familia za hivyo nimezishuhudia, zinaagalia maslahi zaidi.Pole sana, wew ni mdogo sana kuchukua uamuzi kama huo, mim niko kinyume na akili yako kwa sababu ni mwanaume na nimeoa toka mwaka 2012, ambacho hujafaham kwa umri wako kama mkuu mmoja alivyoshauri hapo juu ni kwamba hutakuwa jinsi ulivyo hata kwa miaka 5 ijayo, utakapopata mtoto kuna vitu vingi sana ambavyo vinabadilika katika maisha na hata mwili pia waliojifungua watakusaidia kwenye hili.Sasa basi mume wa mtu anakupenda kwa kuwa hujapita kote huko siwezi "kuguarantee" upendo wake kwako baada ya wew kupita kote hukoo. Mwanaume kuhonga sio dalili kabisa ya upendo ila ni nguvu itumikayo kupata kile akitakacho hivyo anaehonga vocha ni kwa sabab ya uwezo wake na anaehonga gari au nyumba ni kwa sabab ya uwezo wake na sio upendo.
Nina mifano ya kesi mbili halisi za watu walioingia kwenye ndoa za watu mmoja muislam na mwingine mkristo; wote matokeo yao ni hasi kwani mmoja ni marehemu kwa sasa na muislam hana ndoa na hana kazi anahangaika, wew humjui kwa undani bi mkubwa ila uko free sana kusema umetambulishwa kwa ndugu, sijawahi kuona familia kama hii toka nazaliwa kama ni kweli hii ni ya kwanza kwangu what if bi mkubwa akiwa na akili mbaya akasema tukose wote( sjui kama umelifikiria hili ) .
Ushauri: Kama kijana yuko serious na wew achna na mume wa mtu olewa na kijana pangeni maisha yenu na Mungu atawabariki;- Mim nikiambiwa nioe tena nitamuoa mke wangu.
Wapo wengi hao ndugu wa hivyo....Hao ndugu na mama ni balaa. Wanapromote mchepuko wa ndugu yao kuliko mke halali?
Kweli jamaa no tajiri haswa. Ka-corrupt hadi akili za wanaotakiwa kukemea ujinga wake.
Wanawake wengine hawawazi hilo...mapenzi upofuIt seems huyo mama mkwe na familia wanataka kumkomoa huyo mke mkubwa vile ukute hawalambi makalio na wewe unajipendekeza huko uonekane vizuri, so be careful ka ana mtenda mkewe unafikiri wewe papuchi yako inatoka dunia nyingine?
....Kama Unampenda kweli basis ungemuachia nafasi naye spate mwenza wake!Mke wangu nampenda mno na sipo tayari kumpoteza ila nimeshaamua liwalo na liwe. Yule mdada siwezi kumuacha aliwe na wahuni wengine maana jinsi ninavyomfeel siwezi hata kuelezea. Tukiwa chumbani huwa napata raha isiyokifani hivyo nimeshaamua bora nimuoe tu kuliko kumwacha akaolewa na mwanaume mwingine nikaishi a miserable life for the rest of life. Wife will have to just understand. I love her (my wife) but I'm also deeply in love with another woman.
Mkuu, uzi kama huu lazima uteke hisia za watu coz unagusa the inner part of our hearts so usishangae sana.[emoji23][emoji23][emoji23]huu uzi watu wameandika kwa hisia sana jamani
Watu jf ni watakatifu sana kwa hizi comment naona kabisa hakuna wachepukaji humu
Ahahaaa...
Kwahyo unamaanisha hujawai kutamani mwanamke mwengne zaidi ya mkeo...??
Ila mwanaume kulizika na mmke mmoja ni ile tu Hali ya kuhofia (uoga) au huenda mwenamke ana power ktk familia (kamshika mumewe sehemu) au umaskini au mapungufu ya kiafya...