Hahahahahah, tunawapiga katika utalii left and right, mnabaki kushabikia articles zinazowapa matumaini ya uongo, Bongo ndio baba lao katika utalii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna typo hapo ivi 8.8 of Kenya GDP ambayo no $89bln ivi kwako no $7.9mln...rudi darasani before kabla kunita mjingaJinga Wewe, hakuna nchi yoyote ile Africa inayopata hiyo pesa katika utalii, hata South Africa hawapati $7B, tumia akili hiyo.
Kwa mfano iwe ni kweli wamepata hiyo pesa, Mbona Balala alisema wamepata $1B, nani ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ati hauna muda mi sio level ya vilaza Ka wewe wenye IQ ya panziHuwa sipotezi MUDA kuongea na dumb people like you.
Hahahahaha, anayejua ukweli kuhusu Kenyan tourism sector ni CS Balala, muulize atakuambia ukweli sio kutafuta articles zenye kukupa matumaini.sisi tunadeal na facts na takwimu sio maneno, ushabiki na propaganda za wanalumumba.
Onyesha ni mwaka gani Kenya ilishavuka $1B katika tourism revenue. Juzi Balala wakati anamuekeza Uhuru Kenyatta kuhusu hali ya utalii, alisema wamepata $1B, je hajui anachokisema?Hakuna typo hapo ivi 8.8 of Kenya GDP ambayo no $89bln ivi kwako no $7.9mln...rudi darasani before kabla kunita mjinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha tourism earnings na contributions kwa gdp izo ni vitu mbili tofauti...Hahahahaha, anayejua ukweli kuhusu Kenyan tourism sector ni CS Balala, muulize atakuambia ukweli sio kutafuta articles zenye kukupa matumaini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hiyo article ungesoma vizuri wamesema international tourists walispend ksh150bln ambayo ni equivalent to $1.5bln...kumaanisha tulishaa cross $1bln markOnyesha ni mwaka gani Kenya ilishavuka $1B katika tourism revenue. Juzi Balala wakati anamuekeza Uhuru Kenyatta kuhusu hali ya utalii, alisema wamepata $1B, je hajui anachokisema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha, anayejua ukweli kuhusu Kenyan tourism sector ni CS Balala, muulize atakuambia ukweli sio kutafuta articles zenye kukupa matumaini.
Sent using Jamii Forums mobile app
tukielekea $3 bln mark!Onyesha ni mwaka gani Kenya ilishavuka $1B katika tourism revenue. Juzi Balala wakati anamuekeza Uhuru Kenyatta kuhusu hali ya utalii, alisema wamepata $1B, je hajui anachokisema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hiyo article ungesoma vizuri wamesema international tourists walispend ksh150bln ambayo ni equivalent to $1.5bln...kumaanisha tulishaa cross $1bln mark
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni directly proportional, the higher the the revenue, the bigger the contribution to the GDP, tena huko ndio unapotea kabisa. Kenya inapata revenue ndogo na GDP is bigger, Kwahiyo propotion ya contribution ya GDP lazima iwe far lower than TanzaniaTofautisha tourism earnings na contributions kwa gdp izo ni vitu mbili tofauti...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoaji hizi taarifa ni wizara ya utalii ya Kenya ambayo waziri wake ni Balala, kwa maana hiyo statement ya Balala Ndio "The core source of information.Kwa hiyo hiyo article ungesoma vizuri wamesema international tourists walispend ksh150bln ambayo ni equivalent to $1.5bln...kumaanisha tulishaa cross $1bln mark
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo Swali Ninakushauri muulize Balala, yeye ndiye kiini cha taarifa zote zinazohusu utalii wa Kenya, yeye alituambia mwaka Jana Kenya ilipata $1B, kama hajakanusha na kurekebisha hiyo taarifa, basi taarifa zingine zote ni batili.so, wewe kwa maoni yako, article yenyewe imetokea wapi?? ebu tueleze...
Mwaka juzi mlikusanya $800M
Hahahahaha, hii habari Mbona inasema mapato ya utalii mwaka Jana ni $7.9M, wakati Balala alisema mlipata $1B, tumuamini nani?, mlivyo mazuzu mnaishabikia hii taarifa. Sasa kama mnafurahia $7.9M, je anayepata $2B afanye nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Direct-IndirectMwaka juzi mlikusanya $800M
Hii report imekaa kama daydreaming
Huwez toka kwenye $800M hadi $7.9B hata kama nilisoma nikaishia darasa la pili hapa hunidanganyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yote yanajulikana serikalini, unapoambiwa mapato yanayopatikana kutokana na utalii, yanajumlisha mapato yote yanayoletwa na utalii, kuanzia visa, na matumizi yote ambayo watalii Wanatumia kwa kipindi chote atakachokuwepo nchini, ndio sababu katika utalii kuna indicators kamaKuna mapato ya serikali na mapato ya nchi.
Other than visa and park fees, tourists also spend in many other things.
Report inatakiwa isiwe na maswali mob ijitoshelezeDirect-Indirect
Ata kusoma mnashindwa...
Mtu mwenye Ako na duka za shanga,wafanyanyikazi wa mahoteli, suppliers wa chakula Kwa mahoteli,
Nyinyi mnaona tu benefits za wataliii hamuangali indirect.
Onyesha ni mwaka gani Kenya ilishavuka $1B katika tourism revenue. Juzi Balala wakati anamuekeza Uhuru Kenyatta kuhusu hali ya utalii, alisema wamepata $1B, je hajui anachokisema?
Sent using Jamii Forums mobile app