DOKEZO TRC inahujumiwa? Ni makusudi au bahati mbaya?

DOKEZO TRC inahujumiwa? Ni makusudi au bahati mbaya?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kuna mchezo siku hizi unachezwa nafikiri ni makusudi na wafanyakqzi wa TRC ili kutengeneza mianya ya rushwa.

Sasa hivi TRC wameweka utaratibu mzuri sana wa kukata ticket kwa njia ya mtandao, ki ukweli ni utaratibu mzuri sana na unatupunguzia adha ya kukaa foleni muda mrefu. Lakini kuna mchezo sasa hivi unachezwa makusudi na baadhi ya maafisa wa TRC kwamba kuna siku wanauzima mtandao makusudi ili ninyi mbaolipia kwa kutumia simu mkose acces ya kupata ticket.

Kwa hyo ili upate ticket unatakiwa kufika Station. Na ukifika Station ili uoate ticket yani rushwa ni nje nje. Yani unataka kukata ticket labda ya Tabora ukiachana na hyo gharama ya ticket mtu anakuambia ongeza kati ya 10,000/= mpaka 20,000/= na kwa sababu uhitaji wa ticket ni mkubwa basi watu wanatoa hela maana hakuna namna inabidi mtu usafiri.

Na mchezo huu wa kufanya system yao isiwe active inafanywa mara nyingi sana. Unaweza kuta almost kila wiki inatokea mara moja au mbili.

Nauliza nani yuko nyuma ya mchezo huu?
 
Kuna mchezo siku hizi unachezwa nafikiri ni makusudi na wafanyakqzi wa TRC ili kutengeneza mianya ya rushwa.

Sasa hivi TRC wameweka utaratibu mzuri sana wa kukata ticket kwa njia ya mtandao, ki ukweli ni utaratibu mzuri sana na unatupunguzia adha ya kukaa foleni muda mrefu. Lakini kuna mchezo sasa hivi unachezwa makusudi na baadhi ya maafisa wa TRC kwamba kuna siku wanauzima mtandao makusudi ili ninyi mbaolipia kwa kutumia simu mkose acces ya kupata ticket.

Kwa hyo ili upate ticket unatakiwa kufika Station. Na ukifika Station ili uoate ticket yani rushwa ni nje nje. Yani unataka kukata ticket labda ya Tabora ukiachana na hyo gharama ya ticket mtu anakuambia ongeza kati ya 10,000/= mpaka 20,000/= na kwa sababu uhitaji wa ticket ni mkubwa basi watu wanatoa hela maana hakuna namna inabidi mtu usafiri.

Na mchezo huu wa kufanya system yao isiwe active inafanywa mara nyingi sana. Unaweza kuta almost kila wiki inatokea mara moja au mbili.

Nauliza nani yuko nyuma ya mchezo huu?
Juu kukiwa hovyo basi huku chini ndiyo kunakuwq hovyo zaid
 
Kuna mchezo siku hizi unachezwa nafikiri ni makusudi na wafanyakqzi wa TRC ili kutengeneza mianya ya rushwa.

Sasa hivi TRC wameweka utaratibu mzuri sana wa kukata ticket kwa njia ya mtandao, ki ukweli ni utaratibu mzuri sana na unatupunguzia adha ya kukaa foleni muda mrefu. Lakini kuna mchezo sasa hivi unachezwa makusudi na baadhi ya maafisa wa TRC kwamba kuna siku wanauzima mtandao makusudi ili ninyi mbaolipia kwa kutumia simu mkose acces ya kupata ticket.

Kwa hyo ili upate ticket unatakiwa kufika Station. Na ukifika Station ili uoate ticket yani rushwa ni nje nje. Yani unataka kukata ticket labda ya Tabora ukiachana na hyo gharama ya ticket mtu anakuambia ongeza kati ya 10,000/= mpaka 20,000/= na kwa sababu uhitaji wa ticket ni mkubwa basi watu wanatoa hela maana hakuna namna inabidi mtu usafiri.

Na mchezo huu wa kufanya system yao isiwe active inafanywa mara nyingi sana. Unaweza kuta almost kila wiki inatokea mara moja au mbili.

Nauliza nani yuko nyuma ya mchezo huu?
hilo ni mojawapo la chaka la wakubwa kupiga hela tangu enzi hizo
yaani unaweza kuta treni imejaa ,watu wamesimama, na wote wana ticket ,lakini kwenye record za shirika mabewa yana nusu ya watu,yaani ticket rasmi ni chache. nyingi magumashi
 
Kuna mchezo siku hizi unachezwa nafikiri ni makusudi na wafanyakqzi wa TRC ili kutengeneza mianya ya rushwa.

Sasa hivi TRC wameweka utaratibu mzuri sana wa kukata ticket kwa njia ya mtandao, ki ukweli ni utaratibu mzuri sana na unatupunguzia adha ya kukaa foleni muda mrefu. Lakini kuna mchezo sasa hivi unachezwa makusudi na baadhi ya maafisa wa TRC kwamba kuna siku wanauzima mtandao makusudi ili ninyi mbaolipia kwa kutumia simu mkose acces ya kupata ticket.

Kwa hyo ili upate ticket unatakiwa kufika Station. Na ukifika Station ili uoate ticket yani rushwa ni nje nje. Yani unataka kukata ticket labda ya Tabora ukiachana na hyo gharama ya ticket mtu anakuambia ongeza kati ya 10,000/= mpaka 20,000/= na kwa sababu uhitaji wa ticket ni mkubwa basi watu wanatoa hela maana hakuna namna inabidi mtu usafiri.

Na mchezo huu wa kufanya system yao isiwe active inafanywa mara nyingi sana. Unaweza kuta almost kila wiki inatokea mara moja au mbili.

Nauliza nani yuko nyuma ya mchezo huu?
Hiyo wanafanya makusudi kabisa, wei wakubwa hao.

Nawashangaa takukuru hawayaoni mambo kama hayo yanayowaumiza raia wa kawaida kila siku.

Hao ni wakushikwa na kupigwa risasi za kisogo tu. Kama China.
 
Hata Azam Marine kuna kipindi walikuwa na mchezo huo,ukitaka tiketi ya bei ya chini wanajibu hamna zipo za elfu 50,ukiwaambia subiri kidogo nimuulize msafiri mwenyewe,baada ya dk.2 ukiwaambia nipeni tiketi hiyohiyo ya elfu 50 wanakujibu zimeisha zipo za elfu 60
 
Tanzania haiwezi kufanikiwa labda ianze upya na wananchi wapya hao ambao hawajazaliwa, ila waliokwishakuzaliwa washakuwa tatizo hawafai tena
 
Kwa Sasa habari kama hizo hata ukisema hakuna anayekusikiliza wala kumfuatilia

Ingekuwa enzi zile ukiwwka Uzi kama huu hapo TRC jasho lingekuwa linalowesha Hadi vyupi zao maana wangekuwa wanajua mda wowote lungu linawashukia
 
Shirika la rail tanzania (TRC) au wizara ya uchukuzi ingewachukuwa vijana wa mechanical, automobile, automotive, electro-mechanical, electrical and electronics, telecom na wave, aerodynamic, locomotive Engineer waliyopo data base za psrs(utumishi) au kama hawapo wa kutosha itoe tangazo la kazi vijana waliyo hitimu waombe , then iwapeleke Korea ya kusini vijana kuwapo kuwaongezea ujuzi wa kitaalamu kuhusu system zote za ki-engineering zinazo husiana na mradi wa sgr locomotive na train(car(coach)) zake zote, ili mradi uimarike usonge mbele, kuliko kutegemea techlogy ya ndani angali vitu na vifaa vyoye ni vya nje(mataifa mengine), kwa maana wana ushirikiano mzuri na korea ya kusini kwa mambo ya reli kwa sasa au hata uturiki, hiyo itqsaidia mradi kukua zaidi na kukuza uchumi na kufikia miaka halisi miaka 100 ya mradi ulivyo sainifiwa(design), serikali isione hasara kuwapeleka vijana korea maana after mafunzo taifa litaona faida , HAPA PIA SUALA LA TECHNOLOGICAL ADAPTATION BADO (TECHNOLOGY TRANSFER) inahitajika sana kwa TRC, yaani mambo ya kitalamu( engineering factor) bado ni changamoto TZ, na enginering work haidanganyi kama umefanya mambo bila parameter za kiinjinia system itakuumbua tu lazima drowback zionekane tu😁😳
 
Back
Top Bottom