Awamu ya vitendo hii. Mboe lazima anune maana inakwenda kumbomoa mchana kweupeTiming Nzuri Sasa Wajitahidi Wasiifanye Kwa Muda Bali Iwe Endelevu, Nategemea Kulipanda Hili
Isiwe Tena Kero Mara Njiani Limeharibika Siku 3
Itachukuwa muda wa trein ya deluxeNi vibaya mtu kujua masaa ambayo safari itatumia mkuu?!
Kwl kabisa mkuu nami panapomajaliwa nitalionja natumai Mombo stesheni napo patakua panafanya kazi kwahiyo kwa Korogwe sio lazima wote tushukie Korogwe mjini kwa sisi wa Mombo nandugu zangu wa Lushoto watashukia mombo nakupanda gari zakupandisha (weita ushoto,mlalo,vugha bazo ,bumbui,shambaai,Mtae.. ni iwe du)Timing Nzuri Sasa Wajitahidi Wasiifanye Kwa Muda Bali Iwe Endelevu, Nategemea Kulipanda Hili
Isiwe Tena Kero Mara Njiani Limeharibika Siku 3
Kama biashara italipa vzr natumai watawapongeza wakaskazini kwa kuwaboreshea kufikia SGR japo nijambo lamuda zaidiJambo jema, je Na yenyewe itaendelezwa kufikia SGR?
Aisee!!Kipi cha kushangaza hapo? Tatizo Lindi hamjawahi kuona treni mmekalia ulozi na unyago tu
Kwanini Mkuu? kwamba safari itakua ngumu kiasi chakufanya mtu ukazane ktk maombi nakujiweka karibu zaidi na Muumba..Badala ya kusafiri huku tunakunywa bia, Sasa ni wakati wa kusafiri huku tukifanya tafakari ya neno la MUNGU
No the truth....Kipi cha kushangaza hapo? Tatizo Lindi hamjawahi kuona treni mmekalia ulozi na unyago tu
Hongera. Treni tuachie wanyongeNo the truth....
usafiri wangu ni anga /flights
na private cars
sijui kabisa mambo ya treni na mabasi
No ni means of transport....Hongera. Treni tuachie wanyonge
Woyooowoyooowoyooo nauli sh 15,000 [emoji12]Shirika la Reli Tanzania, TRC linawatangazia watu wote kuwa safari za treni la biria kutoka Dar kuelekea Moshi zitarejea rasmi mwanzoni mwa mwezi Desemba mwaka 2019
View attachment 1267371
Kina mangi wenye mabasi wakalime sasaWoyooowoyooowoyooo nauli sh 15,000 [emoji12]
Swali la msingi na sekondari waboreshe watuletee na treni ya kutoka dar saa kumi na moja alfajiri moshi saa nane mbona watakimbia abiriaWameweka mabehewa ya aina gani?
Je safari itatumia masaa mangapi?
HAWA JAMAA ZETU HUWA WANAJALI SANA UBORA,SIO SAWA NA WALE WANAOSAFIRI NA MAJIKO YAO NA KUANZA KUPIKIA HUMO HUMO.
Weeee nawee kuuliza muda muhimu yaani unipakie jana nifike kesho kaseema naaniSi vibaya ila kama unajali muda na una hela ya kutosha kwea pipa. Kama u mnyonge (obvious utakua na muda wa kutosha) kwea treni.
Kapande ndege dakika 45 tu ushafikaWeeee nawee kuuliza muda muhimu yaani unipakie jana nifike kesho kaseema naani
Kina mangi wenye mabasi wakalime sasa
Nitapanda hata meridian uhakika saa kumi upo marangu cha jioni hata hakijabandikwa jikoniKapande ndege dakika 45 tu ushafika