Treasury Bonds/T-bonds/T-Bills/Bonds/Hati Fungani ni Uwekezaji "Kichaa"

Treasury Bonds/T-bonds/T-Bills/Bonds/Hati Fungani ni Uwekezaji "Kichaa"

Advantage ni kwa walionunua hatifungani zamani kwa vile badiliko hili haliwaathiri.
Kuna mdau alipuuzaa ushauri wangu, nilimwambia asubirie mnada huu wa mwezi wa April. Akakaidi akaenda nunua Kwa 148.9...ukaidi wake Leo umekuwa wa FAIDA mama difference ya % mpya Kwa mzigo alioweka,Kwa mwaka ni pareefu saana. 10m+ per annum.
 
Mkuu naona BoT wamepunguza interest rates ku discourage watu wasiwekeze huko.
Vipi una maoni gani kuhusu kupunguzwa kwa interest rates za government bonds.
Kwa hiyo kwa mfano ukitaka kuwekeza inabidi uwekeze kwenye rates zipi kwani rate zinazo tolewa tofauti yake ni ndogo sana kulingana na muda

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hebu angalia jedwali hapo juu kwani 20 yrs rate yake ni 12.10 na 25yrs ni 12.56 kwa hiyo tofauti yake ni 0.46

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
0.
Hebu angalia jedwali hapo juu kwani 20 yrs rate yake ni 12.10 na 25yrs ni 12.56 kwa hiyo tofauti yake ni 0.46

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ni ndogo ndio. Kadiri kiwango cha hela unachoweka kinavokuwa kikubwa ndvyo unavoona significance ya iyo 0.46%.
 
Mimi mwenyewe nimemshangaa mleta mada.

Tena ikibidi unaenda kununua Treasury Bonds ya nchi Kama UK , USA , German hata Japan huko
Unawezaje kwenda kununua bonds za uSA ukiwa Tanzania??
 
Hapo umepiga hesabu za kuwekeza kwenye biashara ambayo inaingiza faida consistent miaka 20 inakua na return hiyo ya asilimia 1753.8% which in reality hakuna biashara ya hivo. Biashara ina risk ya kupoteza nusu ya mtaji wako ulioanza nao 5 years ago kama huja calculate risk. So mahesabu yako ni ya makaratasi sio realistic.
 
Nimesoma comments zote. Hakika nimejifunza vitu vingi sana

ASANTENI
 
Mtamba wa Panya,
Kuweka mtaji kwenye hati fungani ile faida ina ongezeka kwenye mtaji je nayenyewe ina pigiwa hesabu ya faida yake au utaruhusiwa kuwa unaichukua faida kila mwaka mtaji unabaki pale pale
... inawezekana ulishajibiwa maana ni swali la muda mrefu kidogo; iko hivi; kuna option mbili. Ya kwanza ni kwa faida inayopatikana kutokana na kiasi cha mtaji wako (principal amount) kuingizwa kwenye akaunti yako - yaani kulipwa; na option ya pili ni kwa faida inayotokana kila mwezi/mwaka kuongezwa kwenye mtaji.

Option ya kwanza mtaji haukui ila unalipwa kila kipindi; option ya pili mtaji unakua ila hulipwi.
 
Hapo umepiga hesabu za kuwekeza kwenye biashara ambayo inaingiza faida consistent miaka 20 inakua na return hiyo ya asilimia 1753.8% which in reality hakuna biashara ya hivo. Biashara ina risk ya kupoteza nusu ya mtaji wako ulioanza nao 5 years ago kama huja calculate risk. So mahesabu yako ni ya makaratasi sio realistic.
... kabisa Mkuu wangu; biashara aisikie tu. TRA wenyewe wanafilisi watu kwa makadirio yao ya ajabu ajabu.
 
Hapo umepiga hesabu za kuwekeza kwenye biashara ambayo inaingiza faida consistent miaka 20 inakua na return hiyo ya asilimia 1753.8% which in reality hakuna biashara ya hivo. Biashara ina risk ya kupoteza nusu ya mtaji wako ulioanza nao 5 years ago kama huja calculate risk. So mahesabu yako ni ya makaratasi sio realistic.
Zipo..
 
... inawezekana ulishajibiwa maana ni swali la muda mrefu kidogo; iko hivi; kuna option mbili. Ya kwanza ni kwa faida inayopatikana kutokana na kiasi cha mtaji wako (principal amount) kuingizwa kwenye akaunti yako - yaani kulipwa; na option ya pili ni kwa faida inayotokana kila mwezi/mwaka kuongezwa kwenye mtaji.

Option ya kwanza mtaji haukui ila unalipwa kila kipindi; option ya pili mtaji unakua ila hulipwi.
Huyu jamaa bado haelewi how big sharks wanavoinvest, trasury bonds ni za watu wenye akili kubwa. Imagine mtu anaweka 5 billion hlf iwe matured kwa miaka 20 then kwa interest rate ya 15.49% kila mwaka. Piga hesabu namna hela itakavokua na ni risk free 😎.
 
Kwa jinsi mambo yalivyotokea kipindi cha nyuma kidogo uwekezaji wa aina hii ulipungua kiasi chake, ni wazi kunahitajika sera bora zenye manufaa na kuhakikishiwa usalama kwa wawekezaji nchini, wote wawekezaji wa ndani na hata wa nje. Benki kuu kimsingi imejitahidi mno katika kutoa viwango vizuri vya riba katika hizi treasury bills na bonds.
Walau katika kipindi cha Mama yetu sera za uwekezaji zinaeleweka. Wawekezaji wanahitaji uwekezaji wenye uhakika hivyo naamini kwa mambo yalivyo huenda interest cap ikazidi kupanda kila watakapo toa coupon rates mpya. Mimi ninawekeza katika vipindi vya miaka 7 tu na interest cap yake inanipa manufaa zaidi kuliko bonds za miaka 25. Hasa ukizingatia inflation pamoja na mabadiliko ya kisera.
Ni uwekezaji muhimu kwani ni less risky lakini faida yake haijengwi na Leo. Ila ni salama mno kuliko ununuzi wa hisa hasa kama huna financial knowledge ya soko la hisa la Dar Es Salaam (DSE).
 
Back
Top Bottom