Nyangabo2022
Senior Member
- Nov 13, 2022
- 126
- 195
Wanajamvi Mimi ni mkulima mdogo mwenye shauku kubwa ya kumiliki trector Kwa mwaka huu 2023, nmechoshwa na gharama kubwa ya matrector huko Songea, heka Moja mwaka huu tumelima Kwa TSH 90000 had 100000, hapo hujarudia wakati wa kupanda!
Hiki ni kilimo Cha mpunga! Nmeona sio vibaya nijchange change huku na Kule niwe na mashine ndipo nkakuta Tangazo la hizi trector nkawapgia wakasema mfn trector 75hp na jembe ni km 47mlns pia wanakopesha nikaona nishee na wenzangu kama Kuna yeyote ameshuhudia uchapaji Kazi wake maana ni trector mpya tumezoea new Holland, Massey, swaraj nk ambazo bei ziko juu ukilinganisha na Hizi.
Karibuni.
Hiki ni kilimo Cha mpunga! Nmeona sio vibaya nijchange change huku na Kule niwe na mashine ndipo nkakuta Tangazo la hizi trector nkawapgia wakasema mfn trector 75hp na jembe ni km 47mlns pia wanakopesha nikaona nishee na wenzangu kama Kuna yeyote ameshuhudia uchapaji Kazi wake maana ni trector mpya tumezoea new Holland, Massey, swaraj nk ambazo bei ziko juu ukilinganisha na Hizi.
Karibuni.