Trector aina ya Lovol ni bei nafuu sana

Trector aina ya Lovol ni bei nafuu sana

Hz za manual znaanzia Bei gan
Kariakoo nadhani kama laki tatu,
hivi.
Sina uhakika na bei,
Hii ni bei ya China , hizi ukiwa mbunifu unaweza ukazifunga hata kumi then ukavuta na power tiller au pikipiki kama wewe ni mtundu wa mashine au ng'ombe.
Za engine kuanzia milioni 7 kuendelea hii KWA bei ya kiwandani china
 

Attachments

  • Screenshot_20230316_165931.jpg
    Screenshot_20230316_165931.jpg
    98.2 KB · Views: 45
  • Screenshot_20230316_165941.jpg
    Screenshot_20230316_165941.jpg
    136.4 KB · Views: 42
  • Screenshot_20230316_165949.jpg
    Screenshot_20230316_165949.jpg
    98.4 KB · Views: 44
  • Screenshot_20230316_165958.jpg
    Screenshot_20230316_165958.jpg
    77.3 KB · Views: 41
  • Screenshot_20230316_170046.jpg
    Screenshot_20230316_170046.jpg
    86 KB · Views: 41
Hizi ni za engine, pia hio ni app ingia play store download hizo app KWA mahitaji ya vifaa vyote vya kilimo utapata China kwa bei rahisi utaletwa hadi kijijini ulipo.
 

Attachments

  • Screenshot_20230316_165901.jpg
    Screenshot_20230316_165901.jpg
    95.2 KB · Views: 41
  • Screenshot_20230316_165824.jpg
    Screenshot_20230316_165824.jpg
    103.2 KB · Views: 40
  • Screenshot_20230316_165805.jpg
    Screenshot_20230316_165805.jpg
    110.9 KB · Views: 38
  • Screenshot_20230316_165618.jpg
    Screenshot_20230316_165618.jpg
    28.9 KB · Views: 34
Kariakoo nadhani kama laki tatu,
hivi.
Sina uhakika na bei,
Hii ni bei ya China , hizi ukiwa mbunifu unaweza ukazifunga hata kumi then ukavuta na power tiller au pikipiki kama wewe ni mtundu wa mashine au ng'ombe.
Za engine kuanzia milioni 7 kuendelea hii KWA bei ya kiwandani china
Hizi inabidi mbegu uziandae kitaalamu sana, na uangalizi wake sio mchezo, mzee wangu anazo mbili ila sio hizi tunazo za petrol tumeacha kuzitumia miaka 5 iliyopita, zina changamoto shamba uliandae sana mbegu maji n.k kwa kifupi utulie sasa sisi wazee wa kukimbizana na muda ni changamoto.. mbegu zinaandaliwa kama mkate..

Mzee alinunua 1 na moja ya shirika gharama ni milioni 8 kwa mashine moja ila hatuzitumii.. nahisi hizo ulizopost ni kama za manual ila kuandaa mbegu mziki aisee
 
Hizi inabidi mbegu uziandae kitaalamu sana, na uangalizi wake sio mchezo, mzee wangu anazo mbili ila sio hizi tunazo za petrol tumeacha kuzitumia miaka 5 iliyopita, zina changamoto shamba uliandae sana mbegu maji n.k kwa kifupi utulie sasa sisi wazee wa kukimbizana na muda ni changamoto.. mbegu zinaandaliwa kama mkate..

Mzee alinunua 1 na moja ya shirika gharama ni milioni 8 kwa mashine moja ila hatuzitumii.. nahisi hizo ulizopost ni kama za manual ila kuandaa mbegu mziki aisee
Hapana mbegu ni simple tu kuandaa unandaa kwenye matrey ya mbao unayapanga kama vichanja KWA ngazi kwenda juu utumii udongo,
Hata ukitumia udongo unakata mizizi na unaosha kabisa
 
Hapana mbegu ni simple tu kuandaa unandaa kwenye matrey ya mbao unayapanga kama vichanja KWA ngazi kwenda juu utumii udongo,
Hata ukitumia udongo unakata mizizi na unaosha kabisa
Ndio hicho nachokisema mkuu sio inshu ya kitoto hayo ni mazoezi ya kutosha aisee
 
Kama hutojali na kutokana na kazi unayoifanya ya kilimo Cha mpunga ungepata pawatila Siam Kubota. Kwa upande wa trekta usijali kikubwa angalia spea/ vipuli zake zinaingiliana na kampuni gani na upatikanaji wake upoje. Baadhi ya trekta likizingua unageuza kichanja hata Kama unahela, na nyingine huwa zinaharibika Mara Kwa Mara hasa pampu.

Trekta ukinunua Kwa keshi itakua poa Sana kuliko kukopa. Mfano Efta ilikua ukikopa marejesho ni Kila mwezi Kwa miaka mitatu na Kuna vigezo vya shamba na kiingilio lakini ukifeli marejesho hata Kama umebakiza miezi miwili liwe lako wanabeba.

Ukinunua pia utatakiwa kununua majembe na rota na angalau trela kwaajili ya kubebea mizigo wakati wa kiangazi au uwe unakodi.

Kuhusu pawatila utapata Kwa milioni 12 ikiwa complete na Kama ukiwa na pesa za kutosha unaweza kununua mbili. Ukiwa nazo mbili hapo mwenye trekta mnakula league na unaweza kumzidi kidoogo kutokana na wewe kutumia mafuta kidogo na PAWATILA kufanya kazi hata maeneo mapya au yasiyofikika Kwa trekta.

Kwa trekta roho ya paka ni New Holland, masey Ferguson, valtra, Kubota, ford na nyingine nyingi ambazo spa zake zinapatikana.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa ushauri wako, kumbe ni bora wajiunge wakulima hata4 wanunue
 
Ni kwel mkiungana mwaeza mkafanya kitu tatzo mwafrica especially mbongo mkiungana janja janja kibao akisafr mmoja wengne wanaenda kupga vbarua wapate pesa, na mwingne atakuwa hataki kutoa hela y services, achana na mbongo
 
Samahani mkuu naomba kujua kama ulishawahi kizitumia hizi za manual.
Hapana,bado mpya nchini zinasambazwa na CAMCO Equipment
 

Attachments

  • Screenshot_20230326_135636.jpg
    Screenshot_20230326_135636.jpg
    111.5 KB · Views: 35
  • Screenshot_20230326_135642.jpg
    Screenshot_20230326_135642.jpg
    129.1 KB · Views: 44
Dah binafsi huwa nasikitika Sana kuona hata mashine ndogo kama hizi tunaagiza China,.. sina hakika kwamba hakuna watalamu wa uchomeleaji wanao weza kuunda hizi mashine..
 
Hizi inabidi mbegu uziandae kitaalamu sana, na uangalizi wake sio mchezo, mzee wangu anazo mbili ila sio hizi tunazo za petrol tumeacha kuzitumia miaka 5 iliyopita, zina changamoto shamba uliandae sana mbegu maji n.k kwa kifupi utulie sasa sisi wazee wa kukimbizana na muda ni changamoto.. mbegu zinaandaliwa kama mkate..

Mzee alinunua 1 na moja ya shirika gharama ni milioni 8 kwa mashine moja ila hatuzitumii.. nahisi hizo ulizopost ni kama za manual ila kuandaa mbegu mziki aisee
Samahani Mkuu tunaweza kupata picha ya aina ya hizo mashine,
 
Kama hutojali na kutokana na kazi unayoifanya ya kilimo Cha mpunga ungepata pawatila Siam Kubota. Kwa upande wa trekta usijali kikubwa angalia spea/ vipuli zake zinaingiliana na kampuni gani na upatikanaji wake upoje. Baadhi ya trekta likizingua unageuza kichanja hata Kama unahela, na nyingine huwa zinaharibika Mara Kwa Mara hasa pampu.

Trekta ukinunua Kwa keshi itakua poa Sana kuliko kukopa. Mfano Efta ilikua ukikopa marejesho ni Kila mwezi Kwa miaka mitatu na Kuna vigezo vya shamba na kiingilio lakini ukifeli marejesho hata Kama umebakiza miezi miwili liwe lako wanabeba.

Ukinunua pia utatakiwa kununua majembe na rota na angalau trela kwaajili ya kubebea mizigo wakati wa kiangazi au uwe unakodi.

Kuhusu pawatila utapata Kwa milioni 12 ikiwa complete na Kama ukiwa na pesa za kutosha unaweza kununua mbili. Ukiwa nazo mbili hapo mwenye trekta mnakula league na unaweza kumzidi kidoogo kutokana na wewe kutumia mafuta kidogo na PAWATILA kufanya kazi hata maeneo mapya au yasiyofikika Kwa trekta.

Kwa trekta roho ya paka ni New Holland, masey Ferguson, valtra, Kubota, ford na nyingine nyingi ambazo spa zake zinapatikana.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mikukumbushe TU kuwa ford ndio new Holland
 
Natarajia kulima heka 60 Kwa msimu ujao hzo ni Kwa zao la mpunga Kisha mahindi hata hekari 10 pia nitaangalia soya maziwa na maharage huko huko na alizet
Ukifanikiwa kulima heka 60 za mpunga umasikini bye bye.

Vipi huko heka Moja ya mpunga instoa gunia ngapi?
 
Heka 60 chache sana kwa trekta mkuu, nashauri anza na power tiller tena moja tu iwe mjapan kubota, ili uitunze vizuri, kama maana ukiwa na power tiller 2 kama una heka sabini yaani 10 za mahindi 60 za mpunga utachoma hela ya manunuzi tu aana kama ziko sehemu moja upiga ndani week 3 au mwezi unamaliza kama una madereva 3.. usipoteze pesa kuchukua trekta kwa hizo hekari.
Wewe unaonekana ni dalali ama muuza ma power tiller.
Na hizi mvua za kusua sua apoteze , da wa mwezi Kwa kulima eka 70 tu wakato akipata trekta hizo heka anapiga siku 3 TU .
 
Back
Top Bottom