Trend mpya mjini kwanini Matairi yalitumika yananunua sana

Trend mpya mjini kwanini Matairi yalitumika yananunua sana

Katukatu

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
359
Reaction score
613
Wakuu embu tujuzane matairi yaliyotumika hawa wanaonunua wanaenda kufanyia nini?

Maana hapa nimepewa ofa nisijeachia mali kwa bei rahisi.

download (2).jpeg
 
Wakuu embu tujuzane matairi yaliyotumika hawa wanaonunua wanaenda kufanyia nini?

Maana hapa nimepewa ofa nisijeachia mali kwa bei rahisi.

View attachment 2975202
Ukiwa na tyre zilizotumika kuanzia Njombe, Makambako, Iringa hadi Moro huwez kulala njaa hata siku moja.. Yale yenye hali nzuri yasiyotoa waya au yasiyo na kipara yananunulika sana kutumika kama reserve tyre hasa kwenye malori kwa matairi yaliyopasuka..

Na hizo ni deal sana za madereva kama kwenye logistics mtashindwa kuwa na tyre men makini ambaye atashindwa kudhibiti madereva wasichomoe matairi na kuuza jiandaeni kuyanunua hayo matair kama njugu huko barabarani
 
Wakuu embu tujuzane matairi yaliyotumika hawa wanaonunua wanaenda kufanyia nini?

Maana hapa nimepewa ofa nisijeachia mali kwa bei rahisi.

View attachment 2975202
kutokana na uhaba wa sampuli na kufanya recycle. kuna mashine mpya ambazo zina badilisha soli za matairi na kurudisha upya tairi .
hii kitu kwa watanzania ni teknolojia ambayo watanzania wanataka kuona mafanikio sio changamoto .kazi kwenu.
 
kutokana na uhaba wa sampuli na kufanya recycle. kuna mashine mpya ambazo zina badilisha soli za matairi na kurudisha upya tairi .
hii kitu kwa watanzania ni teknolojia ambayo watanzania wanataka kuona mafanikio sio changamoto .kazi kwenu.
Hiyo technologia ipo, sema ubandikaji unatakiwa uwe Bora Sana na pia kuna limit ya speed sababu endapo haijabandikwa vyema basi itabanduka ukiwa Barabarahuwa ni hatari zaidi
 
Matari yana kazi nyingi, Kuiengea mashimi ya vyoo, wengine wanatoa zile waya za ndani ya tairi, viatu kata mbuga, Mapambo, kuzua momonyoko wa udongo, yale mazima mazima kuna watu wanarudiasha kwenye gari zao.
 
Back
Top Bottom