Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kanda.......flanii....mgombane tu sisi kusini hatuna shida..wakuu napita........Hii haihitaji utabiri inaeleweka wazi kabisa, zamu ya Kanda fulani hii tulieni
NapeNasubiri nione Bulembo atachukua nafasi ya nani
Kwani prof Kabudi ni wa kanda gani mkuuHii haihitaji utabiri inaeleweka wazi kabisa, zamu ya Kanda fulani hii tulieni
Never on earthKwaheri *kyembe! Tuachie katiba ya *rioba!
Usitarajie hata siku moja mteule wa Tz hii kumuhoji boss wake hata kama anakosea waziwazi........ wasomi wetu ndo kabisaaa ondoa tumaini kwao maana watakachokifanya kitakuacha kinywa wazi. Jaribu kufuatilia historia chache za teuzi wa wasomi wetu kisha linganisha na utendaji wao.Kabudi ni mtu wa singida,sijajua jimbo gani,la lissu,mwigulu au nani,uteuzi wake pia utazitikisa siasa za singida.
Natabiri kwamba akipata uwaziri,ni yeye pekee ambae angalau atathubutu kumpinga Mkuu,na hapo ndipo patakuwa patamu.
Kabudi ni genius Mara 100 ya bwana yule
DodomaKwani prof Kabudi ni wa kanda gani mkuu
It's a one man show..
Huwezi jua,yaweza kuwa ni kutufanya sasa kuondoa Joto la gumzo juu ya uhaba wa chakula na tishio la njaa nchini.Zamu yenu kanda ya ziwa.
January hawez kutoka yule.. prof na prof na dr hawa wanaweza.. ukizingatia prof kaingia ni mbubozi wa sheriaMaghembe, Mwijage, January, Dr. Mahiga hawaponi
NAPE MOSSES MNAUYENasubiri nione Bulembo atachukua nafasi ya nani