Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Haitasaidia kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof. Kabudi ni mgogoZamu yenu kanda ya ziwa.
Sawa subiri uone.... January avuki mkuu.... Ujasikia kuwa yeye ndio anashirikiana na baadhi ya wafanyabiashara kumhujumu Rais?. Alianza hilo kwenye sukari, na saizi kwenye mahindi (chakula)January hawez kutoka yule.. prof na prof na dr hawa wanaweza.. ukizingatia prof kaingia ni mbubozi wa sheria
Sababu za mwenye kumteua kuwa mbunge hatuzijui.Wana jamvi
Salaam.
Ninawaza tu huenda Prof Palamagamba Kabudi awakateuliwa kuwa Waziri katika Wizara nyeti.hayo ni mawazo yangu tu
Hawezi kumtoa huyo.Ndalichako awe wakwanza kutumbuliwa!
Wizara imemshinda kabisa
Kwa mfumo wetu wa uongozi, serikali ni RAIS.
Ameshatoa picha ya yeye ni kiongozi wa namna gani.
Hata afanye mabadiliko ya namna gani hatuendi popote.
Style yake ya Uongozi haipendi wala kuruhusu wengine kutenda..
It's a one man show..
That being the case.. Let's watch.
Pascal Mayalla ni ngumu kuwa objective kuhusu Dr Dau kwa sababu pamoja na usomi wake wote him mind is still clouded udini.
Mahiga tena?Maghembe, Mwijage, January, Dr. Mahiga hawaponi
kanda.....ya tz mkuuKwani prof Kabudi ni wa kanda gani mkuu
Udini? ebu acheni bhna.....umewai fanyakazi.national.housing mkuu ..staki nseme.....na wala Sita sema...Pascal Mayalla ni ngumu kuwa objective kuhusu Dr Dau kwa sababu pamoja na usomi wake wote him mind is still clouded udini.
Ohh yes Pascal.mayala.ni mdini. Sielewi how a person with such brilliant mind akachotwa na udini kiasi kile.Udini? ebu acheni bhna.....umewai fanyakazi.national.housing mkuu ..staki nseme.....na wala Sita sema...
eti udini....jamaniiii....mnalalamika Sana....kimbukeni.....
Hata mtukufu mwenyewe ameprove Failure tena big failure, sasa sijui naye abadilishwe?Mabadiliko na yaje baadhi mawaziri wameprove failure katika wizara zao