TREND YA AFRICAN POLITICS. Historia Itajirudia Tanzania?

TREND YA AFRICAN POLITICS. Historia Itajirudia Tanzania?

Hayo maswali yako AJ... Naona limejibiwa vizuri saana hapa chini na Kaizer kwa Urefu kabisa..... Ingawa illo la pili kwa Tanzania yetu hii bado haijafanikiwa..




Kaizer Asante for this post na a deep insight umetoa.... I like it for the simple reason kua umeweza orodhesha baadhi ya Matukio muhimu ambayo yana paint vilivo uongozi toka Uhuru mpaka tulipo sasa hapa Nchini kwetu.... Maelezo yako hapa yananifanya nikumbuke Kitambu cha “Animal Farm” ambacho Bishanga kanitajia hapo juu… Yaani yaweza enda sambamba kabisa na Synopsis ya hio hadithi…. A great book with Great analogies and beautifully put hasa kuhusiana na Watawala Vs Watawaliwa…. Na the way hao watawaliwa huwa wakipata nafasi hio ya Utawala; and how inevitably hugeuka kama Watawala wa Kwanza kabisa ambao waliwatoa kwa nguvu zoote ama kua hata Worse!!

The events you have provided imekua ni vielelezo tosha kabisa ya kuweza gusia pale mimi, Mkandara na Azimio tulipozungumzia swala zima la TRUST…. Hivo basi tukiliangalia saana hili suala kwamba toka Uhuru kumekua na such events…. Sio ajabu kua tuna hali mbaya kama Uongozi umeadapt each and everything kwa the so called Oppressors wa kipindi hicho mpaka kutufanya tugombee Uhuru.

Hii yaweza kua na Mionekano miwili….


  • Pessimicism; Kua we are doomed kwamba what ever way we look at our future it is bleak for Viongozi woote wako hivo… na kama ulivo ongea wee na EMT, Kwamba Viongozi hubweteka and once in power they do not care ni nini wanafaya kwa Wananchi… hivo kuwafanya wajisahau or kutojali kilichowaweka pale.... ama tu kushindwa Uongozi.


  • Optimistic; Kwamba there is hope…. Kwamba the solution ni kwamba Ikitokea tu kwamba Chama kingine kikashinda kikija na sera zake mpya na Uongozi mpya then everything will be OK…. (Thou a day dream); Suala ambalo siamini kabisa... na suala ambalo fellow Tanzanians inabidi walitambue mapema.....

Hio in color if you don’t mind… Naomba maelezo yake in brief for that is news to me….

Dear,,,nadhani huku JF kuna thread au maelezo ya kina ya nini hasa kilitokea, ila kwa wakati huu, nadhani hii kutoka Wikipedia itakufaa wakati tunaangalia vyanzo vingine ila msingi wake mkuu ni kama huu

The formation of the TPDF was a result of the disbandment of the Tanganyika Rifles after a mutiny in 1964. Soldiers of the regiment mutinied on January 1964. The Mutiny began in Colito barracks in Dar es Salaam, then spread to Kalewa barracks in Tabora with Nachingwea, a new barracks, following suit. The mutiny was over pay, promotions, the removal of British officers and Africanisation. Julius Nyerere conceded that the "soldiers had genuine grievances and the demands presented a perfectly reasonable case." However, he could not tolerate a mutiny. The mutiny raised questions about the place of the military in the newly independent Tanganyika — a military under a foreign command and not integrated into the country’s system. After the mutiny, the army was disbanded and fresh recruits were sought within the Tanganyika African National Union (TANU) youth wing as a source.

Chanzo: Tanzania People's Defence Force - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Mkuu, nakuunga mkono kwa sehemu. Lakini nahisi ccm wamechungulia kilicho tokea Ghana wakati wa JR Ndio sababu wana hofu ya kuachia madaraka Kidemokrasia! Nionavyo mimi kilicho tokea Ghana kinapiga hodi hapa TG/TZ, Tuombe uzima muda utasema!
 
Thanks dear.... I see i have some reading and digging up to do. Appreciated.

Bi Asha naona tumepewa homuweki,haya bana ngoja tukabukue,mwenzangu kibatari chako vipi kina mafuta ya kutosha,maana umeme huu wa tia maji tia maji radiator imekauka!
 
=AshaDii;2601052]Hayo maswali yako AJ... Naona limejibiwa vizuri saana hapa chini na Kaizer kwa Urefu kabisa..... *

You are many times ..very right ... But what did you say ..? The people/community of this country has never ever in the history of mankind tasted or*experienced any kind of TRUST from at least their Leaders and v.versa ...?

I stand to be corrected! ... I think the level of TRUST in this county has never ever gone this Low ... That means what? ... We had some substantial QUALITY TRUST in the past ... and am concerned on how it was possible to be demolished to amount*what*we are*experiencing*NOW!*Of course*this will take us*back*to what Kaizer *...*

Which gives us the*ticket*to go *forward*to try to reach to any reasonable solutions ..see below!

*Kaizer Asante for this post na a deep insight umetoa.... I like it for the simple reason kua umeweza orodhesha baadhi ya Matukio muhimu ambayo yana paint vilivo uongozi toka Uhuru mpaka tulipo sasa hapa Nchini kwetu.... Maelezo yako hapa yananifanya nikumbuke Kitambu cha "Animal Farm" ambacho Bishanga kanitajia hapo juu… Yaani yaweza enda sambamba kabisa na Synopsis ya hio hadithi…. A great book with Great analogies and beautifully put hasa kuhusiana na Watawala Vs Watawaliwa…. Na the way hao watawaliwa huwa wakipata nafasi hio ya Utawala; and how inevitably hugeuka kama Watawala wa Kwanza kabisa ambao waliwatoa kwa nguvu zoote ama kua hata Worse!!

The events you have provided imekua ni vielelezo tosha kabisa ya kuweza gusia pale mimi, Mkandara na Azimio tulipozungumzia swala zima la TRUST…. Hivo basi tukiliangalia saana hili suala kwamba toka Uhuru kumekua na such events…. Sio ajabu kua tuna hali mbaya kama Uongozi umeadapt each and everything kwa the so called Oppressors wa kipindi hicho mpaka kutufanya tugombee Uhuru.

Hii yaweza kua na Mionekano miwili….
  • Pessimicism; Kua we are doomed kwamba what ever way we look at our future it is bleak for Viongozi woote wako hivo… na kama ulivo ongea wee na EMT, Kwamba Viongozi hubweteka and once in power they do not care ni nini wanafaya kwa Wananchi… hivo kuwafanya wajisahau or kutojali kilichowaweka pale.... ama tu kushindwa Uongozi.*
ADii bado nauliza ... what is the way out of this Dilemma? *AU hakuna namna mambo yanaweza kutengenezeka na kusonga mbele kwa uhakika wa namna fulani..?*Nimekuwa na mapendekezo haya tangu awali ....

*
quote_icon.png
*By*Azimio Jipya*Tatizo la msingi tumeshaliona! Kama lilivyogusiwa na memebers mabalimbali!!!!*
Kwamba Tunahitaji mabadilko ? Jibu ni ndio! Tanazania kwa sasa ni kweli imefikia mahali nilazima mabadiliko ya uongozi yafanyike ... Bado Jibu ni ndio. Kwa ujumla Sioni mtu anayeona kuwa mabadaliko hayahitajiki.*

DILEMMA*au niseme*KIGUGUMIZI*kilipo, kwenye kutekeleza*MABADILIKO*tumesha kiona kuwa ni Historia inaweza kujirudia.

SASA INAKUWAJE? ... Nafikiri hapa tusaidiane ..!

1. Tubakie hapa tulipo, yaani tusitishe mabadiliko yote? Kwa sababu mabadiliko yatajirudia.?

2. Tufumbe macho na kusema tunakubaliana na kitakachokuja mbele ya safari...Tuendelee na Mabadilko?

3. AU kwa sababu ni lazima kwa wakati wowote kuwa na Uongozi, na ili kufikia Uongozi uliotukuka ni MCHAKATO ... na kwa namna yeyote ..Hautafikiwa Leo au kesho .. Basi Tukabaliane kuwa kila mara kwenye uchaguzi tuwakubali wenye afadhali KWA WAKATI HUO ... tukisubiri ... Miaka mingi ijayo kwa mchakato kutuletea Kile amabacho kinahitajika... yaani the change we need!*


Remember life*didn't*stand still because there is this dilemma*griping*the whole society ... so .. What is the way*forward..?

 
Azimio Jipya,
Mkuu wangu leo nakuja na kitu kipya yaani NENO LA LEO..nalo ni - UFISADI kama UKIMWI!

Nawaomba mlisome hili kwa makini zaid sana na kujiuliza kitu gani haswa kilichoondoa imani za watu na hata trust ikapotea utakuta kwamba kuenea kwa Ufisadi ni moja ya sababu kubwa sana na unaambukiza kama Ukimwi. Utaweza vipi leo hii kumwamini mwenza ktk maswala ya ngono ili hali kuna gonjwa la ukimwi!... Vivyo hivyo nchi zetu toka tumeinga utamaduni wa nje ktk uchumi wetu umekuja na gonjwa hili la Ufisadi ambalo sii rahisi mtu kumwamini hata kiongozi wako kwa sababu hujui kama ni mwathirika. Na kwa bahati mbaya waathirika nchi za dunia ya tatu ni wengi kuliko Ulaya na tunazidi kuathirika na Ufisadi.

Na imefikia mahala watu wote wamekubali matokeo, leo hii pamoja na vifo vingi vya Ukimwi wananchi bado wanaendeleza ngono na wachache wachoweza kufanya ni kinga. Watu wameshindwa hata kuaminiana ktk ndoa na vivyo hivyo ktk utawala maanake hujui nani mwenye Ukimwi na mwenye ukiwi haogopi kuambukiza isipokuwa kutumia nguvu ya fedha kujinadi kama President, Director, General (PEDEGE) na akasifiwa ktk maclub ya pombe na kupendwa sana. Na vivyo hivyo ktk maisha yetu hatuaminiani isipokuwa kwa kinga kila mtu anajikinga yeye ktk mahusiano yoyote kwa sababu trust imeondoka tokana na Ufisadi. Na huwezi kumlaumu wala kulaumiwa bali unapongezwa kwa kutumia kinga!

Viongozi wote wa kiafrika wanachokifanya hakina tofauti na maambukizi ya ukimwi, wanajinadi sana na kuonyesha uwezo wao mkubwa wa kugawa utajiri lakini kilichofichika nyuma ya pazia ni hili gonjwa la Ufisadi na kwa bahati mbaya kila anayekuja hutuambukiza ktk Ufisadi na kutuweka ktk umaskini zaidi...

Mwisho, tujiuliza hivi kweli kati yetu kuna mtu anaweza kuweka trust ktk maswala ya ngono? wachache sana kama sii kwa wenza wetu na inabidi tufanye hivyo kama tunavyojaribu kuwapa kura wale ambao tunafikiria ni wazima. Kwetu sisi utawala bora sii swala la uwezo wa kuleta maendeleo tena bali tunamwamini vipi kiongozi ktk UFISADI na hakika nchi za kiafrika ambazo zinapiga hatua ktk maendeleo ni zile ambazo kiongozi wake amekuwa msafi wa Ufisadi, ameupiga vita na pengine hajaambukizwa lakini kama Mkapa akisha ambukizwa basi atakalolifanya ni kuhakikisha hafi peke yake..
- BILA UFISADI INAWEZEKANA kurudisha Trust!
 
You got to pity an African for his thinking and the way he addresses his problems. Nimejaribu kuifuatilia hii thread up to page three then i got bored. Reasons being an Africans seem to think life is to be understood through history, nothing wrong with that. But then the emphasis on historical wrong especially past leaders who did not perform is too much and i for once believe that is not core of our problems today. You learn through your mistakes and change the way those mistakes occurred in the first place. Therefore if the president had too much power its those power you aim to remove or else anybody given the same opportunity is bound to repeat the same mistakes. All those examples 'Asha Dii' highlighted are a confirmation of the argument.

Nations that gave hope to its people by overhauling the ruling parties or got rid of the so called bad government went to repeat the same problems. For that matter its about time Africans learnt its not who they elect into office or what political parties are promising will ever bring the right changes in the continent.

Until people start talking about a constitution that will work and not just demanding for one only after loosing an election. If we demand for changes for the right reasons that aim to benefit everyone in the society, then it becomes a clear case. I truly believe Africa's bad leaders are a product of poor and a lax governance systems we ourselves allow to go on and on and on and ....... therefore we should not be surprised of the repetitive course we embark on.
 
You got to pity an African for his thinking and the way he addresses his problems. Nimejaribu kuifuatilia hii thread up to page three then i got bored. Reasons being an Africans seem to think life is to be understood through history, nothing wrong with that. But then the emphasis on historical wrong especially past leaders who did not perform is too much and i for once believe that is not core of our problems today. You learn through your mistakes and change the way those mistakes occurred in the first place. Therefore if the president had too much power its those power you aim to remove or else anybody given the same opportunity is bound to repeat the same mistakes. All those examples 'Asha Dii' highlighted are a confirmation of the argument.

Nations that gave hope to its people by overhauling the ruling parties or got rid of the so called bad government went to repeat the same problems. For that matter its about time Africans learnt its not who they elect into office or what political parties are promising will ever bring the right changes in the continent.

Until people start talking about a constitution that will work and not just demanding for one only after loosing an election. If we demand for changes for the right reasons that aim to benefit everyone in the society, then it becomes a clear case. I truly believe Africa's bad leaders are a product of poor and a lax governance systems we ourselves allow to go on and on and on and ....... therefore we should not be surprised of the repetitive course we embark on.
U said all... this is the fact behind all misery!
 
Azimio Jipya,
Mkuu wangu leo nakuja na kitu kipya yaani NENO LA LEO..nalo ni - UFISADI kama UKIMWI!

Nawaomba mlisome hili kwa makini zaid sana na kujiuliza kitu gani haswa kilichoondoa imani za watu na hata trust ikapotea utakuta kwamba kuenea kwa Ufisadi ni moja ya sababu kubwa sana na unaambukiza kama Ukimwi. Utaweza vipi leo hii kumwamini mwenza ktk maswala ya ngono ili hali kuna gonjwa la ukimwi!... Vivyo hivyo nchi zetu toka tumeinga utamaduni wa nje ktk uchumi wetu umekuja na gonjwa hili la Ufisadi ambalo sii rahisi mtu kumwamini hata kiongozi wako kwa sababu hujui kama ni mwathirika. Na kwa bahati mbaya waathirika nchi za dunia ya tatu ni wengi kuliko Ulaya na tunazidi kuathirika na Ufisadi.

Na imefikia mahala watu wote wamekubali matokeo, leo hii pamoja na vifo vingi vya Ukimwi wananchi bado wanaendeleza ngono na wachache wachoweza kufanya ni kinga. Watu wameshindwa hata kuaminiana ktk ndoa na vivyo hivyo ktk utawala maanake hujui nani mwenye Ukimwi na mwenye ukiwi haogopi kuambukiza isipokuwa kutumia nguvu ya fedha kujinadi kama President, Director, General (PEDEGE) na akasifiwa ktk maclub ya pombe na kupendwa sana. Na vivyo hivyo ktk maisha yetu hatuaminiani isipokuwa kwa kinga kila mtu anajikinga yeye ktk mahusiano yoyote kwa sababu trust imeondoka tokana na Ufisadi. Na huwezi kumlaumu wala kulaumiwa bali unapongezwa kwa kutumia kinga!

Viongozi wote wa kiafrika wanachokifanya hakina tofauti na maambukizi ya ukimwi, wanajinadi sana na kuonyesha uwezo wao mkubwa wa kugawa utajiri lakini kilichofichika nyuma ya pazia ni hili gonjwa la Ufisadi na kwa bahati mbaya kila anayekuja hutuambukiza ktk Ufisadi na kutuweka ktk umaskini zaidi...

Mwisho, tujiuliza hivi kweli kati yetu kuna mtu anaweza kuweka trust ktk maswala ya ngono? wachache sana kama sii kwa wenza wetu na inabidi tufanye hivyo kama tunavyojaribu kuwapa kura wale ambao tunafikiria ni wazima. Kwetu sisi utawala bora sii swala la uwezo wa kuleta maendeleo tena bali tunamwamini vipi kiongozi ktk UFISADI na hakika nchi za kiafrika ambazo zinapiga hatua ktk maendeleo ni zile ambazo kiongozi wake amekuwa msafi wa Ufisadi, ameupiga vita na pengine hajaambukizwa lakini kama Mkapa akisha ambukizwa basi atakalolifanya ni kuhakikisha hafi peke yake..
- BILA UFISADI INAWEZEKANA kurudisha Trust!

Mkuu Mkandara*

Nafikiri Mimi nimekuelewa sana.

Na nikuelewa kwani Ukiangalia kuna mahali nimejibu AshaDii kuwa Kuna wakati taifa hili lilikuwa na afadhali. Kuaminina kati ya Viongozi na WanaoOngozwa kulikuwepo hata kwa kiwangofulani, lakini sasa hali ni mbaya zaidi.

Umekuja na analogy *ya Ugonjwa amabo kwa kweli uko very tricky , vigumu sana kumuamini au kuaminiana...wakati mwingine ni kukubalina kiutu uzima tu, kwani sasa tufanyeje.. Kuwa na Trust ya 100% si rahisi. Kwa kuwa jamii ni moja mtu yule yule aliyepoteza TRUST ya kimahusiano na mwenzie hawezi kusema atairudisha inapokuja Swala la Kisiasa na haswa UFISADI.

Unasema Jeuri ya kuundoa UFISADI ndiyo inayoweza kurudisha TRUST na kubaliana sana tu!!

Swali Kipi kinaaza kuondoa chenzake?
 
You got to pity an African for his thinking and the way he addresses his problems. Nimejaribu kuifuatilia hii thread up to page three then i got bored. Reasons being an Africans seem to think life is to be understood through history, nothing wrong with that. But then the emphasis on historical wrong especially past leaders who did not perform is too much and i for once believe that is not core of our problems today. You learn through your mistakes and change the way those mistakes occurred in the first place. Therefore if the president had too much power its those power you aim to remove or else anybody given the same opportunity is bound to repeat the same mistakes. All those examples 'Asha Dii' highlighted are a confirmation of the argument.

Nations that gave hope to its people by overhauling the ruling parties or got rid of the so called bad government went to repeat the same problems. For that matter its about time Africans learnt its not who they elect into office or what political parties are promising will ever bring the right changes in the continent.

Until people start talking about a constitution that will work and not just demanding for one only after loosing an election. If we demand for changes for the right reasons that aim to benefit everyone in the society, then it becomes a clear case. I truly believe Africa's bad leaders are a product of poor and a lax governance systems we ourselves allow to go on and on and on and ....... therefore we should not be surprised of the repetitive course we embark on.

Mkuu kwenye hao 'people' si na wewe umo? tafakari ...chukua hatua...
 
Mkuu kwenye hao 'people' si na wewe umo? tafakari ...chukua hatua...

Mkuu Bishanga,

Nafikiri umeona jambo kubwa na la muhimu, kwa haliiyopo sasa hivi.. ni nini hasa kifanyike na nani afanye na kwa msukumo upi?
 
Aizimio Jipya,
Kusema kweli swali hili gumu sana ukilifikiria juu juu kwa sababu tunashindana na hisia za binadamu. Lakini nadhani Eric Cartman katuonyesha pa kuanzia kwa sababu nimefikiria sana kwa nini Ukimwi umepigwa vita nchi za Ulaya kiasi kwamba leo hii ni kama vile hakuna gonjwa hili ingawa lipo. Pia tufikirie wakati wa Nyerere tuliweza vipi kupambana na kipindupindu (ingawa sii gonjwa la matamanio) hadi tukaweza kufanikiwa kukiondoa kabisa ingawa pia kimerudi tena. Hivyo, mapambano huanza toka ktk Uongozi bora na maana ya uongozi bora ni pamoja na kuwa na ari ya kufanya maamuzi yenye kulinda, kukinga kupambana na adha kama hizi.

Hivyo kinachotangulia ni dhidi ya Ufisadi na siii mafisadi kwa kuweka mazingira ktk hali ya vita against gonjwa hili. Hao walofanikiwa, wakati wote serikali zao ziliyaweka mazingira ktk hali kivita, zimekuwa mstari wa mbele kupambana na maradhi haya kwa nguvu zote, zimechukua muda na fedha nyingi kupambana na maradhi haya toka vyanzo,virusi, ktk kuboresha mazingira na kuhakikisha huduma bora zinapatikana ktk kuwaelimisha wananchi, kinga na tiba kwa waathirika zinapatikana karibu na bure kama sii bure. Serikali zimetangaza vita na kuyaweka mazingira ktk hali ya alert! Pendamic na mapambano yakachukua nafasi ya juu kabisa, kama vile serikali ikitangaza vita basi sisi wananchi hatuna sababu ya kubakia nyuma bali kujiandaa na kufuata mazingira hayo. Kwa hiyo uongozi bora ndio tuloukosa, na hatutaweza fanikiwa ktk vita hii kama tutafikiria kwamba hili ni jukumu na swala la wananchi raia wenyewe kwani Somalia ilivyoharibika leo, wale wananchi raia wake hawakuwa na hawatakuwa na uwezo wa kubadilisha mazingira yaliyopo bila kupata viongozi bora na hakuna msomi yeyote anaweza kunambia makosa yapo kwa raia Wasomali..

Sasa maadam serikali yetu haiwezi na imeshindwa kabisa kupambana na Ufisadi kama tulivyoshindwa kupambana na Malaria basi jibu lipo machoni mwetu, hizi sababu nyingine zote ni kwamba tunatafuta mchawi tu, tusitegemee kabisa kwamba wananchi wanaweza vita hivi dhidi ya magonjwa haya pamoja na kwamba wapo viongozi na wanasiasa wanafikiria kwamba hili ni jukumu la wananchi. TRUST haipo ama inaweza kuwepo tu kama tutaweza kuhakikishiana salama, na kama ilivyo HESHIMA, trust is not demanded but earned! hivyo jukumu la kuirudisha trust ni letu sote na kila mmoja wetu ataaminiwa kutokana na yeye mwenyewe ku value trust. Kama mtu huwezi kujiamini wewe mwenyewe kwa sababu huthamini trust, utaweza vipi kuaminiwa!
- MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO ni pamoja na kutokuwa na trust, kutothamini trust isipokuwa royality inayotokana na fikra za kitumwa wengi wetu ndio huihusisha na trust..
 

Habari Wana JF….

Kwa woote ambao ni wadau wa Siasa from whatever side wapo…. Ni wazi na dhahiri kua the Political party na Uongozi wa sasa wa CCM’s days are numbered… it may not be very soon; But soon enough. Kila Kiongozi wa vyama mbali mbali (CCM na vingine vyoote), Wadau wa Siasa na Wananchi wanatambua kua Uongozi wa juu hadi wasaidizi wa ngazi za juu na chini wa chama tawala wanagubikwa na in most cases kuhusishwa moja kwa moja na hizo kashfa za Ufisadi… Kashfa ambazo in one way or another zaonekana wazi na evident kua zina chembe na ingredients za ukweli ndani yake; ikiwa Manifasted na mlipuko ya tuhuma na kashfa nzito kila kukicha!! Mpaka sasa ufisadi ni wimbo wa taifa letu hili changa, maskini na lililochakachuliwa….

Maelezo ya hapo juu hakuna jipya hapo…. Ila kubwa lipo katika trend ya hizi Siasa zetu za nchi zetu hizi za kimasikini (hasa Sub-saharan nations) na utekelezaji wake katika utendaji. Nime observe jinsi nchi nyingi hasa majirani wetu ambavo hua na Viongozi mafisadi ambao eventually huweza watoa either by force or democracy na the way hu-handle the so called Mafisadi. Huo Uongozi mpya wa a new president na Chama huja na nguvu za soda za kuwashtaki Ex-viongozi alafu hatimae hayo mashtaka huishia hewani bila sababu zozote za msingi wala Maelekezo ya kutosheleza…. Hizi inchi ni fundisho na somo tosha saana kwa Siasa zetu hapa nchini hasa in the lines za the way Viongozi wenye tuhuma nzito hua handled.

Mifano Halisi:-



A]. Via Lethal Force.

In Democratic Republic of Congo (then Zaire) - Tunaona in 1997 kua the late Mobutu Sese Seko anaikimbia nchi yake alotawala for more than three decades baada kuzidiwa nguvu na Upinzani ulokua chini ya the late Kabila Sr. hivo kupinduliwa na kutawaliwa na the new reign. It is/was common knowledge kua Mobutu ni moja wa Viongozi duniani ambao walilijimbikizia mali all over the world mpaka it is believed mpaka leo kua zingine zilipotea simply because hamna ambae angeweza account Mali zooote. Mobutu as much as alitolewa Uraisi, mali hizo hazikuweza rudishwa to date. Na as much as aliweza toroka na kuishi Morroco ambako alifia, IMO Uongozi mpya haukuweka much effort kumkamata ama ku revive the wealth Mobutu ali accumulate in power ambayo ilikua ni mali na haki ya wananchi…

B]. By Democracy (IMO ya kudimba dimba)

Zambia - tunaona the way a well rooted party ya UNIP under the leadership ya Kenneth Kaunda ilishindwa na kupinduliwa in 1991 na Chama changa na pinzani cha MMD under Uraisi wa the Late Chiluba. Chiluba dragged to court Kaunda under the allegations za Ufisadi na case baada ya mda mrefu ikaishia hewani… Ironically enough Chiluba alipomaliza Uongozi wake akawa na kashfa nzito zaidi ya zile za Kaunda na hivo nae kubulutwa hadi kortini kwa tuhuma hizo hizo za ufisadi na the late Mwanawassa… However kesi yake nayo iliishia hivo hivo hewani. Mpaka hapa ambapo sasa wamempata Raisi mpya Mheshimiwa Sata (ingawa naamini kua Banda ambae ndo mstaafu - katika ufisadi nafikiri kidogo kapona hizo kashfa). IMO Zambia ni moja ya nchi ambayo kubadilika kwake kwa Uongozi wa Chama tawala na uongozi haujaonesha mabadiliko yoyote ya kuonesha kua Chama kipya kimekuja na kuwa gusa wanachi moja kwa moja, yaani MMD walikua hawana jipya zaidi ya UNIP, labda sasa tu-observe hawa PF..

Kenya - tunaona jinsi another well rooted Chama – KANU chini ya Moi kinavo shindwa na kupinduliwa kwa kishindo na Chama kipya na kichanga cha PNU under Kibaki (baada ya kuungana vyama vyote – Mfano ambao vyama pinzani wa Tanzania inabidi waige walau kuweza kwa uhakikika kabisa kuwang’oa CCM uchaguzi ujao); Wakenya wameongea wee kuhusu Ufisadi na allegations mbali mbali wa Moi na wasaidizi wake kama akins Nicholas Biwott, India Kald, Kamlesh Pattin na kama sikosei hata George Saittoti yupo katika hio list thou the list continues… But nothing has been done… Or whatever efforts the results in vain… na hapo nahisi imetoka! IMO walau Kenya ni nchi moja wapo ambayo ina mfano mzuri wa change ya Chama tawala na Uongozi ambavo imekua beneficial katika sectors mbali mbali (ingawa bado hali ni mbaya but afadhali) na pia kuongeza power of vote kwa mwanachi wa kawaida katika decision making related to their Nation na mambo husika e.g swala la Kenyatta in relation na mahakama ya ICC.


Areas of Concetration and Interest…




  • Chama pinzani kinapofanikiwa kupindua chama tawala… Lets say CDM ifanikiwe kuwapindua CCM; Naamini kua moja ya malengo when in Presidential office ni kuwawajibisha Viongozi woote walofisadi/wanafisadi in one way or another. Je inatosha wao Viongozi walofisadi/wanafisadi kutolewa tu Uongozi bila adhabu (tena productive adhabu) au kuna umuhimu wa kwenda beyond??


  • Ikumbukwe kua “usongo” na “hasira” za vyama pinzani na wanachi dhidi ya Viongozi wa sasa (i.e. CCM) na wale ambao ni wastaafu na wanausishwa na UFISADI kama vile Mkapa, Rostam, Lowassa na zaga zaga nyingine zoote za pembeni na chini ni sawa kabisa na zile ambazo:-
- The late Kabila Snr alikua nazo dhidi ya the late Mobutu & Co.
- PNU ilikua nazo dhidi KANU via Moi & Co.

- MMD walikua nazo dhidi ya UNIP via Kaunda & Co. and then later on Chiluba.


Bahati MBAYA or NZURI depending on one’s side of interest hakuna la maana ilifanywa zaidi tu ya kutolewa Uongozi ama kupelekwa kortini kwa nguvu za soda tena ilokua diluted. Hypothetically thinking… Wapinzani (hasa CDM) ni jinsi gani wamejipanga kupambana na MAFISADI baada ya kuvuliwa Uongozi – Kwamba walau hayo mabilioni in Cash and Assets zirejeshwe kwa wananchi?? Ili walau kuto fanya Mistakes ambazo hufanywa mara nyingi na nchi zingine kama tulivo observe baadhi hapo juu??


  • Ikumbukwe pia kua Ufisadi wa Uongozi kama vile Raisi in most cases hayaishii tu kwake bali hutembea hadi kwa familia… Hio yategemea pia na First lady na watoto wa raisi nafasi na role yao pia katika huo Ufisadi na jinsi gani wahusika waweza abuse power just because ya ukaribu na raisi (i.e. Husband or father ) kama ilivopia rumored saana kuhusu baadhi ya wake za Maraisi wastaafu hapa nchini kwetu….
Tukiangalia inchi nyingine namely Egypt; Mfano mzuri ni Bi Suzanne Mubarak ambae baada ya yeye na familia yake yoote kua chini ya ulinzi mkali na interrogations aliweza rudisha millions in dollars ya Mali in Cash and Assets…. Ambazo alipata as a result of the abuse of power - kua she is the First lady (kwa Hosni Mubarak), hivo kuchukulia kama inchi ilikua yao na all its mali for their taking…. IMO Eygpt is one of the best examples ya the way Ufisadi ulikua/umekua handled… Pesa kwanza irudishwe kwa wanachi mashtaka badae…. Woote toka Raisi, mke the sons pamoja na kundi loote la uongozi na wasaidizi wamewajibishwa na pesa kwa kiasi kikubwa kurudishwa. Really Impressive!! Na wafaa kuigwa…


  • Narudi kwenye heading ya hii topic (thou at this stage still Hypothetical) Tokana na Trend ya Siasa zetu za Africa… The way upepo unaenda, na the way Viongozi pinzani muonekano wao; ikitokea wakafanikiwa kuwavua CCM Utawala (which is just a matter of time) Is history going to repeat itself in Tanzania???
In relation to the Topic I quote Mwalimu;

“We spoke and acted as if, given the opportunity for self-government, we would quickly create utopias. Instead injustice, even tyranny, is rampant.”



Pamoja Saana
AshaDii.


Mkuu angalia siasa zilivyo kama mapenzi....mtafanyiana yasiyofaa na kuvumilika ila kitu kinachoitwa muda ni dawa nzuri sana ya kusahauliza yaliyopita....yes....alihusika na ufisadi, hata kama sio directly but alihusika na soon watu tumeshasahau....tutamchagua kama watamteua!
 
Back
Top Bottom