wakuu
Nadhani sasa imefika pabaya au ni ushamba wangu wakuu? yaani saruwali za wanaume wanne kati ya kumi lazima ziwe zimebana miguu na zaidi hawavai soksi miguuni ni ushamba wangu au kisarawili kinabana mwili wote then chini kinaning'ingia na soksi havai sielewi kwa kweli ndio trend ya fashion?
Nadhani sasa imefika pabaya au ni ushamba wangu wakuu? yaani saruwali za wanaume wanne kati ya kumi lazima ziwe zimebana miguu na zaidi hawavai soksi miguuni ni ushamba wangu au kisarawili kinabana mwili wote then chini kinaning'ingia na soksi havai sielewi kwa kweli ndio trend ya fashion?