Trend ya skin jeans kwa wanaume imezidi kwa sasa

Trend ya skin jeans kwa wanaume imezidi kwa sasa

Miili yao inaruhusu,wanapiga mazoezi na wana six packs,mkoani unakuta mtu yupo irregular
Ndio maana kila kukicha wanaume wa Dar wanapoteza nguvu za kiume kijingajinga kutokana na kuvaa nguo zinazobana zaidi misuli hadi inasababisha baadhi ya misuli kufa kabisa au kusinyaa,wanatumia vyakula vyenye kuzorotesha miili yao bila kujijua kisa usasa,wanapaka losheni zenye mchango mkubwa sana wa kuharibu mifumo yao ya ngozi hadi inapelekea kuharibu utendaji kazi mzuri wa miili yao kama wanaume,wengine wanajipulizia spray za ajabu.Jamani msikurupuke kila kitu kuiga tu,sisi wa mikoani kuvaa hivyo ni utovu wa nidhamu
 
Back
Top Bottom