Hayo ndo mambo ya fashooon kaka..ila me mwanaume anaye vaa hivyo sitaki
suruali iwe saizi yake isipwae wala isi bane mapajaWe unamtaka yupi mkuu anaevaa pensi au?
Hahaa kuna siku atoto alitoa ile comment kuhusu watu wanene na kuvaa vimodo, I reserve it lol
Guatu gukubwaaaa akhuu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Wanaume wa darwakuu
Nadhani sasa imefika pabaya au ni ushamba wangu wakuu? yaani saruwali za wanaume wanne kati ya kumi lazima ziwe zimebana miguu na zaidi hawavai soksi miguuni ni ushamba wangu au kisarawili kinabana mwili wote then chini kinaning'ingia na soksi havai sielewi kwa kweli ndio trend ya fashion?
Guatu gukubwaaaa akhuu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahaha ni mwehu yule etiHahahah umenikumbusha, ile ya bi mkubwa wako kali...lol!
Sina hamu na atoto
Mmmh hiyo back side yake tenaaa, em funguka lolππ
Weee, akitoa hiyo jacket ndefu ukaona the back side in skiny jeans hutagundua guatu gukubwa.
That's one thing with Common.
ππ
Weee, akitoa hiyo jacket ndefu ukaona the back side in skiny jeans hutagundua guatu gukubwa.
That's one thing with Common.
Mmmh hiyo back side yake tenaaa, em funguka lol