TRENDING: Mkataba wa IGA tayari umeshalazimishwa uendelee, je u wapi Mkataba wa HGA?

TRENDING: Mkataba wa IGA tayari umeshalazimishwa uendelee, je u wapi Mkataba wa HGA?

Mkuu!

Mhimili uliojichimbia upo macho!

Wala usiogope mkuu!!


Hiyo November desemba,hadi 2025 si MPAKA ifike!!?

WAKATI utatupa majibu!hii Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,SIO mali Binafsi ya mtu afanye atakavyo!!

TUENDELEE kusubiri Mkuu!!
Novemba mosi kazi inaanza wewe endelea kuishi na majonzi moyoni.
 
Tumewekewa ndimu na kachumbari njiani ili tusiendelee kuhoji mkataba mbovu baina ya JMT na Dubai Port World.

Pamoja na kwamba serikali kupitia mamlaka na mihimili yake wamefunga ndoa ya kufilisi na kujimilikisha binafsi rasilimali kuu za uchumi wetu, lakini mhimili moja (Mahakama) umesema wao wamefungwa mikono na wanakiri Dubai PW siyo nchi hivyo nao badala ya kutafsiri kuwa mkataba ule unakksa merits za IGA wao wakatoa baraka uendelee....

Serikali imejipanga kuanza utekelezaji wa Mkataba kuanzia Novemba mwaka huu. Hivyo tutegememee mapicha picha ya kutosha pale bandarini kutuaminisha kuwa kila jambo litafanyika kwa faida yetu bali ukweli ni kwamba Mwekezaji siyo manamba, hivyo hawezi kutunufaisha sisi kwanza kabla yeye hajanufaika.


Pia kwenye mkataba huu mwovu imeelezea wazi kabisa kuna shughuli ambazo JMT inapaswa kufanya kama hatua za awali kuweka mazingira wezeshi ndo maanantunaona kuna kandarasi zimetangazwa, na viwanda vya uongo vinaendelea kuzalisha maneno kuwa hakuna bandari iliyouzwa.

Ingawa kwenye mkataba, hakuna mahala ambapo mwekezaji anawabijika na gharama za uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanyika wa kusimika mitambo kulikoanzwa na awamu ya tano. Waliosaini mkataba na walioupitisha kwa kishindo hawana uchungu na fedha za mkopo ambazo zitageuka mwiba kwetu kwa kulipa deni kubwa bila hata majaribio ya uwekezaji huo hayajafanyika.

Kupitja hizi trends, inawezekana kabisa hata huu mkwamo unaoendelea kwenye umeme na mafuta ni staged ili kutuondoa kwenye reli ya kuhoji ikiwezekana kuwawajibisha wahusika wa mtego huu muovu wa kugenisha bandari zetu. Kuna teuzi za bandika bandua zimefanyika ambapo unaona kabisa lengo ni kutengeneza headlines. Na kupitia hizo headlines tunawekwa bize kujadili trends badala ya msingi wa ule mkataba wa hovyo.

Rai yangu wa serikali. Kama inajiona ni kikundi cha indomitables basi wafanye kila wanalotaka kulifanya lakini zama hizi hazitakuwa za kale pale ambapo Watanzania wenyewe watajiona siyo dhalili tena kupitia sanduku la Kura ama njia zingine halali kuwawajibisha wote wanaojipa umungu mtu ktk Taifa letu.

Mengi nilishayasema na yametokea kwa haraka mno. Lakini yanakuja ambayo yalishaanza kuja. Majira na muda ni nyenzo tu kama ilivyo kwa mtoto anayekua.
Chuki inakua
Hofu inaelekea kudumaa
Uthubutu umeshapandwa na utakua

Mkataba wa bandari ni mwiba na utaendelea kulichoma taifa
Nani alikudanganya biashara huwa inanufaisha upande mmoja tu?

"Kula uliwe" - Kikwete.
 
Ankoli

"Hii imekamilika ,aga kabisa!!nami ndivyo ninafanya naaga"!

"Mbona kitabu BADO, FDR nae,mbona hajastaafishwa!!?

"Wewe JAL 1 is done 2 and 3 are next!!!taarifa zinatoka juu KUJA chini!

just a few days

"thestate"

hawaniangushi hao jamaa!


Naendelea kusubiri!!
Wana sucrifase their mistakes Tu, Ila support from external ni lazima
 
Nani alikudanganya biashara huwa inanufaisha upande mmoja tu?

"Kula uliwe" - Kikwete.
Makombo anayoyafaidi fukara hutoka mezani kwa tajiri.

Nimesema kuwa tusitegemee kufaidika zaisi ya mwekezaji. Anajitafutia yeye kwanza kisha ziada ndo anakugawia kiduchu

Rais na vyombo vyote vya serikali wanajinadi kuwa TUMESHINDWA KUSIMAMIA BANDARI KWA UFANISI..... yaani watanzania milion 61+ wote tufananishwe na kikundi cha watu wachache waliojimilikisha misingi ya Taifa letu? Hapana aisee
 
26 September 2023
Mombasa, Kenya
UKATA WA FEDHA WALAZIMISHA KPA KUINGIA MKATABA TATA, BANDARI ZA MOMBASA NA LAMU

Mkataba wa mwekezaji kuendesha bandari ya,Mombasa na bandari Lamu zote za nchini Kenya kuingiza mapato madogo. Kwa sasa mamlaka ya bandari Kenya KPA inaingiza kiasi cha US$400 milioni kwa mwaka.

Lakini inaonesha mkataba wa uendeshaji utaingiza US$300 millions kufuatana na kipengele mwekezaji aliihakikishia kuweza kuilipa KPA kwa mwaka na pia wawekezaji wameweka kipengele kuwa watapakua makasha 20 kwa saa wakati KPA inapakua makasha 24 hadi 26 kwa saa....

Mwekezaji amepewa mkataba wa kuendesha bandari hizo za Lamu na Mombasa kwa muda wa miaka 25.

Benjamin Tayari mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka za Bandari Kenya KPA ameongeza kuwa serikali kukosa Kshs.30 bilioni za kuwekeza gati namba 4 bandari ya Mombasa ni sababu ya kutafuta mwekezaji ili kuhakikisha gati namba 4 inaendesha kwa uwezo wake wote unaowezekana (full capacity), kwani kwa sasa gati hiyo inaendeshwa chini ya kiwango kutokana na ukata wa kununua vifaa vya kisasa n.k ...

 
Mkuu!

Mhimili uliojichimbia upo macho!

Wala usiogope mkuu!!


Hiyo November desemba,hadi 2025 si MPAKA ifike!!?

WAKATI utatupa majibu!hii Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,SIO mali Binafsi ya mtu afanye atakavyo!!

TUENDELEE kusubiri Mkuu!!
Nimecheka mkuu kwa sababu ukiwasikiliza viongozi wetu, ni kama Mungu kaondoa kauli vinywani mwao.

Mtu anakwambia kuwa Hangaya ndo pekee aliyepita vijijini.....

Nasubiri
 
Tumewekewa ndimu na kachumbari njiani ili tusiendelee kuhoji mkataba mbovu baina ya JMT na Dubai Port World.

Pamoja na kwamba serikali kupitia mamlaka na mihimili yake wamefunga ndoa ya kufilisi na kujimilikisha binafsi rasilimali kuu za uchumi wetu, lakini mhimili moja (Mahakama) umesema wao wamefungwa mikono na wanakiri Dubai PW siyo nchi hivyo nao badala ya kutafsiri kuwa mkataba ule unakksa merits za IGA wao wakatoa baraka uendelee....

Serikali imejipanga kuanza utekelezaji wa Mkataba kuanzia Novemba mwaka huu. Hivyo tutegememee mapicha picha ya kutosha pale bandarini kutuaminisha kuwa kila jambo litafanyika kwa faida yetu bali ukweli ni kwamba Mwekezaji siyo manamba, hivyo hawezi kutunufaisha sisi kwanza kabla yeye hajanufaika.

Pia kwenye mkataba huu mwovu imeelezea wazi kabisa kuna shughuli ambazo JMT inapaswa kufanya kama hatua za awali kuweka mazingira wezeshi ndo maanantunaona kuna kandarasi zimetangazwa, na viwanda vya uongo vinaendelea kuzalisha maneno kuwa hakuna bandari iliyouzwa.

Ingawa kwenye mkataba, hakuna mahala ambapo mwekezaji anawabijika na gharama za uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanyika wa kusimika mitambo kulikoanzwa na awamu ya tano. Waliosaini mkataba na walioupitisha kwa kishindo hawana uchungu na fedha za mkopo ambazo zitageuka mwiba kwetu kwa kulipa deni kubwa bila hata majaribio ya uwekezaji huo hayajafanyika.

Kupitja hizi trends, inawezekana kabisa hata huu mkwamo unaoendelea kwenye umeme na mafuta ni staged ili kutuondoa kwenye reli ya kuhoji ikiwezekana kuwawajibisha wahusika wa mtego huu muovu wa kugenisha bandari zetu. Kuna teuzi za bandika bandua zimefanyika ambapo unaona kabisa lengo ni kutengeneza headlines. Na kupitia hizo headlines tunawekwa bize kujadili trends badala ya msingi wa ule mkataba wa hovyo.

Rai yangu wa serikali. Kama inajiona ni kikundi cha indomitables basi wafanye kila wanalotaka kulifanya lakini zama hizi hazitakuwa za kale pale ambapo Watanzania wenyewe watajiona siyo dhalili tena kupitia sanduku la Kura ama njia zingine halali kuwawajibisha wote wanaojipa umungu mtu ktk Taifa letu.

Mengi nilishayasema na yametokea kwa haraka mno. Lakini yanakuja ambayo yalishaanza kuja. Majira na muda ni nyenzo tu kama ilivyo kwa mtoto anayekua.
Chuki inakua
Hofu inaelekea kudumaa
Uthubutu umeshapandwa na utakua

Mkataba wa bandari ni mwiba na utaendelea kulichoma taifa
Huu wa kuhamisha mali asili ulishwahi kuuona au kuuliza hata siku moja?:

2cb74ffc5e9caa73db4b18a9289cad57


By Janeth Mesomapya
President Samia Suluhu Hassan on June 11, 2022 witnessed the signing of the Preliminary Agreement of the Host Government Agreement (HGA) of the Liquefied Natural Gas (LNG) project.
The agreement was signed between the Government and Shell and Equinor companies, who are the main partners in the implementation of the project.
 
Huu wa kuhamisha mali asili ulishwahi kuuona au kuuliza hata siku moja?:

2cb74ffc5e9caa73db4b18a9289cad57


By Janeth Mesomapya
President Samia Suluhu Hassan on June 11, 2022 witnessed the signing of the Preliminary Agreement of the Host Government Agreement (HGA) of the Liquefied Natural Gas (LNG) project.
The agreement was signed between the Government and Shell and Equinor companies, who are the main partners in the implementation of the project.
Kwa nini DPW wasisainishwe HGA na wakasainishwa IGA.

Je ni state owned company?
Dubai ni State?
 
Makombo anayoyafaidi fukara hutoka mezani kwa tajiri.

Nimesema kuwa tusitegemee kufaidika zaisi ya mwekezaji. Anajitafutia yeye kwanza kisha ziada ndo anakugawia kiduchu

Rais na vyombo vyote vya serikali wanajinadi kuwa TUMESHINDWA KUSIMAMIA BANDARI KWA UFANISI..... yaani watanzania milion 61+ wote tufananishwe na kikundi cha watu wachache waliojimilikisha misingi ya Taifa letu? Hapana aisee
Lazima Rais afanyie kazi lawama za uzembe zinazokuja kutoka kwa watumiaji wa bandari hiyo, ni wa humu ndani na wa nje ya nchi.

Pia DP World wanakwenda kuiongeza thamani bandari yetu, kwa mtu mwenye kuujua uchumi wa bandari kimataifa hawezi kuiachia hiyo fursa ya uwekezaji.

Wanakwenda kuendesha magati manne tu, namba tatu mpaka namba saba na sio zaidi ya hapo, hivyo bado kuna mwendeshaji mwingine anayetafutwa kwa ajili ya magati namba nane mpaka kumi na moja.
 
Lazima Rais afanyie kazi lawama za uzembe zinazokuja kutoka kwa watumiaji wa bandari hiyo, ni wa humu ndani na wa nje ya nchi.

Pia DP World wanakwenda kuiongeza thamani bandari yetu, kwa mtu mwenye kuujua uchumi wa bandari kimataifa hawezi kuiachia hiyo fursa ya uwekezaji.

Wanakwenda kuendesha magati manne tu, namba tatu mpaka namba saba na sio zaidi ya hapo, hivyo bado kuna mwendeshaji mwingine anayetafutwa kwa ajili ya magati namba nane mpaka kumi na moja.
Rais leo amesimama jukwaani kutuambia kama Taifa kuwa mgao wa umeme umetokana na mitambo kutofanyiwa service muda mrefu. Makamba miaka mitatu nyuma alisema hayo hayo wakakata umeme wakakinai na sasa tunaambiwa yale yale.

Je tuaminije kauli zake kuhusu mkataba wa Bandari?

Tumepigwa aisee
 
Acha waje Kuna mtu anenidokeza wakianza kazi hao Dar itakuwa kama Dubai Yani nchi nyingi Duniani bidhaa watakuja kuchukua hapa

Kuhusu mapato ya nchi ndio usisema jamaa watakuwa wanatoa mpunga wa kutosha Kwa mwaka
shule ulienda kusomea ujinga?...huna akili.
 
Back
Top Bottom