TRENDING: Mkataba wa IGA tayari umeshalazimishwa uendelee, je u wapi Mkataba wa HGA?

TRENDING: Mkataba wa IGA tayari umeshalazimishwa uendelee, je u wapi Mkataba wa HGA?

Unakerehesha lakini haujaweza kuharibu mjadala
Niuharibu wa nini na nimekuuliza juu huko swali limekuwa mwiba kwako.

Uliiona HGA ya Gas? Iliyosainiwa mwaka jana? Au uliwahi kuiulizia hata siku moja?
 
Niuharibu wa nini na nimekuuliza juu huko swali limekuwa mwiba kwako.

Uliiona HGA ya Gas? Iliyosainiwa mwaka jana? Au uliwahi kuiulizia hata siku moja?
Jibu ni kuwa sikuiona.
Sikuiona kwa sababu sipo inner circle. Hata huu wa IGA ya Dubai PW alisaini mwaka kabla tukaona picha za makubaliano ta mikataba zaidi ya 20 ambapo hakukuwa hata na mmoja uliovuja bali sasa.....

Mkataba wa IGA nimeuona kwa sababu yupo mzalebdo aliuleta kwa umma.
 
Rais leo amesimama jukwaani kutuambia kama Taifa kuwa mgao wa umeme umetokana na mitambo kutofanyiwa service muda mrefu. Makamba miaka mitatu nyuma alisema hayo hayo wakakata umeme wakakinai na sasa tunaambiwa yale yale.

Je tuaminije kauli zake kuhusu mkataba wa Bandari?

Tumepigwa aisee
Kuamini au kutoamini ni maamuzi yetu binafsi hakuna wa kutupangia. Suala la bandari ni la kiuchumi zaidi, ni la kutumia vizuri fursa ya kijiografia ambayo Mungu ametujalia.
 
Nilitegemea kujenga hoja na tujadili kama Watanzania yaani wanaounga mkono upuuzi na wasiokubaliana nao.

Lakini sikutegemea hoja yangu ilete panic kwenye korido zenu huko machawa waandamizi.

Kunywa maji, tulia, kisha njoo tujadili hoja bila ngumi, laana wala matusi
TPA inahitaji mwendeshaji atakayeleta changamoto za kutopotea mizigo ya wateja hovyo, atakayeleta changamoto za upakuaji na upakiaji wa haraka wa mizigo ya wateja.

Inahitaji mwendeshaji atakayeleta ufanisi kwa maana pana zaidi kuliko namna tunavyofanya kazi kimazoea miaka na miaka huku bandari ikiwa ni pango la mafisadi wa kila aina.

Bahati nzuri kwetu ni kwamba DP World ni mmiliki wa mzigo mwingi sana uliopo kule Rwanda na DRC, atautoa vipi kutoka kule na ukafika huko ughaibuni?. Ndio hapo pakatokea maslahi ya pande mbili kwa maana ya Tanzania kutaka mabadiliko ya shughuli za bandari ili tija ionekane na mwarabu kutaka urahisi wa mzigo wake kufika huko uendapo.

Huyo mteja wa mzigo uliopo nchi za upande wa Rwanda na DRC pia ni mfanyabiashara mkubwa wa sekta ya bandari, hiyo ni bahati kwake na bahati kwetu kama nchi.
 
TPA inahitaji mwendeshaji atakayeleta changamoto za kutopotea mizigo ya wateja hovyo, atakayeleta changamoto za upakuaji na upakiaji wa haraka wa mizigo ya wateja.

Inahitaji mwendeshaji atakayeleta ufanisi kwa maana pana zaidi kuliko namna tunavyofanya kazi kimazoea miaka na miaka huku bandari ikiwa ni pango la mafisadi wa kila aina.

Bahati nzuri kwetu ni kwamba DP World ni mmiliki wa mzigo mwingi sana uliopo kule Rwanda na DRC, atautoa vipi kutoka kule na ukafika huko ughaibuni?. Ndio hapo pakatokea maslahi ya pande mbili kwa maana ya Tanzania kutaka mabadiliko ya shughuli za bandari ili tija ionekane na mwarabu kutaka urahisi wa mzigo wake kufika huko uendapo.

Huyo mteja wa mzigo uliopo nchi za upande wa Rwanda na DRC pia ni mfanyabiashara mkubwa wa sekta ya bandari, hiyo ni bahati kwake na bahati kwetu kama nchi.
Ripoti za CAG zifanyiwe kazi period.

Pia CCM iwekwe pembeni maana imeshafeli pakubwa
 
Kuamini au kutoamini ni maamuzi yetu binafsi hakuna wa kutupangia. Suala la bandari ni la kiuchumi zaidi, ni la kutumia vizuri fursa ya kijiografia ambayo Mungu ametujalia.
Mimi nasema watawala wanataka kuleta vita nchini.

Sisi wananchi tumekataa. Tunataka mabadiliko kwa njia sahihi
 
Mimi nasema watawala wanataka kuleta vita nchini.

Sisi wananchi tumekataa. Tunataka mabadiliko kwa njia sahihi
Mwananchi mwenye akili za kawaida kila kitu anakichukulia kwenye mtazamo wa kisiasa tu. Yapo masuala ya kiuchumi na haya sio ya kujadiliwa na kila mtu.
 
Mwananchi mwenye akili za kawaida kila kitu anakichukulia kwenye mtazamo wa kisiasa tu. Yapo masuala ya kiuchumi na haya sio ya kujadiliwa na kila mtu.
Unatumia ibara ama mechanism gani kuruhusu ama kutoruhusu nini kijadiliwe
 
Back
Top Bottom