Treni ya abiria ya kifahari zaidi duniani (Rovos) yawasili Tanzania.

Treni ya abiria ya kifahari zaidi duniani (Rovos) yawasili Tanzania.

Mbona hiyo treni inakuja mara mbili mwaka
 
Nikajua baada ya kuokota vichwa vya treni safari hii tumebarikiwa treni yote kwa kuiokota tena
 
Katika kile ambacho kinaonekana ni mwendelezo wa kukuza sekta ya utalii Tanzania, treni ya kifahari zaidi duniani "Rovos" ya Africa kusini imewasili hapa nchini ikiwa na watalii wapatao 75 na idadi kubwa ya wahudumu!

Treni hiyo imewasili siku ya jumamosi tarehe 15 July 2017 na itakaa hadi tarh 18 July 2017.

Watalii hao wanategemewa kutembelea vivutio mbali mbali vinavyopatikana hapa nchini!

Hata hivyo, hii ni mara ya pili kwa reli hiyo kuwasili hapa, mara ya kwanza ilikuwa mwezi March na inategemewa kurudi tena mwezi September/October!


View attachment 544128

View attachment 544129

View attachment 544130


Maelezo zaidi Rovos Rail train: Rolling from Cape to Tanzania - eTurboNews (eTN)
Ninauliza kwa niaba ya rafiki zangu Wasomali na Wapemba......wangependa kujuwa hii treni itakaa hapa Bongo kwa siku ngapi, wana mizigo muhimu sana.
 
Ninauliza kwa niaba ya rafiki zangu Wasomali na Wapemba......wangependa kujuwa hii treni itakaa hapa Bongo kwa siku ngapi, wana mizigo muhimu sana.
Hii ilikuwa ratiba ya 2017.
Ninauliza kwa niaba ya rafiki zangu Wasomali na Wapemba......wangependa kujuwa hii treni itakaa hapa Bongo kwa siku ngapi, wana mizigo muhimu sana.
 
Back
Top Bottom