Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Si tulitumia fedha za ndani mkuu.Mnafikiria mtalipaje hayo madeni mliyotumia kujenga??
Dona katurii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si tulitumia fedha za ndani mkuu.Mnafikiria mtalipaje hayo madeni mliyotumia kujenga??
Kwani shida ya Wananchi ilikuwa Sgr over other wants/needs?Nini maana ya kuwa na shirika la umma?
Dar-Dodoma elfu hamsini? Badala ya elfu 20?
Bwawa la JNHEP limekilika. Umeme upo wa kutosha. Kwanini nauli ziwe juu?
=====
Kufahamu zaidi nauli za maeneo mengine soma:
Thread 'Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000' Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000
Kichwa kimoja,dereva mmoja kinavuta. Mabehewa 60+,najua Kuna suala la station masters na auxiliaries pia Kuna. Mabehewa ya mzigo,mafula. na tours.Running cost ya treni na bus vinafanana?
Nani kasema?Kwani shida ya Wananchi ilikuwa Sgr over other wants/needs?
Nijibu Sasa,mana unataka kuonesha kana kwamba watu walimwambia Magufuli shida Yao kuu ni Sgr wakati ni limradi la kupigia picha useless tuu.Nani kasema?
Hizo zilikuwa porojo na propaganda tu za jiwe na polepole.Si tulitumia fedha za ndani mkuu.
Dona katurii.
NyankuruHoja hapa nikuleta nafuu kwa wanannchi. Kumbuka hii ni mali ya umma, sio ya wamiliki wa mabasi
Pamoja na bwawa kukamilika bado umeme bado bei juu sanaNini maana ya kuwa na shirika la umma?
Dar-Dodoma elfu hamsini? Badala ya elfu 20?
Bwawa la JNHEP limekilika. Umeme upo wa kutosha. Kwanini nauli ziwe juu?
=====
Kufahamu zaidi nauli za maeneo mengine soma:
Thread 'Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000' Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000
Huyu ni aia ya watu wasio na uelewa kabisa! Serikali ni mali ya wananchi, inatakiwa kutoa huduma, haitakiwi kutafuta mafaida makubwa na kuumiza wananchi!Bus Dar-Dom linatumia masaa 8 mpaka 9 mnalipa 35,000 leo utumie masaa sijui 3 au 4 bado unaona 50,000 ni nyingi? Basi pandeni hayuo mabus mshinde barabarani siku nzima
Istoshe treni ni chombo cha ummaRunning cost ya treni na bus vinafanana?
Kweli aseee tuache kulalamika jamabo lhaaaa hatuna heri hata moja ? Key board warriorNini maana ya kuwa na shirika la umma?
Dar-Dodoma elfu hamsini? Badala ya elfu 20?
Bwawa la JNHEP limekilika. Umeme upo wa kutosha. Kwanini nauli ziwe juu?
=====
Kufahamu zaidi nauli za maeneo mengine soma:
Thread 'Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000' Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000
Black shwainiKweli aseee tuache kulalamika jamabo lhaaaa hatuna heri hata moja ? Key board warrior
Masikini huwa hana haraka siku zoteBus Dar-Dom linatumia masaa 8 mpaka 9 mnalipa 35,000 leo utumie masaa sijui 3 au 4 bado unaona 50,000 ni nyingi? Basi pandeni hayuo mabus mshinde barabarani siku nzima
Investment cost...Running cost ya treni na bus vinafanana?
Dhahabu ni yetu. Au umesahau?Serikali inamiliki migodi ya dhahabu??