kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Kumbe na biashara suasua kama sio kufa kabisa..Biashara,hoja nini!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na biashara suasua kama sio kufa kabisa..Biashara,hoja nini!?
Serikali kusaidia wananchi manake ni kutenga bajeti kubwa ya ruzuku kwa TRL ili kuziba pengo la gharama ya hizo huduma za usafiri. Manake ni tozo zaidi kwa raia. TANESCO hivyo hivyo mkitaka nafuu ya malipo ya umeme. Hakuna njia ya mkato.Miradi yote inayofanywa na serikali kupitia mikopo inatakiwa kuwasaidia wananchi na sio kuwadidimiza.
Kukamilika kwa ujenzi wa bwala la Nyerere kusaidie kupunguza gharama za umeme ili mwananchi wa kawaida aweze kutumia umeme kwa matumizi mbalimbali ya nyumbani, ofisini na viwandani.
Vivyo hivyo, na kukamilika kwa ujenzi wa SGR kusaidie wananchi katika nyanja ya usafirishaji. Serikali iweke ghqrama nafuu za nauli ili watumiaji wawe wengi na pesa iliyokopwa iweze kurudishwa. Kama wakikomaza mafuvu na kuweka gharama kubwa za nauli itashindwa kuendesha SGR kwa kukosa watumiaji na mwisho wa siku mradi kutokuwa na tija.
Ndiyo maana wanataka kumnyang'anya mchaga wampe mwarabu, biashara yafa ilhali Ina watejaKumbe na biashara suasua kama sio kufa kabisa..
Kutokana na mfumo wa uvutaji mabehewa ya treni huwezesha gharama za usafirishaji kuwa chini sana kuliko mabasi. Nauli zilizopangwa ni za uswahilini sana, ni zile za kusema watapanda tu asiyeweza shauri yake.Nini maana ya kuwa na shirika la umma?
Dar-Dodoma elfu hamsini? Badala ya elfu 20?
Bwawa la JNHEP limekilika. Umeme upo wa kutosha. Kwanini nauli ziwe juu?
=====
Kufahamu zaidi nauli za maeneo mengine soma:
Thread 'Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000' Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000
Hoja hapa nikuleta nafuu kwa wanannchi. Kumbuka hii ni mali ya umma, sio ya wamiliki wa mabasi
Kwamba ilikuwa chini ya mchaga?Ndiyo maana wanataka kumnyang'anya mchaga wampe mwarabu, biashara yafa ilhali Ina wateja
Biashara ya serikali ni tofauti na ya mtu binafsi.Mnafikiria mtalipaje hayo madeni mliyotumia kujenga??
Kwani kuna mpango wa hilo nalo "kuuawa"?20k hapana, 50k hapana pia wangefanya 100k ili kurudisha faida kabla ya mradi kufa
Baric~86%na sisi14%lakini share ya faida Barick 50%na sisi 50%(unprecedented)Dhahabu ni yetu. Au umesahau?
Magufuli angesema upande bure maisha yako yote.Nini maana ya kuwa na shirika la umma?
Dar-Dodoma elfu hamsini? Badala ya elfu 20?
Bwawa la JNHEP limekilika. Umeme upo wa kutosha. Kwanini nauli ziwe juu?
=====
Kufahamu zaidi nauli za maeneo mengine soma:
Thread 'Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000' Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000
Hivi na gesi ya Mtwara imetunufaishaje?Pamoja na bwawa kukamilika bado umeme bado bei juu sana
Subiri uone SeptemberKwamba ilikuwa chini ya mchaga?
Kama yeye kashindwa mwarabu atawezaje