Ruksa kula tunda kimasiahara. Tusubiri huenda kuna memba atakuja kutoa pongezi kwa abilia mwenzake.Wapo watakaofanya mapenzi njiani licha ya kutokea hyo changamoto..... Tanzania nchi yangu nakupenda Sanaa
Majaliwa Kassim anafaaMagufuli hakuwa na upeo wa kuchanganua mambo. Nakubaliana na wewe kuwa tunahitaji kiongozi mkali na active ila afuate sheria na katiba kwenye kutimiza majukumu yake. Halafu awe na maono na atumie sayansi kuongoza na siyo mihemko.
Hujuma za wenye mabasi, vita ya Uchumi ni ngumu sana!!Nini huwa kinasababisha hizi treni za mikoani kukwama njiani?