microgenius da monster
Member
- May 18, 2017
- 13
- 6
Tren ya umeme haina vituo vingi na inapita poron, hvyo mabasi bado yananafasi kwasababu sio abiria wote ni wa Dar-Moro wengine wanashuka vituo kabla ya Dar au Moro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apa mtaongea vibaya kama mlivyo ongea katika mwendokasi, Leo mwendokasi ndio suruhisho la usafiri kwa watu wa wilaya ya kinondoni na ubungo na ilala kidogoHiyo train bado sana mkuu kama siyo kiini macho tu
Abiria wapo, ndio maana Abood na Hood yanaondoka kila nusu SAA kila siku. Kama watu wakijuwa kuwa kuna treni ya haraka na bei rahisi kila asubuhi, mchanga na jioni abiria wote wata ji tune kusafiri na treni kwa mida ya treni. Hata treni la Mwakyembe si limezoa abiria wote na kusababisha vilio kwa madaladala?haiwezekani kufanya route nyingi maana abiria si wengi kiasi icho, otherwise uweke kichwa cha train kiwe kinavuta behewa mbili tu. of which is hasara. hii train iyafanikiwa kuua routes za abood za asubuhi sana, labda nanza jioni pekee, na pia ni kwa kiasi kidogo sana.
Aaah whapi watu watapanda tu.Nini itakuwa nafasi ya kampuni za usafirishaji za Abood and Hood kwenda na kutoka Morogoro kufuatia ujio wa treni ya umeme Morogoro - Dar es Salaam?. Naona kama vile itabidi waanzishe routes za Kolomije - Mwanza express
Mpango haujakamiliaHivi hiyo tren itakuwa imekamilika kufikia lini? Maana nasikia bado tunaomba mkwanja wa kuijenga!!
Subiri pesa za mchanga wa madini zikitoka tu itajengwaHivi hiyo tren itakuwa imekamilika kufikia lini? Maana nasikia bado tunaomba mkwanja wa kuijenga!!
Kwanza jiulize hiyo tren itajengwa mwaka gani? Pili je kwa huu umeme wa kukatika katika kuna usafiri???Nini itakuwa nafasi ya kampuni za usafirishaji za Abood and Hood kwenda na kutoka Morogoro kufuatia ujio wa treni ya umeme Morogoro - Dar es Salaam?. Naona kama vile itabidi waanzishe routes za Kolomije - Mwanza express
Inatumia umeme na mafutaUmeme ukikatika ndo watalala huko maporin; yetu macho
Hako katoto unakafanyaje?Amini usiamini biashara ni akili abood ataendelea kuwepo tu
Acha ulongoApa mtaongea vibaya kama mlivyo ongea katika mwendokasi, Leo mwendokasi ndio suruhisho la usafiri kwa watu wa wilaya ya kinondoni na ubungo na ilala kidogo
Mkuu salama? Wewe Ni G kalol.....?abood bus huondoka morogoro kwenda Dar, na Dar kwenda moro kila baada ya nusu saa. route ya train ya umeme at most itafanya route mbili au tatu pekee kwa siku.
wengi wanaenda kifanya shopping dar nankurudi, hasa wale ambao muda wao na ratiba zao zinahitaji uharaka, wataendelea kutumia abood.
Tena kwa gharama nafuu na uhakika wa usalama ukiwa A.Unaonaje kama TRCL nayo ikawa na safari nyingi na za haraka zaidi kuliko unavyofikiri wewe? Kumbuka kuwa treni inakwenda kasi na haina foleni njiani kuliko mabasi. Nani anapenda kwenda Morogoro kwa masaa 4 badala ya SAA 1?