Mzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.Kiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.
Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.
Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.
Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.
Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi
View attachment 2145269
ππMzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.
Umesoma shule gani mzee!?
Nimeweka screenshot hii ili usije ukafuta picha. Watu wote wakuone namna ulivyo mbumbumbu.
View attachment 2145272
Umeuwa... ha ha ha ha hahaaMzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.
Umesoma shule gani mzee!?
Nimeweka screenshot hii ili usije ukafuta picha. Watu wote wakuone namna ulivyo mbumbumbu.
View attachment 2145272
Acaha ubishi wa kipumbavu. Unajua maana ya simulation!?ingia youtube angalia abilia akirekodi .ndio maana nimeweka picha hapo
Picha na ulichoandika vinakinzanaKiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.
Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.
Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.
Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.
Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi
View attachment 2145269
Mzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.
Umesoma shule gani mzee!?
Nimeweka screenshot hii ili usije ukafuta picha. Watu wote wakuone namna ulivyo mbumbumbu.
View attachment 2145272
Sasa mzee unataka nini!? Picha imeandikwa simulation halafu wewe unaleta ujinga.View attachment 2145276
rudi tena ukaangalie maana kama ubishi utafuta kauli yako
Umesoma physics mzee!?kuweka picha sio tatizo bali software aliyotumiwa ni kudadisi speed.ubishi huko wapi ingia youtube ndio maana nimeweka hiyo picha baada kuangalia video
Yaani unatuletea upumbavu wa simulation unatutaka tukaangalie YouTube!? Ficha upumbavu wako.shida inakuja mtu hataki kuingia kuona rekodi ya video alafu ubishi tu.ndio maaana tukiambiwa dunia ya tatu tupo
Video yenyewe ni simulation tu which means ni computer generated na sio reality.shida inakuja mtu hataki kuingia kuona rekodi ya video alafu ubishi tu.ndio maaana tukiambiwa dunia ya tatu tupo
lakini technology nyingi inaanzia kwenye simulation then unatengeneza prototypeAcaha ubishi wa kipumbavu. Unajua maana ya simulation!?
Hata wenye video mwanzoni kabisa wamekwambia ni kitu kisichokua na uhalisia,......wewe ndo hujaelewakuweka picha sio tatizo bali software aliyotumiwa ni kudadisi speed.ubishi huko wapi ingia youtube ndio maana nimeweka hiyo picha baada kuangalia video