holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,793
- 9,101
aingie hata play store aandike simulation aone nn kitakuja 😂Yaani unatuletea upumbavu wa simulation unatutaka tukaangalie YouTube!? Ficha upumbavu wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aingie hata play store aandike simulation aone nn kitakuja 😂Yaani unatuletea upumbavu wa simulation unatutaka tukaangalie YouTube!? Ficha upumbavu wako.
Kwani humjui huyu? Ni mburula wa JF anayetaka kuonekana genious kwa kupost jamii intelligence mambo ya chuoni ilihali hata la saba hakufikaMzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.
Umesoma shule gani mzee!?
Nimeweka screenshot hii ili usije ukafuta picha. Watu wote wakuone namna ulivyo mbumbumbu.
View attachment 2145272
Ni simulation mkuu sio uhalisia. Ila wanayo train inatumia tech ya maglev inatembea 602km/h na ndo the fastest train in the worldKiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.
Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.
Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.
Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.
Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi
View attachment 2145269
Sawa ila hii speed kubwa sana kwa sasa kufikiwa itachukua miaka mingi sana. Kutoka dar mpaka bk ni almost 1500+, ina maana ndani ya dakika sitini inaenda bukoba na kurudi dar mara mbili kisha inarudi bukoba na kupacklakini technology nyingi inaanzia kwenye simulation then unatengeneza prototype
View attachment 2145276
rudi tena ukaangalie maana kama ubishi utafuta kauli yako
Mzee ungekubali tu umekosea, ila kuleta ujuaji na kubishana, kunadhihirisha hilo jina lako, chizikomu [emoji23][emoji23]ingia youtube angalia abilia akirekodi .ndio maana nimeweka picha hapo
Mkuu unaweza kunisaidia ni namna gani speed kubwa inaweza kuathiri mwili wa binadamu ?Mind the word "IMAGINARY" tafsiri rahisi ni "yakufikirika".
Mpaka sasa rekodi ya dunia ya treni iliyotembea kasi ni kilometer 603 kwa saa. Sasa mzee unajua maana ya km800+ kwa dakika kumi maana yake?
Hiyo ni hyper loop na lazima iwe na madhara kwenye mwili wa binadamu. So far ni story za kufikirika tu.
kwa spidi hiyo nyama zitaachana na mifupaMkuu unaweza kunisaidia ni namna gani speed kubwa inaweza kuathiri mwili wa binadamu ?
Nimeiskia hii kitu sio mara moja ikihusishwa na kanuni fulani za bwana eisten.
😂😂😂 uwe na staha kidogo mkuu, skunyingine atakosa confidence ya kuweka uzi humu.Mzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.
Umesoma shule gani mzee!?
Nimeweka screenshot hii ili usije ukafuta picha. Watu wote wakuone namna ulivyo mbumbumbu.
View attachment 2145272
Hii itakuwa ni imaginery tu. Ten times speed ya ndege si mchezoKiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.
Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.
Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.
Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.
Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi
View attachment 2145269
Hahahaa umepatia lazima atakuwa ni muha.Nadhan neno simulation ndo limekupoteza maboya aisee hiyo video ya YouTube pia iko simulated na amaekwambia kabisa video ni fiction😂😂😂mwidiwe bro
It's not about the speed but rather the accelerationkwa spidi hiyo nyama zitaachana na mifupa
Upo sahihi kwa kuona hilo. Alitaka kutulisha mitango pori sisi wenye akili kubwa kumzidi yeye!!!Mzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.
Umesoma shule gani mzee!?
Nimeweka screenshot hii ili usije ukafuta picha. Watu wote wakuone namna ulivyo mbumbumbu.
View attachment 2145272
kwahiyo at contant speed ya 7600 hakuna tofauti na at rest?It's not about the speed but rather the acceleration