Treni za Japan zinaweza kutembea kilomita 823 kwa dakika 10 tu

Treni za Japan zinaweza kutembea kilomita 823 kwa dakika 10 tu

Mzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.

Umesoma shule gani mzee!?
Nimeweka screenshot hii ili usije ukafuta picha. Watu wote wakuone namna ulivyo mbumbumbu.
View attachment 2145272
Kwani humjui huyu? Ni mburula wa JF anayetaka kuonekana genious kwa kupost jamii intelligence mambo ya chuoni ilihali hata la saba hakufika
 
Kiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.

Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.

Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.

Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.

Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi

View attachment 2145269
Ni simulation mkuu sio uhalisia. Ila wanayo train inatumia tech ya maglev inatembea 602km/h na ndo the fastest train in the world
 
lakini technology nyingi inaanzia kwenye simulation then unatengeneza prototype
Sawa ila hii speed kubwa sana kwa sasa kufikiwa itachukua miaka mingi sana. Kutoka dar mpaka bk ni almost 1500+, ina maana ndani ya dakika sitini inaenda bukoba na kurudi dar mara mbili kisha inarudi bukoba na kupack
 
Mind the word "IMAGINARY" tafsiri rahisi ni "yakufikirika".


Mpaka sasa rekodi ya dunia ya treni iliyotembea kasi ni kilometer 603 kwa saa. Sasa mzee unajua maana ya km800+ kwa dakika kumi maana yake?

Hiyo ni hyper loop na lazima iwe na madhara kwenye mwili wa binadamu. So far ni story za kufikirika tu.
Mkuu unaweza kunisaidia ni namna gani speed kubwa inaweza kuathiri mwili wa binadamu ?

Nimeiskia hii kitu sio mara moja ikihusishwa na kanuni fulani za bwana eisten.
 
Mzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.

Umesoma shule gani mzee!?
Nimeweka screenshot hii ili usije ukafuta picha. Watu wote wakuone namna ulivyo mbumbumbu.
View attachment 2145272
😂😂😂 uwe na staha kidogo mkuu, skunyingine atakosa confidence ya kuweka uzi humu.
 
Kiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.

Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.

Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.

Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.

Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi

View attachment 2145269
Hii itakuwa ni imaginery tu. Ten times speed ya ndege si mchezo
 
Nadhan neno simulation ndo limekupoteza maboya aisee hiyo video ya YouTube pia iko simulated na amaekwambia kabisa video ni fiction😂😂😂mwidiwe bro
Hahahaa umepatia lazima atakuwa ni muha.
 
Mzee wameandika kabisa hapo chini simulation halafu unakuja kutuletea humu.

Umesoma shule gani mzee!?
Nimeweka screenshot hii ili usije ukafuta picha. Watu wote wakuone namna ulivyo mbumbumbu.
View attachment 2145272
Upo sahihi kwa kuona hilo. Alitaka kutulisha mitango pori sisi wenye akili kubwa kumzidi yeye!!!

Hana tofauti na mijamii fulani hivi humu jamvjni inayoleta uchambuzi wa vita ya Ukraine kwa kulisha jamvi ubabaishaji wa uchambuzi.
 
Back
Top Bottom