Treni za Japan zinaweza kutembea kilomita 823 kwa dakika 10 tu

Treni za Japan zinaweza kutembea kilomita 823 kwa dakika 10 tu

Chukulia mfano huu, mtu anayeendesha pikipiki at 200 km/hr na anayeendesha gari lililofungwa vioo at 200 km/hr, zote constant speed.

Huyu aliye ndani ya gari yuko ndani ya enclosed cavity wakati huyu wa pikipiki yeye hayupo ndani ya enclosed cavity bali yupo in direct contact with surrounding air.

Hii speed ya 200 km/hr inatosha kumdhuru huyu mwendesha pikipiki sababu ya bombardment of air particles kwenye mwili wake.

Ila huyu aliye ndani ya gari hata atembee 1000km/hr hatopata madhara subject to design integrity ya hilo gari.

Hiyo factor ya pili nimeiongezea kama Common sense assumption na haina effect kwenye discussion sababu train ni enclosed cavity.
Vwry intereating mkuu,nimefaidika na kitu hapa.

Ila kuna kitu nahitaji kusomeshwa zaidi.

Kivipi air particle zilete athari katika mwili wa mtu wa kwenye pikipiki mkuu ?

Au inabidi tufikirie zaidi katika cellular level,hebu nifafanulie mkuu nipate faida zaidi.
 
Kiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.

Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.

Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.

Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.

Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi

View attachment 2145269

Nasubiri mabeberu weusi a.k.a wazee wa kuletewa vyandarua vya msaada waje wakupe mabomu ya nguvu, "teknolojia wamechukua kwa wazungu"😁

Japan kwenye teknolojia is another level, kwa magari is on 🔥🔥🔥🔥 kwenye treni 🔥🔥🔥🔥 mapikipiki, vifaa vya electronics n.k🔥🔥🔥🔥


Nawasubiri mabeberu weusi muje hapa musifie misaada ya NETI na chanjo za uviko 🏋️‍♀️
 
Kiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.

Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.

Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.

Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.

Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi

View attachment 2145269
Mzee hakuna train duniani itaweza kukimbia kwa speed 7600/hour. Wala km 823 kwa dakika kumi....u must be dreaming or confusing
 
So unaweza kuishi Mbeya na ukawahi ofisini Dar saa mbili asubuhi na kurudi Mbeya jioni baada ya kazi.
Kwa Japan inawezekana, ingawa hapa chumvi inaongezwa sana. Mimi nilikuwa Japan mwaka1992. (toka wakati huo mpaka Leo ni muda mrefu bila shaka maendeleo makubwa yamashafanyika). Wakati ule super express train(bullet train) ilikuwa inatumia about 3hrs toka Tokyo mpaka Osaka, ambapo ni mbali Kama km. 400 hivi (sikumbuki vizuri). Niliacha wanadevelop maglev train ambayo ni ya kasi zaidi. Hii ikianza kutembea, ikishika kasi inanyanyuka, gurudumu la treni haligusanni na reli. Wakati wa kusimama inapunguza spidi inashuka tena inagusa reli. Hii inasaidia kupunguza msuguano na joto kwenye vyuma, hivyo kusaidia kuongeza kasi. Ila hiyo kasi ya km. 800 kwa dk. 10 tu nina shaka.
 
Mleta mada hajui kingreza ndiyo sababu ya msingi nipo tayari kukosolewa
 
Kiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.

Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.

Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.

Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.

Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi

View attachment 2145269
Fake news
 
Back
Top Bottom