Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
At hizi current fighter jets hazifiki hii spidi ya 7600kph ,Mkuu hiyo ni speed ya ndege, tena hizi zenye Jet Engines. Maana hata ndege za Propeller hazijaifikia hiyo speed....Nenda kasome tena huko kwenye source yako.
Sasa hayo mambo ya hyper loop ndio unampoteza kabisa OP . Kashindwa kuelewa imaginary/simulation hayo ya hyper loop ataweza kweli?Mind the word "IMAGINARY" tafsiri rahisi ni "yakufikirika".
Mpaka sasa rekodi ya dunia ya treni iliyotembea kasi ni kilometer 603 kwa saa. Sasa mzee unajua maana ya km800+ kwa dakika kumi maana yake?
Hiyo ni hyper loop na lazima iwe na madhara kwenye mwili wa binadamu. So far ni story za kufikirika tu.
Mkuu si watuletee hiyo ya 600km/h. Maana ikiwepo hiyo hata mikoa ya Kigoma itafunguka sana. Hakutakuwa na haja ya kubanana Dar es salaam.Mind the word "IMAGINARY" tafsiri rahisi ni "yakufikirika".
Mpaka sasa rekodi ya dunia ya treni iliyotembea kasi ni kilometer 603 kwa saa. Sasa mzee unajua maana ya km800+ kwa dakika kumi maana yake?
Hiyo ni hyper loop na lazima iwe na madhara kwenye mwili wa binadamu. So far ni story za kufikirika tu.
Hakuna kitu kinachoitwa "at rest" , speed is relative sababu hakuna kitu kilicho"at rest". Hata Dunia haipo at rest.kwahiyo at contant speed ya 7600 hakuna tofauti na at rest?
aaah mzee hiyo condiition ya enclosed mbona umeiongezea?? hiyo ndo nlikuwa nnasemea itafanya nyama zikimbie mifupaHakuna kitu kinachoitwa "at rest" , speed is relative sababu hakuna kitu kilicho"at rest". Hata Dunia haipo at rest.
Kwa taarifa yako speed ya 7600 km/hour is nothing to human beings as long as acceleration is zero na the cavity is enclosed(no bombardment of air particles) sababu our current net speed ni kubwa kuliko hiyo.
Hata constant speed ya 1000,000 km/hr na zaidi haina effect kwa viumbe as long as hizo condition mbili hapo juu zimeHold..
Technical challenge ni kwamba ili ufikie speed hiyo "from rest" ni lazima uAccelerate na hiyo acceleration ikiwa kubwa ndio inaua.
The fastest plane inatembea 3500km kwa saa, Lockheed SR-71 Blackbird.At hizi current fighter jets hazifiki hii spidi ya 7600kph ,
OP ana upuuzi mwingi sana kichwani
Chukulia mfano huu, mtu anayeendesha pikipiki at 200 km/hr na anayeendesha gari lililofungwa vioo at 200 km/hr, zote constant speed.aaah mzee hiyo condiition ya enclosed mbona umeiongezea?? hiyo ndo nlikuwa nnasemea itafanya nyama zikimbie mifupa
Mkuu hiyo train inayokimbia hiyo speed inatumia tech ya maglev yani train inakuwa kama inaelea kwenye reli yake. Ni expensive sana kutengeneza ndio maana ziko japan, china na South Korea tu.Mkuu si watuletee hiyo ya 600km/h. Maana ikiwepo hiyo hata mikoa ya Kigoma itafunguka sana. Hakutakuwa na haja ya kubanana Dar es salaam.
Dar yenyewe usafiri ni shida pamoja na mafly over, katika masaa nane ya kazi, masaa sita yanaishia barabarani. Ukimanage vizuri masaa 8 ya kazi, unajipunja masaa 6 ya kupumnzika. Hapo tutegemee maendeleo kutoka wapi, ikiwa vichwa haviwezi kufikiria vitu kwa usahihi.
Mamaa sio mbeya ni Angola kabisa maana mbeya ni 750+km yenyewe wanasema 7500km/h [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]So unaweza kuishi Mbeya na ukawahi ofisini Dar saa mbili asubuhi na kurudi Mbeya jioni baada ya kazi.
Kiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.
Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.
Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.
Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.
Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi
View attachment 2145269
kwahyo kwenye treni hamna air particles?Chukulia mfano huu, mtu anayeendesha pikipiki at 200 km/hr na anayeendesha gari lililofungwa vioo at 200 km/hr, zote constant speed.
Huyu aliye ndani ya gari yuko ndani ya enclosed cavity wakati huyu wa pikipiki yeye hayupo ndani ya enclosed cavity bali yupo in direct contact with surrounding air.
Hii speed ya 200 km/hr inatosha kumdhuru huyu mwendesha pikipiki sababu ya bombardment of air particles kwenye mwili wake.
Ila huyu aliye ndani ya gari hata atembee 1000km/hr hatopata madhara subject to design integrity ya hilo gari.
Hiyo factor ya pili nimeiongezea kama Common sense assumption na haina effect kwenye discussion sababu train ni enclosed cavity.
Nitakuwa wa mwisho kuamini hii fairytaleKiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.
Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.
Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.
Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.
Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi
View attachment 2145269
Hiyo NI speed ya roketi zinazoenda anga za mbali mzee. Ata risasi haina speed hiyo mzeeKiukweli wajapani naweza sema ni watu wa dunia nyengine kuanzia maisha yao mpaka teknolojia zao.
Sisi ndio tunafikiria kuleta SGR wao wanafikilia kutengeneza treni itakayo weza kufika kwa mda mfupi.
Spidi ya treni ni 7600km/h na unaweza kufanya kazi dar es salaam ukaishi singida.
Kilicho ni furahisha kuhusu hizi treni jinsi miundo mbinu yake na mifumo ya teknolojia.
Kama nchi yetu ingekuwa na uwezo wa kufanya haya basi tusingejikita sana na ndege za ndani na kuachia kampuni binafsi
View attachment 2145269
Kwa hili swali lako, bila shaka hujasoma Physics hivyo huwezi kunielewa...kwahyo kwenye treni hamna air particles?
Nimefurahi kuona ukiitaja MbeyaSo unaweza kuishi Mbeya na ukawahi ofisini Dar saa mbili asubuhi na kurudi Mbeya jioni baada ya kazi.
Tunaweza mkuu, kama mabarabara tunajenga na kubomoa karibu kila baada ya miaka miwili mitatu, kwann tusitandike reli hizo pekee tukatanua na maeneo mengine yakaendelea kama Ngage na Orkasementi?Mkuu hiyo train inayokimbia hiyo speed inatumia tech ya maglev yani train inakuwa kama inaelea kwenye reli yake. Ni expensive sana kutengeneza ndio maana ziko china na japan, china na South Korea tu.