Treni za kisasa zitakazotumika Mombasa-Nairobi njiani

watz tunakuja juu saivi uongo mbaya hadi wakenya tumeanza kulingishana maendeleo, kenya mko mbele kwa maendeleo sikatai, ila kwa siku za karibuni tumekuwa tukiwakimbiza ille mbaaaaaaaaaaaya.
mje tu ila hakuna siku ambae mtakuwa na sisi ama mbele yetu...even in 100yrs
 
enyewe bratha ungejua bullet trains ni nini, hungalijiaibisha apa....kuna tofauti kati ya bullet proof na bullet trains...😀😀😀😀sikulaumu lakini nalaumu education system yenu ya kishamba
Ha ha ha sasa amekuunga mkono unamnanga tena? Kuwa fair buana
 
wakati wenzetu kenya wanapiga hatua, sisi tunahangaika kumtafuta faru JOHN

a government without priorities
 
Ela zamkopo zinazita viburi sana....nilidhani ni mapato ya ndani....
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Tz tupo busy na Faru John
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…