Treni za kisasa zitakazotumika Mombasa-Nairobi njiani

Treni za kisasa zitakazotumika Mombasa-Nairobi njiani

Ngoja tuendelee kuvumbua nyayo za binadamu wa kale, gesi na mafuta
 
06bb5492f3e160e221632cff08d66357.jpg
Teen za kisasa hamzijui trein ya kisasa ni kama hii
wapi zenu mpumbavu mkubwa wewe
 
Mtoa mada umetoa pictures nzuri ila umesahau kusema kitu muhimu! Speed ya hizo passenger train! Nime google ni 120/km per hour ni moja ya point muhimu unapozungumzia sector ya usafiri its not about stations its about speed!
 
enyewe bratha ungejua bullet trains ni nini, hungalijiaibisha apa....kuna tofauti kati ya bullet proof na bullet trains...😀😀😀😀sikulaumu lakini nalaumu education system yenu ya kishamba
"Enyewe bratha" kiingereza haumo kiswahili ndo basi tena unafikiria education system ya Tanzania hujioni uliko.
 
Mtoa mada umetoa pictures nzuri ila umesahau kusema kitu muhimu! Speed ya hizo passenger train! Nime google ni 120/km per hour ni moja ya point muhimu unapozungumzia sector ya usafiri its not about stations its about speed!
hiyo natambua yote ila project ndio lazma tuivumbue kwanza ivumbike...including stations, trains, rail track, bridges na kadhalika.....alafu subiri tu project ya electric trains inaanza June
 
"Enyewe bratha" kiingereza haumo kiswahili ndo basi tena unafikiria education system ya Tanzania hujioni uliko.
mpumbavu mkubwa wewe...unajua bullet trains nini???? wewe ulisema bullet proof nikashangaa upumbavu wako umefikia wapi...tumia google kama unajua that is na uone upumbavu wako....ama una kasoro upstairs???
 
enyewe bratha ungejua bullet trains ni nini, hungalijiaibisha apa....kuna tofauti kati ya bullet proof na bullet trains...😀😀😀😀sikulaumu lakini nalaumu education system yenu ya kishamba
Sasa ndo imekuwa kutukanana sio, haya bwana hatukatai nyie mko vizuri
 
Tanzania ubinafsi umezidi viongozi wetu wabinafsi sana na hawafanyi kile wanatumwa na wananchi.
 
mpumbavu mkubwa wewe...unajua bullet trains nini???? wewe ulisema bullet proof nikashangaa upumbavu wako umefikia wapi...tumia google kama unajua that is na uone upumbavu wako....ama una kasoro upstairs???
Punguza lugha Kali ndugu yangu
 
Afu mnatuharibia kiswahili ninyi Nguchiro wa Kenya
sisi hatuna haja na lugha yenu sanifu bwana...fikiria ...kiswahili yako sanifu kakufanya billionaire? 😀😀😀 sisi tuliacha kuzungumza kiswahili sanifu kitambo sana tuna lugha yaitwa sheng' alafu twazungumza sana kiingereza...wewe wajua kiingereza? soma hapa
Diamond Platnumz poor English shocks the nation — Blizz Uganda
Diamond-Platnumz-English.png


ona mwenzenu apa😛😛😛😛😛😛😀😀😀😀😀😱😱😱😱😱
 
Back
Top Bottom